Kwa 'Ndiki / Fabo' ya Leo huko 'Kwa Mwinyi' Mkoani Tabora nawaomba wana Simba SC tuelewane mapema kabisa kwa hili

Kwa 'Ndiki / Fabo' ya Leo huko 'Kwa Mwinyi' Mkoani Tabora nawaomba wana Simba SC tuelewane mapema kabisa kwa hili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ushindi kwa Simba SC leo nauona ni wa 20% tu (japo Wakishinda nitashukuru kwani Mechi hii ya leo ni Ngumu hasa kwa nje ya Uwanja), 25% ni Kufungwa na 55% naona ni Sare / Suluhu kwa Simba SC.

Huyo huyo Kiongozi katumiiza kwa Mchezaji Shekhan wa Zanzibar, huyo huyo tena akaja Kutuumiza Mechi ya Fainali ya Mapinduzi Cup Zanzibar tukapigwa Kidude na bado tena mmemuita huko Tabora wakati kule Kagera mlimtenga na Timu ikashinda.

Nyie Viongozi wa Simba SC mnataka GENTAMYCINE niwasaidieni vipi au nifanyeje kuhusu huyo Kiongozi ambaye Kutwa tu Anatumika na Maadui zenu NISIOWAPENDA na ambaye Mjomba wake ndiyo Mganga Mkuu wa Maadui NISIOWAPENDA ambaye ALITUUMIZA vilivyo KINDUMBA / KIUCHAWI na tukafa zile Gongo Tano ( 5 ) za Kutukuka?

Mnanikera sana.
 
Mwanangu kua uyaone
 

Attachments

  • IMG_20240206_092317.jpg
    IMG_20240206_092317.jpg
    85.7 KB · Views: 3
Ushindi kwa Simba SC leo nauona ni wa 20% tu (japo Wakishinda nitashukuru kwani Mechi hii ya leo ni Ngumu hasa kwa nje ya Uwanja), 25% ni Kufungwa na 55% naona ni Sare / Suluhu kwa Simba SC.

Huyo huyo Kiongozi katumiiza kwa Mchezaji Shekhan wa Zanzibar, huyo huyo tena akaja Kutuumiza Mechi ya Fainali ya Mapinduzi Cup Zanzibar tukapigwa Kidude na bado tena mmemuita huko Tabora wakati kule Kagera mlimtenga na Timu ikashinda.
Kama ni betting, muhindi amekomba hela zako zote
 
Ushindi kwa Simba SC leo nauona ni wa 20% tu (japo Wakishinda nitashukuru kwani Mechi hii ya leo ni Ngumu hasa kwa nje ya Uwanja), 25% ni Kufungwa na 55% naona ni Sare / Suluhu kwa Simba SC.

Huyo huyo Kiongozi katumiiza kwa Mchezaji Shekhan wa Zanzibar, huyo huyo tena akaja Kutuumiza Mechi ya Fainali ya Mapinduzi Cup Zanzibar tukapigwa Kidude na bado tena mmemuita huko Tabora wakati kule Kagera mlimtenga na Timu ikashinda.

Nyie Viongozi wa Simba SC mnataka GENTAMYCINE niwasaidieni vipi au nifanyeje kuhusu huyo Kiongozi ambaye Kutwa tu Anatumika na Maadui zenu NISIOWAPENDA na ambaye Mjomba wake ndiyo Mganga Mkuu wa Maadui NISIOWAPENDA ambaye ALITUUMIZA vilivyo KINDUMBA / KIUCHAWI na tukafa zile Gongo Tano ( 5 ) za Kutukuka?

Mnanikera sana.
Utaanza kuokota makopo beach la Kawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom