Kwa mwenye tetesi kuhusu matokeo kidato cha nne 2013 yanatoka lini naomba anijuze.

Kwa mwenye tetesi kuhusu matokeo kidato cha nne 2013 yanatoka lini naomba anijuze.

Status
Not open for further replies.
mnapiga story eeh matokeo ni bado sana kama vip m2 anayejua sorce atujuze cio kila m2 anataja tarehe
 
Ndugu zangu naomba kuuliza kama matokeo y kidato cha nne 2014 yameshatoka au ndo serikali yetu
 
kwa mujibu wa mageti ya leo tar 13/feb yamesema, kuazia sasa muda wowote yatatangazwa . vuta subila

siasa za bongo! 'muda wowote kuanzia sasa ndio lini hiyo? labda mwezi wa 7,coz nao ni muda wowote kuanzia hivi sasa!
 
kama kiama tu mtashtukizwa tu yakitoka. Haina aja kujua lini kama unajiamini we2lia
 
Sorry wa Tanzania wenzangu matokeo yanatoka lini au tayari.........@
 
wote mnajipa moyo tu matokeo ndo kwanza yana fanyiwa grading and poccesion for arranging mpaka tar 20 ndo zoez linakamilika baada ya hapo wiki mbili za uhakiki after hapo mnayapa bila shaka si kazi rahis hata kdogo

True jaman mbona Mnaturusha rohoo ivyo!!?
 
Punguzeni ghadhabu waeshimiwa.....
Kuna watu CA zao zinatuchanganya sana muda si mrefu tutayaweka
.
Kwa taarifa kuhusu cheti kilicho pote usisite kutupa taarifa kupitia
vyeti@necta.go.tz
.
Poleni na majukumu
 
kabla sjaangalia tokeo ntaomba money kwa maza iyo itakuwa ya msos wa nguvu o kamba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom