Kwa neema na baraka za Mungu nitakua spika wa bunge baada ya Dk. Tulia Akson Rais wa Shirikisho la Mabunge duniani atakapomaliza muda wake miaka ijayo

Kwa neema na baraka za Mungu nitakua spika wa bunge baada ya Dk. Tulia Akson Rais wa Shirikisho la Mabunge duniani atakapomaliza muda wake miaka ijayo

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
nina uhakika na hilo kwa baraka na Neema za Mungu. sitanii, sina mazoea na sina mzaha hata kidogo kwenye malengo na matarajio yangu muhimu ya msingi katika kutekeleza kusudi la Mungu ndani ya maisha yangu humu duniani kwa manufaa ya wananchi wote Tanzania.

pamoja na kwamba nimebobea zaidi na kuonekana kwenye masuala ya diplomasia, siasa za kitaifa na kimataifa, bado pia ni mwanasheria mwandamizi ambae naweza kua kiunganishi muhimu sana pale mjengoni, kuwaleta pamoja wabunge wapya na wazamani, wa chama tawala na upinzani na kuwaongoza vyema katika mijadala mbalimbali muhimu ya kisheria kwa usawa, uhuru na haki, kwa mustakabali mwema wa umoja, amani, utulivu na maendeleo ya wanainchi wetu wote huko majimboni nchi nzima, na wakati huo Dr Tulia Akson akishika wadhaifa wa juu zaidi wa kitaifa, serikali kuu nchini...

katika kufikia ndoto hiyo muhimu sana, dhamira, nia azma hiyo ya kizalendo na ya maana sana kwa Taifa,
unadhani ni muhimu zaidi nijiandae, nijipange na kuyafanyia kazi maeneo gani muhimu zaidi ili hatimae kuchochea matokeo chanya ya maamuzi sahihi ya bunge ili yalete athari chanya za moja kwa moja, kwenye maisha halisi ya wananchi, kupitia serikali sikivu ya CCM? 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
nina uhakika na hilo kwa baraka na Neema za Mungu. sitanii, sina mazoea na sina mzaha hata kidogo kwenye malengo na matarajio yangu muhimu ya msingi katika kutekeleza kusudi la Mungu ndani ya maisha yangu humu duniani kwa manufaa ya wananchi wote Tanzania.

pamoja na kwamba nimebobea zaidi na kuonekana kwenye masuala ya diplomasia, siasa za kitaifa na kimataifa, bado pia ni mwanasheria mwandamizi ambae naweza kua kiunganishi muhimu sana pale mjengoni, kuwaleta pamoja wabunge wapya na wazamani, wa chama tawala na upinzani na kuwaongoza vyema katika mijadala mbalimbali muhimu ya kisheria kwa usawa, uhuru na haki, kwa mustakabali mwema wa umoja, amani, utulivu na maendeleo ya wanainchi wetu wote huko majimboni nchi nzima, na wakati huo Dr Tulia Akson akishika wadhaifa wa juu zaidi wa kitaifa, serikali kuu nchini...

katika kufikia ndoto hiyo muhimu sana, dhamira, nia azma hiyo ya kizalendo na ya maana sana kwa Taifa,
unadhani ni muhimu zaidi nijiandae, nijipange na kuyafanyia kazi maeneo gani muhimu zaidi ili hatimae kuchochea matokeo chanya ya maamuzi sahihi ya bunge ili yalete athari chanya za moja kwa moja, kwenye maisha halisi ya wananchi, kupitia serikali sikivu ya CCM? 🐒

Mungu Ibariki Tanzania



we bado Sana labda kwasababu Ccm wanachukuaga low thinkers

Unapost habari unaweka vipanya

Unasifia Sofia ujinga

Mada zako 90% zimejaa utoto.


Unabidi kubadilisha mindset na kuwa positive.

Then make sure unakuwa na wisdom ,kujitambua na kujua unahitaji nini?
 
we bado Sana labda kwasababu Ccm wanachukuaga low thinkers

Unapost habari unaweka vipanya

Unasifia Sofia ujinga

Mada zako 90% zimejaa utoto.


Unabidi kubadilisha mindset na kuwa positive.

Then make sure unakuwa na wisdom ,kujitambua na kujua unahitaji nini?
Ashanti kwa ushauri

japo maoni na mtazamo wako dhidi yangu una ukakasi kidogo na si sahihi.

muhimu zaidi nimeshukuru kwa mawaidha na ushauri kidogo wa maana sana umenipatia.
shukran sana and God bless you 🐒
 
Aisee 😯
Humu jamvini tu unaegemea upande mmoja hapo upo nyuma ya keyboard, hilo jukumu zito si itakuwa shida.
nimeegemea upande moja?
kivip gentleman ili niweze kurekebisha eneo hilo?

hata hivyo,
ile bidii niko nayo kwa keyboard ikiwa field je si inaweza mara elfu moja zaidi na hiyo si nzuri sana gentleman kwaajili ya kusukuma maendeleo?🐒
 
Hakuna atakayeshangaa. Kwa sababu ukweli unajulikana. Vilaza ndiyo wenye nguvu na maamuzi kwenye hii nchi ya kusadikika.
sasa the Muzee,
Baraka na Neema za Mungu ni za uhakika kwa wanao amini Mungu?

sasa wale wa Imani potofu wanategemea ramli na ushirikiana mara sote hawana uhakika, ni chuki na mihememko tu..
hata hivyo nitawongoza na twende pamoja kama taifa, kwani kuna ubaya wowote ndrogo zangoni 🐒

japo zaidi nilihitaji ushauri kuliko malalamiko
 
Pamoja na CCM kukaa wajinga na wapumbavu, ila wewe umewazidi wote. Uspika wa nchi sio cheo Cha chama ni cheo Cha kusimamia serikali. Kwa mambo unayopost hapa hufai hata kuchukua fomu ya kugombea uspika ndani ya CCM.
 
Mh spika anapost vipanya na yule mwingine anapost mambo Kama haya

Ccm ni mkusanyiko wa low thinkers
nadhan jambo muhimu na la maana zaidi ni kuzingatia hoja, hayo mengine ya pembeni pembeni yasikupotezee lengo tafadhali gentleman, be focused 🐒
 
nina uhakika na hilo kwa baraka na Neema za Mungu. sitanii, sina mazoea na sina mzaha hata kidogo kwenye malengo na matarajio yangu muhimu ya msingi katika kutekeleza kusudi la Mungu ndani ya maisha yangu humu duniani kwa manufaa ya wananchi wote Tanzania.

pamoja na kwamba nimebobea zaidi na kuonekana kwenye masuala ya diplomasia, siasa za kitaifa na kimataifa, bado pia ni mwanasheria mwandamizi ambae naweza kua kiunganishi muhimu sana pale mjengoni, kuwaleta pamoja wabunge wapya na wazamani, wa chama tawala na upinzani na kuwaongoza vyema katika mijadala mbalimbali muhimu ya kisheria kwa usawa, uhuru na haki, kwa mustakabali mwema wa umoja, amani, utulivu na maendeleo ya wanainchi wetu wote huko majimboni nchi nzima, na wakati huo Dr Tulia Akson akishika wadhaifa wa juu zaidi wa kitaifa, serikali kuu nchini...

katika kufikia ndoto hiyo muhimu sana, dhamira, nia azma hiyo ya kizalendo na ya maana sana kwa Taifa,
unadhani ni muhimu zaidi nijiandae, nijipange na kuyafanyia kazi maeneo gani muhimu zaidi ili hatimae kuchochea matokeo chanya ya maamuzi sahihi ya bunge ili yalete athari chanya za moja kwa moja, kwenye maisha halisi ya wananchi, kupitia serikali sikivu ya CCM? 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwa mujibu wa Mganga wa wapi?
 
Kumbe ndio maana huwa unajitoa ufahamu humu?

Uspika pekee utakaokuwa ni wa kikao cha familia yako kuhoji nani amekunya bila ya kuflash.
actually,
hilo ni jambo la kitaifa, kuhusisha familia yangu ni kunikosea lakini pia ni kutaka kupotosha wadau juu ya azma na kusudio langu la kuomba Neema na Baraka za Mungu kuongoza Taasisi au muhimili ule muhimu sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote,

niko tayari kupokea mawaidha, nasaha na ushauri ili kuboresha na kuongeza tija na ufanisi wa chombo kile moja kwa moja kwenye maisha ya wananchi pahali walipo 🐒
 
Pamoja na CCM kukaa wajinga na wapumbavu, ila wewe umewazidi wote. Uspika wa nchi sio cheo Cha chama ni cheo Cha kusimamia serikali. Kwa mambo unayopost hapa hufai hata kuchukua fomu ya kugombea uspika ndani ya CCM.
nadhani tuwe wangwana kidogo ndrugu zango, na tujiepushe na upotoshaji ambao unalenga kuwakosesha waTanzania uongozi bora na muhimu katika kuchochea maendeleo...

nadhani chuki binafsi ni vyema tukaziweka kando. ndrugu zango hivi kutoa hoja nzito ambazo ni za uhakika na ukweli ndio ubaya wangu ulipo sio? kwahivyo gentleman hupendi ukweli au hunipendi mimi binafsi?

hata pamoja na maoni na mtazamo huo wa upotoshaji, bado nia, dhamira, dhumuni, azma na kusudio langu la msingi la kua spika wa bunge liko pale pale na ninaendelea kuheshimu maoni na mitazamo yote juu uwezo wangu,

lakini pia nazingatia zaidi, ushauri, nasaha na ushauri utakaosaidia kujirekebisha na kuniimarisha ili kwa wakati muafaka kwa Neema na Baraka za Mungu niweze kuchukua jukumu hilo kubwa, muhimu sana na zito ndani ya nchi yetu 🐒
 
nina uhakika na hilo kwa baraka na Neema za Mungu. sitanii, sina mazoea na sina mzaha hata kidogo kwenye malengo na matarajio yangu muhimu ya msingi katika kutekeleza kusudi la Mungu ndani ya maisha yangu humu duniani kwa manufaa ya wananchi wote Tanzania.

pamoja na kwamba nimebobea zaidi na kuonekana kwenye masuala ya diplomasia, siasa za kitaifa na kimataifa, bado pia ni mwanasheria mwandamizi ambae naweza kua kiunganishi muhimu sana pale mjengoni, kuwaleta pamoja wabunge wapya na wazamani, wa chama tawala na upinzani na kuwaongoza vyema katika mijadala mbalimbali muhimu ya kisheria kwa usawa, uhuru na haki, kwa mustakabali mwema wa umoja, amani, utulivu na maendeleo ya wanainchi wetu wote huko majimboni nchi nzima, na wakati huo Dr Tulia Akson akishika wadhaifa wa juu zaidi wa kitaifa, serikali kuu nchini...

katika kufikia ndoto hiyo muhimu sana, dhamira, nia azma hiyo ya kizalendo na ya maana sana kwa Taifa,
unadhani ni muhimu zaidi nijiandae, nijipange na kuyafanyia kazi maeneo gani muhimu zaidi ili hatimae kuchochea matokeo chanya ya maamuzi sahihi ya bunge ili yalete athari chanya za moja kwa moja, kwenye maisha halisi ya wananchi, kupitia serikali sikivu ya CCM? 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Niko pale 👆
 
Ukitoa hiki kidude ndo tutaamini umeanza kuwa siriasi🐒
usimjaribu kiongozi mtumishi wako kwa tamaa, Furaha na maslahi yako binafsi..

jitenge na upotofu huo kwenye mambo muhimu ya kitaifa..

umenipatia mawaidha mujarabu awali, nimefurahi sana na for sure, inatosha 🐒
 
nina uhakika na hilo kwa baraka na Neema za Mungu. sitanii, sina mazoea na sina mzaha hata kidogo kwenye malengo na matarajio yangu muhimu ya msingi katika kutekeleza kusudi la Mungu ndani ya maisha yangu humu duniani kwa manufaa ya wananchi wote Tanzania.

pamoja na kwamba nimebobea zaidi na kuonekana kwenye masuala ya diplomasia, siasa za kitaifa na kimataifa, bado pia ni mwanasheria mwandamizi ambae naweza kua kiunganishi muhimu sana pale mjengoni, kuwaleta pamoja wabunge wapya na wazamani, wa chama tawala na upinzani na kuwaongoza vyema katika mijadala mbalimbali muhimu ya kisheria kwa usawa, uhuru na haki, kwa mustakabali mwema wa umoja, amani, utulivu na maendeleo ya wanainchi wetu wote huko majimboni nchi nzima, na wakati huo Dr Tulia Akson akishika wadhaifa wa juu zaidi wa kitaifa, serikali kuu nchini...
Mungu Ibariki Tanzania
Tunakuunga mkono asilimia 100% kwa 100% kwasababu naamini Spika lazima awe mwanasheria mbobezi Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?
Pili nimeipenda sana hoja yako kumpokea Dr. Tulia kwasababu Dr. Tulia anakuja kule juu kwenye number moja. Tena hata 2025, mimi ni miongoni mwa wanaounga mkono 2025 twende na mwanamke Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! japo wengi wanadhani na wanaamini mgombea huyo mwanamke wa urais wa CCM 2025 ni lazima awe Rais Samia, mimi nawaambia sio lazima!, mwanamke huyo anaweza kuwa ni Dr. Tulia kwa kuzingatia hoja HII
P
 
Back
Top Bottom