Kwa mwendo huu wa Zuchu, kweli ni haki H-Baba kulalamika na kusema vile kuhusu Nandy

Kwa mwendo huu wa Zuchu, kweli ni haki H-Baba kulalamika na kusema vile kuhusu Nandy

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,519
Reaction score
2,055
Habarini Wana jamvi...?

Aise inapofikia swala la mtu kupewa heshima haina budi kumpatia heshima yake, yaani kwa anachokifanya Zuchu kwa Sasa haina haja ya kusimuliwa ili uamini, maana kafanya kila kitu Kama msanii/mwanamziki ambaye yupo kwa gemu zaidi ya miaka 4+ yaani ni wamoto balaaah hapoi na Wala haboi.

Hivi unadhania kwa mwendo huu, watu Kama kina Hmama ahaaaaaaaaah sorry Hbaba wataacha kusema kuwa Zuchu ameletwa ili kumshusha Nandy..? of course perspectives za hivyo haziepukiki lakini kwenye MZIKI hakunaga ndumba Wala uchawi, hard work pays,na kazi zake kweli zinaonekana kabisa,Sasa nandy kakalia Kiki now Mara kwa kiba na Mara kwa konde ,yaani akijiingiza kwa huu msemo iki ajenge beef walahi atapotea na tutamsahau Kama upepo

sasa, nawashauri wale wanaomzodoa wakasikikize verse ya professor Jay," ili nifanikiwe na hitaji marafiki na ili nifanikiwe zaidi naitaji maadui" so zuchu anakuhitaji wewe unayemchukia na kumpinda zaidi ili atusue,ko endeleeni .

HAIL TO THE NEW QUEEN OF BONGO FLAVOR RIGHT NOW , ZUCHU THE QUEEN.

NO BODY: Zuchu ft Joe Boy in all digital platforms.
 
Litawachoma ft Diamond Platnumz

Cheche ft Diamond Platnumz

Nobody ft Joeboy.

Hakuna jipya wala ubunifu wowote kwenye hizo ngoma 3. Hizo zote ni nyimbo za ku-underground.

Kwa hapa tz zitakamata kwa muda, ila kimataifa asahau.
Unforgetable
Wewe utakuwa unachuki zako binafsi maana hizo song ulizotaja Ni hit song
 
Innocent dependent A.K.A Mose Iyobo kwenye ubora wako.

Tuje kwenye mada ukweli kwa sasa huyu binti anajitahidi ingawaje lebo inachangia kwa kumbrand vizuri.Haters watasema kua anabebwa na diamond lakini ajabu diamond hamuimbii Zuchu ,bali huimba kwa koo lake mwenyewe asibweteke kama Rayvanny apambane afike mbali zaidi kikubwa asilete mashindano na mtu atapotea afanye mziki wa kwake maana hata Harmonize alipokua WCB alitoa ngoma kali sana ambazo alikua akifanya mziki wake lakini alipotoka tu WCB na kuanza mashindano kwa show off nyimbo nzuri za kuokoteza.
 
WCB kupromote wasanii wao wako vizuri kuliko lebo zingine ,msanii hata akiwa na uwezo mdogo atakuwa star tu na akiwa star nyimbo zake zitasikika ,nandy anabebwa na clouds but promo za clouds hazifikii za wasafi
Kama Ni hivyo basi Tukubali kwamba Wasafi label Ni kubwa kuliko clouds
 
Innocent dependent A.K.A Mose Iyobo kwenye ubora wako.

Tuje kwenye mada ukweli kwa sasa huyu binti anajitahidi ingawaje lebo inachangia kwa kumbrand vizuri.Haters watasema kua anabebwa na diamond lakini ajabu diamond hamuimbii Zuchu ,bali huimba kwa koo lake mwenyewe asibweteke kama Rayvanny apambane afike mbali zaidi kikubwa asilete mashindano na mtu atapotea afanye mziki wa kwake maana hata Harmonize alipokua WCB alitoa ngoma kali sana ambazo alikua akifanya mziki wake lakini alipotoka tu WCB na kuanza mashindano kwa show off nyimbo nzuri za kuokoteza.
Ebu nitake radhi kuniita mose iyobo
 
Off course Zuchu ndio queen wa afro pop na bongofleva kwa sasa.

Hao kina Nandy sijui Maua Sama wanaimba vizuri ila ukija kwenye package ya umalkia Zuchu ana qualities zote.
fact hapa kaka umeua[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom