haya ndiyo mawaidha ambayo nafurahi kuyaona ili ninapojipanga niweze kufanya tafiti na kujiridhisha kwamba tatizo ni nini turekebishe na kusahihisha penye kasoro na dosari ili hatimae tuwe na vibrant public institutions zinazoaminika, zinazopendwa na kuheshimika na wananchi wote,Kati ya taasisi inayowaangusha wananchi ni bunge, tunahitaji mabadiliko makubwa ya bunge, na mahakama kama tunataka nchi isonge mbele.
huyo nadhani mnafurahia ile kazi kubwa na nzuri sana anayoifanya bila kuchoka ya kuunganisha mambo makubwa sana yanayofanywa na waandamizi serikalini, kwenye chama kwaajili ya wanainchi ...Huko mjengoni umuweke na Lucas
nadhani tuwe wangwana kidogo ndrugu zango, na tujiepushe na upotoshaji ambao unalenga kuwakosesha waTanzania uongozi bora na muhimu katika kuchochea maendeleo...
nadhani chuki binafsi ni vyema tukaziweka kando. ndrugu zango hivi kutoa hoja nzito ambazo ni za uhakika na ukweli ndio ubaya wangu ulipo sio? kwahivyo gentleman hupendi ukweli au hunipendi mimi binafsi?
hata pamoja na maoni na mtazamo huo wa upotoshaji, bado nia, dhamira, dhumuni, azma na kusudio langu la msingi la kua spika wa bunge liko pale pale na ninaendelea kuheshimu maoni na mitazamo yote juu uwezo wangu,
lakini pia nazingatia zaidi, ushauri, nasaha na ushauri utakaosaidia kujirekebisha na kuniimarisha ili kwa wakati muafaka kwa Neema na Baraka za Mungu niweze kuchukua jukumu hilo kubwa, muhimu sana na zito ndani ya nchi yetu π
Umempa majibu mazuri mpaka atakuwa anabubujikwa na machozi ya furaha huko aliko shemeji yangu Evelyn Salthuyo nadhani mnafurahia ile kazi kubwa na nzuri sana anayoifanya bila kuchoka ya kuunganisha mambo makubwa sana yanayofanywa na waandamizi serikalini, kwenye chama kwaajili ya wanainchi ...
Lengo ilikua agombee ubunge pale mbeya mjini, hata hivyo tumemuomba ajizuie, asubiri kidogo ili Mh.Tulia Akson amalizie ile kazi kubwa sana ameanza kuifanya kwaajili ya wanainchi na watu wa maana sana wa Jimbo la mbeya mjini,
hata hivyo,
Dr.Tulia Akson atakapokua aachukua ule wadhifa mkubwa zaidi wa kitaifa kule serikali kuu, na ndipo sasa fursa na wakati muafaka kwa Neema na Baraka za Mungu wa ndugu yetu huyu Lucas Mwashambwa ambae sote tunampenda, tunamkubali, tunamuamini na anaheshimika sana humu jukwaani kuchukua hatamu za uongozi wa kisiasa katika jimbo la mbeya mjini kiulaini ..
My friend haya mambo ni kujipanga tu π
haya ndiyo mawaidha ambayo nataka licha yakua umenifurahisha sana ushauri namb3..Ukitataka kuwa Spika wa bunge la Tanzania fanya mambo mawili yafuatayo
