kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Kitu gani Cha maana umekipata InstagramKwahiyo unaifananisha Instagram na Jamii forum [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
Ambacho utalinganisha na madini unayoyapata jf Kila siku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani Cha maana umekipata InstagramKwahiyo unaifananisha Instagram na Jamii forum [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
2012 kipindi huyu mleta mad alikuwa anagongea smartphone kwa dada yake akija kuwatembelea wakati wa Christmas.Mimi sishuhudii uwongo,,,Ngoma 5 hizo zipi zilizobuma? Diamond ana consistency ya hali ya juu sana... Unataka kusema Iyo imebuma? Naanzaje nayo imebuma? ..huyu jamaa hawezekaniki... Kaanza kudisiwa tangu 2012 uko kua hatoboi
Hayupo wa kumshusha bali anajishusha mwenyewe.Mwaka wa 9 huu tunaambiwa baada ya miaka miwili ataanguka kimuziki!!
Imekuwa kama ujio wa Yesu sasa, tumechoka kusubiri mshusheni haraka basi!!
Tatizo muda!!!?Hayupo wa kumshusha bali anajishusha mwenyewe.
😂😂😂 tuna safari ndefu sana mkuuKama wananchi tuna akili za kuwatakia mabaya wananchi wenzetu
Tutaweza kweli kuidai katiba mpya?
Kumbe wewe ni mkosa kazi na huna lolote zaidi ya wivu na chuki dhidi ya waliokuzidi kika kituNyimbo zote ulizotaja hapo zote zimebuma huwo ni ukweli usio na chuki ndani yake period.
Una ujua mziki lakini muda mwingine unaongea pumba! Nani aliyesema streams ndio kigezo cha mziki wako kupendwa? Kuna msanii hapa Bongo anamzidi kwa fanbase Diamond?Umetumia kigezo gani?
Je ana streams ngapi?
Je kapiga show ngapi?
Nomination mwaka huu anazo ngapi?
Atleast ungebase huko tungepata picha halisi. Ila sio mbaya hii ya jamaa kutabiriwa kushuka, hii thread nahisi itakuwa ya 100,tokea 2012 mnatabiri ila endelea kutabiri.
🤣🤣🤣🤣🤣 Watu mnajua kuumbua wenzenuChanzo cha stress za mtoa mada...usha solve hiz shida zako kwanza? View attachment 2060170
[emoji1787][emoji1787] sasa unaona uzi umendikwa ki stress kabisa , ikabidi nikakague shida nn? Nafkr ushaona yanayomkabil ndugu mwandishi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watu mnajua kuumbua wenzenu
🤣🤣🤣🤣🤣2012 kipindi huyu mleta mad alikuwa anagongea smartphone kwa dada yake akija kuwatembelea wakati wa Christmas.
Kwa maaelezo yako yanakubaka mwenyewe kama mtu ana fanbase kubwa na still inamsapoti na mambo yake yanaenda utasemaje anashuka? Mtoa mada kaongea vitu vingi bila fact na evidence diamond ndio msanii mpaka sasa anaongoza kuwa ambassador wa makampuni makubwa, ndio msanii aliyepata show nyingi kuliko msanii yoyote, ndie mwenye stream za mauzo mengi,ndio video zake vimetazamwa Mara nyingi kuliko any artist, ndio msanii mwenye tuzo nyingi alizopata za nje mwaka huu kuliko yoyote.Unaposema kashuka kwa vigezo vingi? Na kama ni hivyo ndio kushuka vipi wasanii Wana hali gani?Una ujua mziki lakini muda mwingine unaongea pumba! Nani aliyesema streams ndio kigezo cha mziki wako kupendwa? Kuna msanii hapa Bongo anamzidi kwa fanbase Diamond?
Kama nyie ndio mpo jirani naye basi mnamuingiza chaka mshikaji, ukiachana na Iyo hakuna ngoma yake yoyote iliyosumbua nje ya mipaka!
Mwambieni akubali kuandikiwa au afocus kwenye biashara, kimziki ashafanya karibu kila kitu ni muda wake wa kulinda jina lake kwa mgongo wa biashara.
i second you broUna ujua mziki lakini muda mwingine unaongea pumba! Nani aliyesema streams ndio kigezo cha mziki wako kupendwa? Kuna msanii hapa Bongo anamzidi kwa fanbase Diamond?
Kama nyie ndio mpo jirani naye basi mnamuingiza chaka mshikaji, ukiachana na Iyo hakuna ngoma yake yoyote iliyosumbua nje ya mipaka!
Mwambieni akubali kuandikiwa au afocus kwenye biashara, kimziki ashafanya karibu kila kitu ni muda wake wa kulinda jina lake kwa mgongo wa biashara.
Ndo hapo chacha, kasha wekeza kwanza, kiumri mdogo maendeleo makubwa.Ni hasara gani utaipata diamond akipotea?