Kwa namna fulani Ustaarabu katika jamii yetu hivi sasa ni tofauti na zamani

Kwa namna fulani Ustaarabu katika jamii yetu hivi sasa ni tofauti na zamani

JEJUTz

Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
75
Reaction score
197
Hey wanajamvi heri ya msimu huu wa sikukuu na tukiwa tunaelekea kumaliza mwaka, naamini pilika zinawaendea vizuri kabisa.

Kwa sisi tunaopata nafasi ya kuzunguka sehemu tofauti tofauti ndani ya nchi hii,naweza kusema Watanzani angalau sasa tumekuwa wastaarabu.

Zamani ulikuwa ukiingia maeneo ya stand,sokoni na huko kwenye mikusanyiko ya watu utakutana na mizozo,fujo, matusi hali iliyopelekea watu kupigana na kuumizana vibaya.

Siku hizi ni nadra kuona watu wakipigana ingawa purukushani za hapa na pale zipo ingawa si kama zaman.Zamani watu walikuwa wababe na walipenda fujo hasa!

Tangu mwaka huu uanze takriban mikoa kumi na tatu ambayo nimezunguka sijashuhudia kadhia, mtafuruku wala fujo ya aina yoyote .

Kwa hili linatosha kuthibitisha kuwa jamii ya Kitanzani kwa kiasi fulani imestaarabika.

Ms.JJ.....Tchao
 
Unawajua panya road wewe..?
ulishawahi kuingia kwenye kumi na nane za wale "Tuma kwenye hii namba jina litakuja komamanga dungayeye"..?

Uliona ile video ya bonge akitekwa, sasa na ule mwili alikuwa analia japo mwili ndo ulimsaidia!, lile jambo likukute wewe kimbaombao!.

Jamii imestaarabika sikuhizi ukifumwa na mke wa mtu, huyo mtu anakufanyia jambo lakuumiza utu wako...🤣

Jamii iliyostaharabika sasahivi vijana tunalizwa na mashangazi na mashangazi wanalizwa na vijana!.😂

Halafu kuna wale jamaa wanajiita mixx by yas zamani walikuwa wanajiita tigo...

mi naona jamii imevurugwa, jana uliona picha ya yule mkuu wa kituo cha polisi alivyocharangwa fimbo..?🤣
 
Unawajua panya road wewe..?
ulishawahi kuingia kwenye kumi na nane za wale "Tuma kwenye hii namba jina litakuja komamanga dungayeye"..?

Uliona ile video ya bonge akitekwa, sasa na ule mwili alikuwa analia japo mwili ndo ulimsaidia!, lile jambo likukute wewe kimbaombao!.

Jamii imestaarabika sikuhizi ukifumwa na mke wa mtu, huyo mtu anakufanyia jambo lakuumiza utu wako...🤣

Jamii iliyostaharabika sasahivi vijana tunalizwa na mashangazi na mashangazi wanalizwa na vijana!.😂

Halafu kuna wale jamaa wanajiita mixx by yas zamani walikuwa wanajiita tigo...

mi naona jamii imevurugwa, jana uliona picha ya yule mkuu wa kituo cha polisi alivyocharangwa fimbo..?🤣
Hatari Sana Dunia ya sasa
 
Hey wanajamvi heri ya msimu huu wa sikukuu na tukiwa tunaelekea kumaliza mwaka, naamini pilika zinawaendea vizuri kabisa.

Kwa sisi tunaopata nafasi ya kuzunguka sehemu tofauti tofauti ndani ya nchi hii,naweza kusema Watanzani angalau sasa tumekuwa wastaarabu.

Zamani ulikuwa ukiingia maeneo ya stand,sokoni na huko kwenye mikusanyiko ya watu utakutana na mizozo,fujo, matusi hali iliyopelekea watu kupigana na kuumizana vibaya.

Siku hizi ni nadra kuona watu wakipigana ingawa purukushani za hapa na pale zipo ingawa si kama zaman.Zamani watu walikuwa wababe na walipenda fujo hasa!

Tangu mwaka huu uanze takriban mikoa kumi na tatu ambayo nimezunguka sijashuhudia kadhia, mtafuruku wala fujo ya aina yoyote .

Kwa hili linatosha kuthibitisha kuwa jamii ya Kitanzani kwa kiasi fulani imestaarabika.

Ms.JJ.....Tchao
Vitendo vya utekaji,uuaji ndo vinaondoa ustaarabu
 
Siku hizi wajanja hatupigani , kwanza wagonjwa ni wengi, ngumi moja tu UMEKUFA,...siku hizi ukituzingua mchana tunakusaka usiku, ukituzingua kwenye mwanga utatutambua gizani,...ukituzingua hadharani tutajuana sirini,....🔨🔪⛏️
 
Hey wanajamvi heri ya msimu huu wa sikukuu na tukiwa tunaelekea kumaliza mwaka, naamini pilika zinawaendea vizuri kabisa.

Kwa sisi tunaopata nafasi ya kuzunguka sehemu tofauti tofauti ndani ya nchi hii,naweza kusema Watanzani angalau sasa tumekuwa wastaarabu.

Zamani ulikuwa ukiingia maeneo ya stand,sokoni na huko kwenye mikusanyiko ya watu utakutana na mizozo,fujo, matusi hali iliyopelekea watu kupigana na kuumizana vibaya.

Siku hizi ni nadra kuona watu wakipigana ingawa purukushani za hapa na pale zipo ingawa si kama zaman.Zamani watu walikuwa wababe na walipenda fujo hasa!

Tangu mwaka huu uanze takriban mikoa kumi na tatu ambayo nimezunguka sijashuhudia kadhia, mtafuruku wala fujo ya aina yoyote .

Kwa hili linatosha kuthibitisha kuwa jamii ya Kitanzani kwa kiasi fulani imestaarabika.

Ms.JJ.....Tchao
Watanzania ubabe wetu upo mdomoni. Vinywa vyetu vinatema mikwara mizito sana.
 
zamani mtu aliweza pigika mbele ya kadamnasi na watu wanashangilia
 
Hakika ustaarabu upo sisi walevi wapiga kelele na mapambio tukiwa tunarudi majumbani kwetu siku hizi tunapuuzwa tu hatuchapwi mboko na kupopolewa mawe na watoto
 
Back
Top Bottom