Kwa mwezi July 2022 tu, Tanapa yakusanya mapato ya Bilioni 47 kutokana na Utalii

Kwa mwezi July 2022 tu, Tanapa yakusanya mapato ya Bilioni 47 kutokana na Utalii

Ni wonder kwa kweli wakati kila kitu kikiwa disturbed na vita ya Ukraine na athari za COVID-19 sekta ya utalii ina boom! Royal Tour is a real charm tupige season nyingine chap
Kweli kabisa! Ni maajabu kwa kweli maana pamoja na crisis ya kiuchumi inayoendelea duniani alafu sisi tunapandisha mapato namna hii! kweli Samia anastahili pongezi
 
Haya yamesemwa Leo na Kamishna Mkuu wa Uhifadhi TANAPA William Mwakilema huko Mbeya.

Kwa mwezi mmoja tu wa July 2022 Tanzania imepokea Watalii 235,000 ambapo wamekusanya mapato ya Bilioni 47. Hizi Fedha ni nje na Fedha walizolipa watalii kwenye mahoteli na kununua bidhaa mbalimbali Kwa wafanyabiashara wetu! Mwaka Jana July tulipokea Watalii elfu 92 tu.

Kwa jitihada hizi, Kama humpongezi Mama Samia kwa jitihada zake wewe utakuwa unasumbuliwa na sonona na chuki zisizo za kawaida!

Heri ya siku ya wakulima kutokea Mbeya

Lord denning
Sukuma gang na Chadomo watabisha ,utasikia Hatuoni kinachofanyika 😆😆😆😆
 
Wanasumbuliwa na msongo wa mawazo usio wa kawaida 🤣🤣🤣
Basi ni msongo,ni wivu na Uchawi wao kufeli maana walitegemea Rais atashindwa 😁😁..

Utasikia tumepigwa,hamna kitu sijui sauti haina mamlaka na blaa blaa zingine 😜😜.

Sasa Kila wakienda huko au wakisikia wanakuta ni mabilioni tuu yanamiminwa kwenye miradi na hakuna sekta iliyokwama hata tone.
 
Basi ni msongo,ni wivu na Uchawi wao kufeli maana walitegemea Rais atashindwa 😁😁..

Utasikia tumepigwa,hamna kitu sijui sauti haina mamlaka na blaa blaa zingine 😜😜.

Sasa Kila wakienda huko au wakisikia wanakuta ni mabilioni tuu yanamiminwa kwenye miradi na hakuna sekta iliyokwama hata tone.
Saivi wanachofanya ni kujifungia chumbani na kuanzisha uongo na uzandiki

Kuna mmoja jana alitunga uzi kuwa umeme unakatika hovyo nimemuuliza umekatika wapi hajanijibu hadi saivi
 
Saivi wanachofanya ni kujifungia chumbani na kuanzisha uongo na uzandiki

Kuna mmoja jana alitunga uzi kuwa umeme unakatika hovyo nimemuuliza umekatika wapi hajanijibu hadi saivi
Wanaishia kuangukia pua,mara watafutize visababu uchwara na vinabuma na hivi ambavyo wanaona turnout kubwa ya watu kwenye mikutano ya Rais yaani wanachanganyikiwa vibaya 😜😜
 

Attachments

  • Screenshot_20220809-083110.png
    Screenshot_20220809-083110.png
    208.2 KB · Views: 3
  • 20220809_083114.jpg
    20220809_083114.jpg
    68 KB · Views: 3
  • 20220809_083122.jpg
    20220809_083122.jpg
    67.5 KB · Views: 4
Yote hayo ni bure kama litre ya mafuta ina thamani kuliko pound moja na kila kitu kina inflation hadi tunavyozalisha wenyewe nchini.
 
Kuna maswali ya kujiuliza hapa...
1. Ni kwa nini Kenya, Egypt na South Africa ambao hawana vivutio vingi vya asili wanapokea watalii zaidi ya milioni mbili kila mwaka na sisi tunahangaika kuifikia idadi ya milioni moja kwa mwaka?
2. Hivi sasa Ulaya kuna joto sana na athari za vita vya Ukraine vimeleta upungufu wa gesi kwa ajili ya AC, hii haiwezi kuwa ni sababu ya muda mfupi ambayo sio ya kutegemewa kuwa endelevu?
3. Tunajua uchawa ndio ajira kubwa na nyepesi, ambayo inaendana na kumpamba mtu mmoja na kumjazia sifa hatimaye kutothamini mifumo kufanya kazi, hii ni kutu katika ubongo wa watanzania wengi ambayo inatakuwa ipigwe vita.
Customer Care.

Tanzania ina huduma mbaya sana za wateja, kuanzia Airport hadi ukifika Hotelini ndo angalau
 
Kuna maswali ya kujiuliza hapa...
1. Ni kwa nini Kenya, Egypt na South Africa ambao hawana vivutio vingi vya asili wanapokea watalii zaidi ya milioni mbili kila mwaka na sisi tunahangaika kuifikia idadi ya milioni moja kwa mwaka?
2. Hivi sasa Ulaya kuna joto sana na athari za vita vya Ukraine vimeleta upungufu wa gesi kwa ajili ya AC, hii haiwezi kuwa ni sababu ya muda mfupi ambayo sio ya kutegemewa kuwa endelevu?
3. Tunajua uchawa ndio ajira kubwa na nyepesi, ambayo inaendana na kumpamba mtu mmoja na kumjazia sifa hatimaye kutothamini mifumo kufanya kazi, hii ni kutu katika ubongo wa watanzania wengi ambayo inatakuwa ipigwe vita.
Baadhi / Wale hawakutarajia maendeleo haya watayabeza ni utamaduni wa MNAFKI.
 
Kama kweli Basi rais Samia amalizie kujenga0 bwawa la Nyerere
 
Baada ya Chanjo kupatikana zile pending reservations zikawa activated.

Sasa wale walioshindwa kusafiri wakaanza kusafiri tena.

Ukiachana na hiyo factor pia hii ni high season watalii huwa wengi.

Next year baada ya covid reservations kuanza kupungua tutaona hiyo tuwa kama ina impact yoyote.
 
Back
Top Bottom