Kwa Mziki huu hakyanani kuna Mtu atakufa Goli 15 kwa 0 tarehe 13 August, 2022

Huyo Aishi Manuka ndiyo huyo mchezaji mpya mliye msaini juzi kwa mkataba wa miaka mitatu, au!!!

Kweli mtatisha sana.
 
Bamjui kanuni wachezaji wa nje 8 ktk game moja. Hao wote labda mchangani
Mimi nimeona wa nje wako 8 hapo. Au wewe umehesabu vibaya mkuu ?
Wazawa ni
1. Manula
2. Zimbwe
3. Kapombe
Wageni ni
1. Inonga
2. Ouattara
3. Akpan
4. Okrah
5. Chama
6. Phiri
7. Sakho
8. Manzoki

3+8=11

NB: Japokua hicho kikosi naona kama hakija"balance"
 
Unategemea Kumsajili katika Timu yako ya Ukoo Kijijini Kwenu Kyaka Nkunde au?
Kaka mark my words kawekewa dau dola za kimarekani elf 40+ na yule mzee wakutetema bado tu kuweka sahihi yake kwa madiba, wanaogopa kutangaza hizi mambo watawavunja mioyo mashabiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…