Cesar Saint
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 423
- 726
Kosa lake ni nini mkuu? Ama ulikuwa hutaki aposti hitaji lake hapa jukwaani?Hivi kwanini huwa mnashindwa kufuata guidelines za kuomba au kutangaza uhitaji wa ajira za JF ,Tangazo lako likitolewa hapa utaona umeonewa kama maelekezo ya kawaida tu haya unashindwa kufuata utaweza kutunza kazi pamoja na chombo .
Kama uko serious na udereva nenda NIT kasome utapata kazi ya uhakika
Kosa lake ni nini mkuu? Ama ulikuwa hutaki aposti hitaji lake hapa jukwaani?
ungenipeleka basi uko NIT nikasome..mtoto wa kiume unakuwa na mambo ya kike.kwan ata wakitoa tangazo langu ww inakuhusu nn? si ufate kilichokuleta! acheni kujifanya wajuaji kila sehem jaman maisha ni magum mkitukanwa mtasema watu atuna adabu.Hivi kwanini huwa mnashindwa kufuata guidelines za kuomba au kutangaza uhitaji wa ajira za JF ,Tangazo lako likitolewa hapa utaona umeonewa kama maelekezo ya kawaida tu haya unashindwa kufuata utaweza kutunza kazi pamoja na chombo .
Kama uko serious na udereva nenda NIT kasome utapata kazi ya uhakika
ungenipeleka basi uko NIT nikasome..mtoto wa kiume unakuwa na mambo ya kike.kwan ata wakitoa tangazo langu ww inakuhusu nn? si ufate kilichokuleta! acheni kujifanya wajuaji kila sehem jaman maisha ni magum mkitukanwa mtasema watu atuna adabu.
😂😂😂😂 binadam ni kiumbe wa ajabu sana.yani mtu unijui lakin unavyo nijudge dah!Mara ukemee mapepo mara utoe kejeli just piece of advice unahitaji personality zaidi ili kufika mahali unapohitaji kufika kimaisha personality yako itajumuisha principles mbalimbali ikiwamo attitudes zako na jinsi unavyoweza kuchanganua mazingira yako kwa majibu yako haya hata kama mtu alikuwa anafikiri kukupa hiyo fursa atafikiria mara mbili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binadam ni kiumbe wa ajabu sana.yani mtu unijui lakin unavyo nijudge dah!
Mkuu ungekaa kimya ingekusaidia zaidi kitendo cha kulumbana, mtu kitamuogopesha hata anaetaka kukupa deals yani una zero tolerance jamaa apo juu amekufafanulia juu ya attitudes, work on it kwanza kwani ungewakalia kimya hao watu au kutowajibu ungekupungukiwa nini? Umeonesha hauko enough maturedungenipeleka basi uko NIT nikasome..mtoto wa kiume unakuwa na mambo ya kike.kwan ata wakitoa tangazo langu ww inakuhusu nn? si ufate kilichokuleta! acheni kujifanya wajuaji kila sehem jaman maisha ni magum mkitukanwa mtasema watu atuna adabu.
hMkuu ungekaa kimya ingekusaidia zaidi kitendo cha kulumbana, mtu kitamuogopesha hata anaetaka kukupa deals yani una zero tolerance jamaa apo juu amekufafanulia juu ya attitudes, work on it kwanza kwani ungewakalia kimya hao watu au kutowajibu ungekupungukiwa nini? Umeonesha hauko enough matured
Hata Mimi,nimemuelewah
nshamuelewa huyu.
AmenMkuu mungu ni mwema atatupigania
Umejisajili ajira portal? Kama bado jisajili ila akikisha uwe na cheti cha driving kutoka chuo cha veta, nit au chuo chochote kinachotambuliwa na serikaliHabari ndugu, naitwa James Patrick, nina miaka 27 naishi mbezi beach africana, elimu yangu ni form four.
Nipo hapa kuomba kazi ya udereva wa aina zote, nina uzoefu wa miaka 11 kwenye kazi hii, nina uzoefu mkubwa wa kuendesha ndani ya dar es salaam na nje ya mkoa pia.
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa dereva kwa ajili ya Mtu binafsi, Kampuni, Gari kubwa Pamoja na usafirishaji wa gari pia nafanya huduma hiyo.
Kwa mawasiliano unaweza kunipata kwa namba 0769130951.
Shukrani.