mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Umejua ni biashara gani?Hahaha!.
Million 3 upate faida ya 800k at per? Itachukua muda gani?
Kila mtu angeikimbilia hii biashara..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejua ni biashara gani?Hahaha!.
Million 3 upate faida ya 800k at per? Itachukua muda gani?
Kila mtu angeikimbilia hii biashara..
Nakazia
vishoka hao lazima wapite na kichwa cha mbumbumbu mmojaUkishakuwa mfanyabiashara huwa sioni mantiki ya kuficha identity yako hapa jf
Social Network watu hujiunga kwa malengo aina mbiliUkishakuwa mfanyabiashara huwa sioni mantiki ya kuficha identity yako hapa jf
NAKAZIA [emoji817]
inawezekanaje mtu mzima,una akili timamu,shule umeenda,umeona watu wakiibiwa,wakidanganywa umeyashuhudia yote hayo.Utamanishaji wa kishamba huo WAJINGA NDIO WALI WAO
Ninachojiuliza ni kwanini hata umeshindwa kukopa 3m then ufanye hiyo biashara kama kweli unaiamini! Mbongo akikupa fursa ujue wewe ndo fursa!mimi sio sales manager mkuu,naifanya hiyo biashara na kabla mtu hajaweka hela yake nitampa location ya wapi ofisi yangu ilipo aje ajionee kwa vitendo ninachofanya kisha ataenda kujifikiria mwenyewe.
Trust me mkuu,najua hela ilivyo ngumu siwezi ingiza mtu chakike.
Kama mtu ana mashaka nipo radhi kukopa hiyo 3m kwa riba ya 1m ndani ya miezi miwili mtu anipe mimi hiyo 3m halafu rejesho ntamrudshia ndani ya miezi miwili ntampa 4m.
Maandishi na kila kitu yatafanyika hata mahakamani au popote ila sikutaka kukopa mtu pesa maana ndio kabisa ningetia watu mashaka,Nimetoa fursa hiyo.
Nyamaza mkuu,ukisema sana utaambiwa ni ID yangu nyingine.Kuna watu nimeshawaelezea PM kama wakiamua fanya watakuja toa mrejesho HAPA HAPA uzuri huu uzi utadumu hapa milele kama ni utapeli alietapeliwa atarudi hapa hapa kutoa mrejesho.Huenda jamaa ana kitu asikilizwe sio Kila kitu mnaona mnataka KUPIGWA.
Nlishakuja kutaka kiasi flani hapa wengine waliponda na kuona kama ni scam.
Ila nilifanikisha na ndio ikawa tobo langu.hadi Leo MTAANI naonekana kama mchawi kwa umri WAngu na mjengo nnao miliki.
Huu ni utapeli.mimi sio sales manager mkuu,naifanya hiyo biashara na kabla mtu hajaweka hela yake nitampa location ya wapi ofisi yangu ilipo aje ajionee kwa vitendo ninachofanya kisha ataenda kujifikiria mwenyewe.
Trust me mkuu,najua hela ilivyo ngumu siwezi ingiza mtu chakike.
Kama mtu ana mashaka nipo radhi kukopa hiyo 3m kwa riba ya 1m ndani ya miezi miwili mtu anipe mimi hiyo 3m halafu rejesho ntamrudshia ndani ya miezi miwili ntampa 4m.
Maandishi na kila kitu yatafanyika hata mahakamani au popote ila sikutaka kukopa mtu pesa maana ndio kabisa ningetia watu mashaka,Nimetoa fursa hiyo.
Mwaga hapa hayo mawazo yako ya biasharaNyamaza mkuu,ukisema sana utaambiwa ni ID yangu nyingine.Kuna watu nimeshawaelezea PM kama wakiamua fanya watakuja toa mrejesho HAPA HAPA uzuri huu uzi utadumu hapa milele kama ni utapeli alietapeliwa atarudi hapa hapa kutoa mrejesho.
Acha shobo nimeandika mbona kama inamaana zinaweza ziwepo au zisiwepo. Ww mtu mzima wa jf umefaidika nn mpka sasa huoni aibu upo kwenye kundi la watoto au nyie ndio wale watuwazima hivyo. Balance shobo mjini jfWala sijaona hasira yake , tatizo watoto mmejaa humu JF kazi yenu kuwalisha watu maneno. Mnaudhi sana
lengo/dhumuni/nia/sababu ya kuweka hii ni kunisaidia kupata mke au kuna lingine?Natafuta Mpenzi wa kike Mwenye uwezo Kipesa (Financialy Stable)
Sifa za nimtakae (Mwanamke) Vigezo vyake : Dini : yoyote ile sijali Mtoto : Akiwa nae asizidi mmoja Kazi : Awe mfanyabiashara/Muajiriwa vyovyote ila Ki uchumi awe vyema (Akiwa Mfanyabiashara ningefurahi zaidi) Umri : 25-35YRS Umbo : Asiwe mnene (BONGE) awe wa kawaida Rangi : Yoyote Elimu ...www.jamiiforums.com