Kwa mwezi July 2022 tu, Tanapa yakusanya mapato ya Bilioni 47 kutokana na Utalii

Kwa mwezi July 2022 tu, Tanapa yakusanya mapato ya Bilioni 47 kutokana na Utalii

Haya yamesemwa Leo na Kamishna Mkuu wa Uhifadhi TANAPA William Mwakilema huko Mbeya.

Kwa mwezi mmoja tu wa July 2022 Tanzania imepokea Watalii 235,000 ambapo wamekusanya mapato ya Bilioni 47. Hizi Fedha ni nje na Fedha walizolipa watalii kwenye mahoteli na kununua bidhaa mbalimbali Kwa wafanyabiashara wetu! Mwaka Jana July tulipokea Watalii elfu 92 tu.

Kwa jitihada hizi, Kama humpongezi Mama Samia kwa jitihada zake wewe utakuwa unasumbuliwa na sonona na chuki zisizo za kawaida!

Heri ya siku ya wakulima kutokea Mbeya

Lord denning

Hahaha
Kwani utalii ulifungwa then yy akaja kufungua ?

Mama Samia anafanya kazi mzuri yes but sifa zingine ni za uongo mkubwa
 
Siwezi kutulia wakati Mama Samia anafanya maajabu! Haya maajabu lazima yasemwe na yapongezwe haswa

Yy ndio kaleta watalii?

Au yy ametoa nafuu gani ya gate fees ?

Kwenye swala la mafuta kweli tunaona mapambano yake hayo mengine no sifa ambazo sio zake
 
Baada ya Chanjo kupatikana zile pending reservations zikawa activated.

Sasa wale walioshindwa kusafiri wakaanza kusafiri tena.

Ukiachana na hiyo factor pia hii ni high season watalii huwa wengi.

Next year baada ya covid reservations kuanza kupungua tutaona hiyo tuwa kama ina impact yoyote.

Umeongea fact
 
Back
Top Bottom