Uchaguzi 2020 Kwa namna gani chama imara kama CCM, kikubwa na chenye historia ndefu kinawezaje kusumbuliwa na vyama vidogo?

Siwezi kuamini kuwa JPM anapambana na rushwa CCM, wala hawezi kupambana na rushwa CCM kwa sababu madhabahu ya CCM imejengwa na rushwa hivyo mpambanaji halisi awezae kuiondoa rushwa hapa TZ lazima atoke nje ya CCM rushwa bado ipo CCM na itakuwepo milele yote

Pole nyingi kwa rais aitwae mpambanaji ndani ya CCM.
 

aisee upigaji upo kote hata nje ya ccm upigaji upo,
 
Lakini baba la upigaji si ni CCM au wewe unasemaje?
Wapigaji wapo kwenye kila chama ila kwa Hili CCM wamezidi Sana maana rushwa imefanyika kiwaziwazi mi naonelea Hili Jambo lifike mwisho maana tunapoelekea CCM ndio itaenda kutoa wagombea wabovu na sio washindani kupita vyama vyote
 
Sawa hayo madhabahu ata Kama yalijengwa kwa rushwa hapo tunazungumzia muda uliopita kwa Sasa hayo hayo madhabahu yanaweza kusafishika na ibada ikaendelea. Mimi binafsi naonelea kwenye Hili chama Kama chama kiangalie kwa umakini Sana majina mbayo watakayoyarudish yawe ya ushindani na Wala wasiangalie wakwanza kapata kura ngapi waangalie tu ubora wa watia Nia wote hizo idadi za kura zilizopigwa zitupwe kule au zibaki tu Kama kumbukumbu za yule aliyezinunua kwa wajumbe
 
Kichwa cha habari yako, hakiendani na unachokiandika kwenye thrd. Kuna nini kichwani?
 
tatizo ni MAJIZI.
 
Magufuli amedhamiria kupambana na rushwa kwa hali zote
 
Rushwa rushwa umekuwa wimbo wa taifa kwa CCM Nani atawesa kulimaliza Hili??
 
Wapigaji wapo kwenye kila chama ila kwa Hili CCM wamezidi Sana maana rushwa imefanyika kiwaziwazi mi naonelea Hili Jambo lifike mwisho maana tunapoelekea CCM ndio itaenda kutoa wagombea wabovu na sio washindani kupita vyama vyote
CCM ni baadhi ya watu wanaendekeza rushwa lakini naamini viongozi wakuu watalikemea hilo na kupambana nalo waziwazi,tuna imani na Magufuli.
 
Ndio pekee anayetegemewa kukomesha rushwa ndani ya CCM na wanaCCM kujifunza kuchagua mgombea mwenye uwezo wa kuongoza na sio mgombea mwenye fedha
Tuombe Sana Mungu raisi apate moyo wa kijasiri Kama huo wa kukisafisha chama chake kando na rushwa
 
Bila kupepesa macho wagombea wa CCM Kama watapitishwa wale ambao wamepita kwa kutoa rushwa hi itaenda kufanya upinzani kupita majimbo na kata nyingi Sana
Wale wote walio ongoza kwa kura nyingi kupita wa kwanza na wa pili kwa maana ya gap kuwa kubwa Sana mi naona wote majina yao yasirudi kabisa
 
Kwa watafiti wa siasa kuna majimbo 27 wanaongoza wana CCM ambao uhakika wa kutetea majimbo ni mdogo kuliko walio chukua nafasi ya pili na ya tatu. Siasa ni sayansi.
Hi tafiti naweza nikaikubali kwa namna hali ya chaguzi za kura ya maoni ndani ya CCM jinsi hilivyo endaenda maana rushwa ilikuwa wazi kabisa
 
Tujenge Imani ndugu uwenda akazinduka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…