Kwa mwenendo huu Diamond tutamsahau baada ya miaka miwili ijayo

Chibu pafyum
 
Ww mwenyewe na shuhuda je huoni kama diamond huyu siyo yule tuliyekuwa tunamfahamu wa miaka miwili iliyopita.
Diamond wa kutoa nyimbo zaidi ya tano kwa mwaka mmoja na zote ziangukie pua, inasikitisha.
Ni kweli Mond wa sasa sio wakipindi kile alipokua anawaza tuzo
Mond wa sasa anawaza namna ya kutengeneza hela zaidi maana muziki umkwisha mmpa connections za kutosha
 
Bad timing kwake...

Zinazotrend Kwa Sasa:
#Chupa za soda
# Deni la taifa na mkopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…