Kwa mwenendo huu Diamond tutamsahau baada ya miaka miwili ijayo

Kwa mwenendo huu Diamond tutamsahau baada ya miaka miwili ijayo

Diamond yupi?? mara ya kwanza nasikia haya maneno ni 2015 mpaka leo yupo kwa hewa ili ashuke inabidi mmoja apande tatizo wa kupanda kumzidi hayupo.
So wacha tuendelee na ,msanii wetu maana nahofia siku akishuka na mziki wa bongo kwenda mbele utaishia hapo.
 
Kwa maaelezo yako yanakubaka mwenyewe kama mtu ana fanbase kubwa na still inamsapoti na mambo yake yanaenda utasemaje anashuka? Mtoa mada kaongea vitu vingi bila fact na evidence diamond ndio msanii mpaka sasa anaongoza kuwa ambassador wa makampuni makubwa, ndio msanii aliyepata show nyingi kuliko msanii yoyote, ndie mwenye stream za mauzo mengi,ndio video zake vimetazamwa Mara nyingi kuliko any artist, ndio msanii mwenye tuzo nyingi alizopata za nje mwaka huu kuliko yoyote.Unaposema kashuka kwa vigezo vingi? Na kama ni hivyo ndio kushuka vipi wasanii Wana hali gani?
tuzo gani izo unazosema ww?
 
Nyimbo zote ulizotaja hapo zote zimebuma huwo ni ukweli usio na chuki ndani yake period.
nenda boomplay kaangalie ngoma ambayo imesikilizwa sana usiku mwaka hu ni ipi utakuta naanzaje imebuma wapi? iyo imebuma wapi?
 
Una ujua mziki lakini muda mwingine unaongea pumba! Nani aliyesema streams ndio kigezo cha mziki wako kupendwa? Kuna msanii hapa Bongo anamzidi kwa fanbase Diamond?

Kama nyie ndio mpo jirani naye basi mnamuingiza chaka mshikaji, ukiachana na Iyo hakuna ngoma yake yoyote iliyosumbua nje ya mipaka!

Mwambieni akubali kuandikiwa au afocus kwenye biashara, kimziki ashafanya karibu kila kitu ni muda wake wa kulinda jina lake kwa mgongo wa biashara.
Unajua maana streams,mbona Madona ana fanabase kubwa kuliko Drake, ila Drake anampita kwa streams?

Beyonce kama sikosei mwaka jana aliachia album, Beyonce ana fanbase kubwa kuliko Drake, still Drake bado alimpita kwa streaming?

Huwezi tenganisha kufanya vizuri kwa msanii na streams na kama hujui moja ya kigezo kinachotumika kupanga chati billboard ni Digital streaming.

Huwezi kuni ambia msanii anafanya vibaya wakati mwaka huu ana Nomination kubwa mbili (BET na MTV EMA) mbona Davido haja chaguliwa.

Nimwambie nini wakati data zinaongea ,shows mwaka huu kafanya nyingi juzi tu hapa Gambia kafanya show,hizo ngojera zenu na ramli zenu zilianza tokea 2012 hamna jipya.

Time yake kushuka itafika na HAMNA MSANII ATAKAYE DUMU MILELE KWENYE PEAK lkn si vile mtakavyo nyinyi, ongea kwa data.
 
Huyu ndo mtoa mada [emoji706][emoji3][emoji1787][emoji1787]
IMG_20211228_084502.jpg
 
Muziki nisayansi ya hisia .. biashara ni sayansi ya fursa .. sijui mtoa mada umemaanisha nini nikisema muziki ni hisia

Namaanisha unaweza kupiga mluzi tu nauka burudisha watu itategemea huo mluzi unaupigaje .. ukija kwenye mashairi ataizo nyimbo za nje USA na kwengineko huimba vitu vya hovyoo na ngoma zinaingia trends adi bongo mnazisifia sijui kwavile amuelewi lugha ..

Ukiangalia wasanii wakubwa karibia wote USA ni vitu vi 3 tu ndo huzumzwa kwenye ngomazao ni Money , sex , drugs .. utasikia I got new bitch .. I got chains .. I got 1m $ in my crib hayo ndo mambo huzungumzwa

Back in business diamond hua namuita kiraka kumbuka anauwezo wakuimba style yoyote ya mziki na ndio silaa ya mafanikio yake watu tunatofautiana favorites kwaiyo nikiwa shabiki wa R&B aimanishi sipendi hip hop aimanishi pia sipendi Singeli ..

