Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #21
Kweli kabisa! Ni maajabu kwa kweli maana pamoja na crisis ya kiuchumi inayoendelea duniani alafu sisi tunapandisha mapato namna hii! kweli Samia anastahili pongeziNi wonder kwa kweli wakati kila kitu kikiwa disturbed na vita ya Ukraine na athari za COVID-19 sekta ya utalii ina boom! Royal Tour is a real charm tupige season nyingine chap
kupanda wa bei za bidhaa ni world crisis wapi duniani saivi hakuna inflation?Hata dagaa ambao hawatoki Ukraine wanepanda bei kwa 40%
Au mafuta ya kuendesha boti za uvuvi nayo mama kapandisha kwa 40%?
Wapike data ili iweje?Kama wasingekuwa na tabia ya kupika data ningewaamini, lakini sio kulazimishana kuimba mapambio kama mazuzu.
Sukuma gang na Chadomo watabisha ,utasikia Hatuoni kinachofanyika 😆😆😆😆Haya yamesemwa Leo na Kamishna Mkuu wa Uhifadhi TANAPA William Mwakilema huko Mbeya.
Kwa mwezi mmoja tu wa July 2022 Tanzania imepokea Watalii 235,000 ambapo wamekusanya mapato ya Bilioni 47. Hizi Fedha ni nje na Fedha walizolipa watalii kwenye mahoteli na kununua bidhaa mbalimbali Kwa wafanyabiashara wetu! Mwaka Jana July tulipokea Watalii elfu 92 tu.
Kwa jitihada hizi, Kama humpongezi Mama Samia kwa jitihada zake wewe utakuwa unasumbuliwa na sonona na chuki zisizo za kawaida!
Heri ya siku ya wakulima kutokea Mbeya
Lord denning
Kwa mikakati hii, lazima iwe endelevuIwe endelevu
Wanasumbuliwa na msongo wa mawazo usio wa kawaida 🤣🤣🤣Sukuma gang na Chadomo watabisha ,utasikia Hatuoni kinachofanyika 😆😆😆😆
Basi ni msongo,ni wivu na Uchawi wao kufeli maana walitegemea Rais atashindwa 😁😁..Wanasumbuliwa na msongo wa mawazo usio wa kawaida 🤣🤣🤣
South Africa na Kenya wanavyo vivutio vingi vya asili.1. Ni kwa nini Kenya, Egypt na South Africa ambao hawana vivutio vingi vya asili
Saivi wanachofanya ni kujifungia chumbani na kuanzisha uongo na uzandikiBasi ni msongo,ni wivu na Uchawi wao kufeli maana walitegemea Rais atashindwa 😁😁..
Utasikia tumepigwa,hamna kitu sijui sauti haina mamlaka na blaa blaa zingine 😜😜.
Sasa Kila wakienda huko au wakisikia wanakuta ni mabilioni tuu yanamiminwa kwenye miradi na hakuna sekta iliyokwama hata tone.
Wanaishia kuangukia pua,mara watafutize visababu uchwara na vinabuma na hivi ambavyo wanaona turnout kubwa ya watu kwenye mikutano ya Rais yaani wanachanganyikiwa vibaya 😜😜Saivi wanachofanya ni kujifungia chumbani na kuanzisha uongo na uzandiki
Kuna mmoja jana alitunga uzi kuwa umeme unakatika hovyo nimemuuliza umekatika wapi hajanijibu hadi saivi
Hawa hawatupi tabu saivi! Tumeshawajua ni msongo wa mawazo na kukosa ulaji ndo vinawasumbuaWanaishia kuangukia pua,mara watafutize visababu uchwara na vinabuma na hivi ambavyo wanaona turnout kubwa ya watu kwenye mikutano ya Rais yaani wanachanganyikiwa vibaya 😜😜
Hata nami huwa nawashangaa, sijui huwa wanapika data ili iweje!Wapike data ili iweje?
Mama Samia hana haja ya kupika dataHata mimi nilikuwa nawashangaa, sijui walikuwa wanapika data ili iweje!
Customer Care.Kuna maswali ya kujiuliza hapa...
1. Ni kwa nini Kenya, Egypt na South Africa ambao hawana vivutio vingi vya asili wanapokea watalii zaidi ya milioni mbili kila mwaka na sisi tunahangaika kuifikia idadi ya milioni moja kwa mwaka?
2. Hivi sasa Ulaya kuna joto sana na athari za vita vya Ukraine vimeleta upungufu wa gesi kwa ajili ya AC, hii haiwezi kuwa ni sababu ya muda mfupi ambayo sio ya kutegemewa kuwa endelevu?
3. Tunajua uchawa ndio ajira kubwa na nyepesi, ambayo inaendana na kumpamba mtu mmoja na kumjazia sifa hatimaye kutothamini mifumo kufanya kazi, hii ni kutu katika ubongo wa watanzania wengi ambayo inatakuwa ipigwe vita.
Baadhi / Wale hawakutarajia maendeleo haya watayabeza ni utamaduni wa MNAFKI.Kuna maswali ya kujiuliza hapa...
1. Ni kwa nini Kenya, Egypt na South Africa ambao hawana vivutio vingi vya asili wanapokea watalii zaidi ya milioni mbili kila mwaka na sisi tunahangaika kuifikia idadi ya milioni moja kwa mwaka?
2. Hivi sasa Ulaya kuna joto sana na athari za vita vya Ukraine vimeleta upungufu wa gesi kwa ajili ya AC, hii haiwezi kuwa ni sababu ya muda mfupi ambayo sio ya kutegemewa kuwa endelevu?
3. Tunajua uchawa ndio ajira kubwa na nyepesi, ambayo inaendana na kumpamba mtu mmoja na kumjazia sifa hatimaye kutothamini mifumo kufanya kazi, hii ni kutu katika ubongo wa watanzania wengi ambayo inatakuwa ipigwe vita.
Mamlaka husika ZIJE NA JIBU KWANINI HILI.Customer Care.
Tanzania ina huduma mbaya sana za wateja, kuanzia Airport hadi ukifika Hotelini ndo angalau
Nani kakwambia ujenzi wa Bwawa la Nyerere umesimama?Kama kweli Basi rais Samia amalizie kujenga0 bwawa la Nyerere