Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #41
waziri wa Sanaa , utamaduni na michezo(MZIKI)unaswali lingine..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waziri wa Sanaa , utamaduni na michezo(MZIKI)unaswali lingine..?
Toka alipotoa wimbo wa kumsifia Jiwe nilimzarau sana toka siku hiyoNandy ni female version of Kibakuli.... nampenda huyu dem ila amekua mpumbavu sana nae sikuhizi... nahisi wanashauriana na kiba.
fact nandy hamna kitu nowdays sema makiki na skendos.Toka alipotoa wimbo wa kumsifia Jiwe nilimzarau sana toka siku hiyo
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mkuu unapajua Eldoret??Mwanariadha wa mbio fupi kutoka Eldoret
Hapana mkuu, thankswaziri wa Sanaa , utamaduni na michezo(MZIKI)unaswali lingine..?
ok pamoja na Karibu sana
Habarini Wana jamvi...?
Aise inapofikia swala la mtu kupewa heshima haina budi kumpatia heshima yake, yaani kwa anachokifanya Zuchu kwa Sasa haina haja ya kusimuliwa ili uamini, maana kafanya kila kitu Kama msanii/mwanamziki ambaye yupo kwa gemu zaidi ya miaka 4+ yaani ni wamoto balaaah hapoi na Wala haboi.
Hivi unadhania kwa mwendo huu, watu Kama kina Hmama ahaaaaaaaaah sorry Hbaba wataacha kusema kuwa Zuchu ameletwa ili kumshusha Nandy..? of course perspectives za hivyo haziepukiki lakini kwenye MZIKI hakunaga ndumba Wala uchawi, hard work pays,na kazi zake kweli zinaonekana kabisa,Sasa nandy kakalia Kiki now Mara kwa kiba na Mara kwa konde ,yaani akijiingiza kwa huu msemo iki ajenge beef walahi atapotea na tutamsahau Kama upepo
sasa, nawashauri wale wanaomzodoa wakasikikize verse ya professor Jay," ili nifanikiwe na hitaji marafiki na ili nifanikiwe zaidi naitaji maadui" so zuchu anakuhitaji wewe unayemchukia na kumpinda zaidi ili atusue,ko endeleeni .
HAIL TO THE NEW QUEEN OF BONGO FLAVOR RIGHT NOW , ZUCHU THE QUEEN.
NO BODY: Zuchu ft Joe Boy in all digital platforms.
Hapana mkuu
BONDO FLAVOR HAVE ONE AND ONLY QUEEN ZUCHU, and lady jaydee is the only queen of bongo flavor but not one and only queen understood[emoji2957]Bongo fleva have only only Queen, Lady Jay Dee
Mawingu fm tuna waona ujueZuchu lebo inambeba ila Nandy nyimbo zake hit songs kweli kweli .
Zuchu yuko vizuri zaidi live performance ila nandy live ni aibu hata sauti ni shida
🤣🤣🤣Mawingu fm tuna waona ujue
tena atakuwa mkali Kama beyonce na Jay z[emoji2957][emoji2957][emoji2957]Ngoja apate bwanake tutaona kama ataendelea kuwa mkali kama alivyo sasa hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana mkuu
rayvanny kafanyeje...? unazania kunamsanii wa kike anaweza kushindana na zuchu/WCB akawin yaani nandy akijaribu tu kushindana na zuchu tunamzika mazima Kama alivyomfanyia Ruby wa watu.
Ni watu wawili tofauti uoni hata uandishi wangu na wake Ni tofauti au kinachokufanya useme hivyo Ni Hilo neno Independent kufanana?