Ukiwa mfanya biashara lazima uakikishe bidhaa yako inafika popote pale diamond anajua Kuna makundi ya madancers duniani ivyo kaamua kutoa ngoma only for dancing ..

Hivi diamond angekuwa wapi Leo endapo angetoa kila ngoma yake I sound Kama nenda kamwambie si tungekua tumesha msaau ? Yuko wapi mo music leo ? Unajua kilicho mpoteza aslay ?

Ukisema wasafi media inafeli umesha fanya takwimu ukagundua ni kias gani wasafi huingiza kwa mwezi kupitia contents za you tube ? Vp kuusu sponsors je ?

That's business my brother usitake kila media I behave Kama TBC ..

Diamond ni star mkubwa nashangaa mnataka uzushi ndo iwe reality zuchu hawezi oana na diamond never .. unajua nchi ina online tv ngapi ? Unafkir watatoa taharifa zawakulima na wafugaji ? Wote hukimbilia WCB kupata chochote chaku post either ni uzushi au interviews za wasafi media nk..


Kuna ngoma diamond anaachia ambazo ni za album tayar na soon ataachia album rasmi alafu baadae utapiga hesabu ya mauzo ya iyo album ..

I mean album ikitoka siyo chini ya ngomba 5 au 7 zitakuwa tayar natreams na viewers over 10m because huwezi toa nyimbo zaidi ya 15 kibongo bongo kwamkupuo zitakazo fanikiwa kwenye mauzo zitakuw chache ..

Waulize weusi , darasa , nk kwaiyo diamond akitoa album nyimbo kibao zitakua popular siyo nchini tu adi nje ya bongo ukianzia kwenye iyoo , kamata, naanzaje,unachezaje ...

Na zoteizo zina sound tofauti zina vibe tofauti .. that's chibu .. I hope kwenye album yake amtakosa singeli ata moja ..

Msiwe ma haters .. wasanii wametofautiana ..

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Ww mwenyewe na shuhuda je huoni kama diamond huyu siyo yule tuliyekuwa tunamfahamu wa miaka miwili iliyopita.
Diamond wa kutoa nyimbo zaidi ya tano kwa mwaka mmoja na zote ziangukie pua, inasikitisha.
Nyimbo zipi zimeangukia pua Mkuu
 
Huu nao ni sawa na uchawi tu.
Mwacheni mtoto wa mtu
 
Nimepitia huo Uzi ni WA 2014.. 75% ya wachangiaji walikubalina na mtoa Uzi.. kuwa baada ya Wimbo wa Mdogomdogo A.K.A kitoronto Diamond Angepotea. Ni miaka 8 Sasa Tangu Uzi huo uje hapa na Jamaa yupo Sana.. hivyo Sishangai kabisa hata huu..
Kuna siku atapotea kimuziki lakini sio leo au kesho. Labda miaka 5 ijayo hivi. Ila napo hatafulia kama wakina Mr Nice sema atakua tu hana jina.
 
Diamond yupi?? mara ya kwanza nasikia haya maneno ni 2015 mpaka leo yupo kwa hewa ili ashuke inabidi mmoja apande tatizo wa kupanda kumzidi hayupo.
So wacha tuendelee na ,msanii wetu maana nahofia siku akishuka na mziki wa bongo kwenda mbele utaishia hapo.
Hakuna kisicho kua na mwisho
 
Diamond kitakachomshusha ni Time maana hakuna msanii aliyewahi kupambana na muda HAKUNA. Na kwa kulijua hili anaanzisha uwekezaji mwingi pamoja na record label kubwa ili kuendeleza ushawishi na legacy yake kwenye music industry.
 
Nimepitia huo Uzi ni WA 2014.. 75% ya wachangiaji walikubalina na mtoa Uzi.. kuwa baada ya Wimbo wa Mdogomdogo A.K.A kitoronto Diamond Angepotea. Ni miaka 8 Sasa Tangu Uzi huo uje hapa na Jamaa yupo Sana.. hivyo Sishangai kabisa hata huu..
Sasa tutumie njia gani kumshusha huyu kijana, maana kila tukitabiri tunafeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa uzi bwana!!! Umewaza muziki tu? Biashara vipi? Acha ubwege nazi tafuta hela
 
Back
Top Bottom