1. Acha kuwa biased kwa CCM.
2. Weka maslahi ya wananchi mbele.
3. Ondoa hako kanyani kwenye maandishi yako kana kufanya uonekane mtu wa ajabu.
huo ni mpango mzuri sana japo mnaufanya kwa kificho kwasababu huenda kuna nia na agenda ovu mko nayo. hata hivyo hiyo ndiyo demokrasia tukutane uwajani wanainchi wataamua...Sidhani kama utaweza maana mi na mpango wa kuwa Rais alafu kuna rafiki yangu nataka kumpa hiyo nafasi ya kuwa spika
Nikiingia Bungeni nakuhakikishia kuwa utafurahi Mwenyewe na wifi yako ephen.maana mtakuwa mnaingia viwanja vya Bunge na wifi yako ephen mkiwa na pochi zenu mikononi huku mking'aaHuko mjengoni umuweke na Lucas
Yes,Nikiingia Bungeni nakuhakikishia kuwa utafurahi Mwenyewe na wifi yako ephen.maana mtakuwa mnaingia viwanja vya Bunge na wifi yako ephen mkiwa na pochi zenu mikononi huku mking'aa
Nimebubujikwa na machozi ya furaha.....huyo nadhani mnafurahia ile kazi kubwa na nzuri sana anayoifanya bila kuchoka ya kuunganisha mambo makubwa sana yanayofanywa na waandamizi serikalini, kwenye chama kwaajili ya wanainchi ...
Lengo ilikua agombee ubunge pale mbeya mjini, hata hivyo tumemuomba ajizuie, asubiri kidogo ili Mh.Tulia Akson amalizie ile kazi kubwa sana ameanza kuifanya kwaajili ya wanainchi na watu wa maana sana wa Jimbo la mbeya mjini,
hata hivyo,
Dr.Tulia Akson atakapokua anachukua ule wadhifa mkubwa zaidi wa kitaifa kule serikali kuu, na ndipo sasa fursa na wakati muafaka kwa Neema na Baraka za Mungu wa ndugu yetu huyu Lucas Mwashambwa ambae sote tunampenda, tunamkubali, tunamuamini na anaheshimika sana humu jukwaani kuchukua hatamu za uongozi wa kisiasa katika jimbo la mbeya mjini kiulaini ..
My friend haya mambo ni kujipanga tu π
Kwa sifa hizi ulizompa atakua Tu Supikawe bado Sana labda kwasababu Ccm wanachukuaga low thinkers
Unapost habari unaweka vipanya
Unasifia Sofia ujinga
Mada zako 90% zimejaa utoto.
Unabidi kubadilisha mindset na kuwa positive.
Then make sure unakuwa na wisdom ,kujitambua na kujua unahitaji nini?
Unaona bunge ni kitu cha maana sana, unatuhadithia ukidhani tutakuona wa maana?nina uhakika na hilo kwa baraka na Neema za Mungu. sitanii, sina mazoea na sina mzaha hata kidogo kwenye malengo na matarajio yangu muhimu ya msingi katika kutekeleza kusudi la Mungu ndani ya maisha yangu humu duniani kwa manufaa ya wananchi wote Tanzania.
pamoja na kwamba nimebobea zaidi na kuonekana kwenye masuala ya diplomasia, siasa za kitaifa na kimataifa, bado pia ni mwanasheria mwandamizi ambae naweza kua kiunganishi muhimu sana pale mjengoni, kuwaleta pamoja wabunge wapya na wazamani, wa chama tawala na upinzani na kuwaongoza vyema katika mijadala mbalimbali muhimu ya kisheria kwa usawa, uhuru na haki, kwa mustakabali mwema wa umoja, amani, utulivu na maendeleo ya wanainchi wetu wote huko majimboni nchi nzima, na wakati huo Dr Tulia Akson akishika wadhaifa wa juu zaidi wa kitaifa, serikali kuu nchini...
katika kufikia ndoto hiyo muhimu sana, dhamira, nia azma hiyo ya kizalendo na ya maana sana kwa Taifa,
unadhani ni muhimu zaidi nijiandae, nijipange na kuyafanyia kazi maeneo gani muhimu zaidi ili hatimae kuchochea matokeo chanya ya maamuzi sahihi ya bunge ili yalete athari chanya za moja kwa moja, kwenye maisha halisi ya wananchi, kupitia serikali sikivu ya CCM? π
Mungu Ibariki Tanzania
sure,Unaona bunge ni kitu cha maana sana, unatuhadithia ukidhani tutakuona wa maana?
Kisiasa mkuu.nimeegemea upande moja?
kivip gentleman ili niweze kurekebisha eneo hilo?
hata hivyo,
ile bidii niko nayo kwa keyboard ikiwa field je si inaweza mara elfu moja zaidi na hiyo si nzuri sana gentleman kwaajili ya kusukuma maendeleo?π