Huyo Aishi Manuka ndiyo huyo mchezaji mpya mliye msaini juzi kwa mkataba wa miaka mitatu, au!!!1. Aishi Manuka
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Henock Inonga
5. Mohammed Outtara
6. Victor Agban
7. Okra Messi wa Ghana
8. Clatous Chama
9. Moses Phiri
10. Lobi Manzoki GENTAMYCINE
11. Pape Sakho
Tutaheshimiana tu Msimu huu sawa?
Makolo si wanamfanya sakho awe mbadala wa mchezaji mwingine wa kigeni au hutaki sasa?Unategemea Kumsajili katika Timu yako ya Ukoo Kijijini Kwenu Kyaka Nkunde au?
Mimi nimeona wa nje wako 8 hapo. Au wewe umehesabu vibaya mkuu ?Bamjui kanuni wachezaji wa nje 8 ktk game moja. Hao wote labda mchangani
AiseeeeManzoki ni Juma Balinya wa msimbazi.
Kaka mark my words kawekewa dau dola za kimarekani elf 40+ na yule mzee wakutetema bado tu kuweka sahihi yake kwa madiba, wanaogopa kutangaza hizi mambo watawavunja mioyo mashabikiUnategemea Kumsajili katika Timu yako ya Ukoo Kijijini Kwenu Kyaka Nkunde au?
Hapo wako 8 tu..Punguza foreigners wanane tu ndio wanaruhusiwa kwa mechi 1 yaani wanao Anza na na sub