Kwa Mziki huu hakyanani kuna Mtu atakufa Goli 15 kwa 0 tarehe 13 August, 2022

Kwa Mziki huu hakyanani kuna Mtu atakufa Goli 15 kwa 0 tarehe 13 August, 2022

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Aishi Manuka
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Henock Inonga
5. Mohammed Outtara
6. Victor Agban
7. Okra Messi wa Ghana
8. Clatous Chama
9. Moses Phiri
10. Lobi Manzoki GENTAMYCINE
11. Pape Sakho

Tutaheshimiana tu Msimu huu sawa?
 
1. Aishi Manuka
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Henock Inonga
5. Mohammed Outtara
6. Victor Agban
7. Okra Messi wa Ghana
8. Clatous Chama
9. Moses Phiri
10. Lobi Manzoki GENTAMYCINE
11. Pape Sakho

Tutaheshimiana tu Msimu huu sawa?
Punguza foreigners wanane tu ndio wanaruhusiwa kwa mechi 1 yaani wanao Anza na na sub
 
Ikiwa Mayele alipo cheza na Makambo pale mbele Simba walipoteana vibaya, Sasa wameongezeka Morrison na K Azizz, Fesal yupo nyuma Yao.
Kwa uchache naziona Goli 3/4.
 
Kwa kikosi hicho nishatabiri msimu wa Yanga kupewa kifurushi kizito umewadia ,msimu ujao 3+ zitamhusu tu hana pa kutokea [emoji38][emoji38]
 
Ikiwa Mayele alipo cheza na Makambo pale mbele Simba walipoteana vibaya, Sasa wameongezeka Morrison na K Azizz, Fesal yupo nyuma Yao.
Kwa uchache naziona Goli 3/4.
Morison usimtegemee sana huyo hajawahi kuwin award yoyote nchini ,ni msumbufu tu ila si bora kitimu ndo maana hata Simba alikuwa si regular starter
 
Morison usimtegemee sana huyo hajawahi kuwin award yoyote nchini ,ni msumbufu tu ila si bora kitimu ndo maana hata Simba alikuwa si regular starter
Naunga hoja kabisa Morrison Ana msaada mkubwa kwa mechi za kimataifa huko hawamjui vzr Ila ligi ya ndani ni kawaida Sana alafu wanampanikisha fasta na anajaa.
Sikumbuki alipokua Simba km aliwahi isaidia kiivo Simba kwenye ligi ya ndani Ila kimataifa Morrison alikua mkombozi wetu na tegemeo.

So Morrison atawasave kimataifa zaidi kuliko kwenye ligi ya ndani.
 
Morison usimtegemee sana huyo hajawahi kuwin award yoyote nchini ,ni msumbufu tu ila si bora kitimu ndo maana hata Simba alikuwa si regular starter
Jitahidi kutumia akili yako mwenyewe katika kufikiri,usikaririshwe,unakumbuka Morson kabla hajaenda makolokoloni aliwafunga goli moja kali sana? Unakumbuka Morson alifanya Nini akiwa anaichezea makolo mechi na Orlando pirates pale Lupaso? Masikini makolo!!!
 
Morison usimtegemee sana huyo hajawahi kuwin award yoyote nchini ,ni msumbufu tu ila si bora kitimu ndo maana hata Simba alikuwa si regular starter
Tunahitaji usumbufu wa Morrison Ili Mayele awe free kufanya yake. Tunahitaji mabeki wa Simba wajue sio Kuna Mayele tu, yupo Morrison na AZZ K na Faisal Ili tuone ubora wa Beki za Simba.
 
Back
Top Bottom