Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Hii ndiyo comment yangu Bora ya mwezi huuKama mtu aliyekua mzito kama huyu na mwenye ushawishi katika kila wizara anazungushwa basi kwa watu wa kawaida ni majanga.. Ndiyo maana ni vizuri wanapokuwa na vyeo watengeneze Taasisi imara zinazowajibika..
Kabisa,wasiishie kusifia tuKila kukitokea mkutano unaohusu mjadala wa katiba mpya,namsihi awe anajitokeza,atoage maoni yake,ili katiba bora ipatikane.Haya yanayotokea kwake ambayo hakutegemea kukutana nayo,yasije yakamkuta mtoto wake huko mbeleni.Pole sana mzee.
Tatizo wakiwaga kwenye viyoyozi wanaona kama mambo mengine hayawezi kuwakuta.Kama mtu aliyekua mzito kama huyu na mwenye ushawishi katika kila wizara anazungushwa basi kwa watu wa kawaida ni majanga.. Ndiyo maana ni vizuri wanapokuwa na vyeo watengeneze Taasisi imara zinazowajibika..
Acha azungushwe tu ili wakiwa madarakani wajifunze kuweka systems ambazo zitafanya kazi kwa haki bila kujali ikiwa mtu ana refarii au laa!View attachment 2357624
Kwa mjibu wa gazeti la Mwananchi aliyewahi kuwa Katibu Mkuu kiongozi bwana Martin Lumbanga hadi wa leo hii anazungushwa kulipwa haki zake.