Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Mechi ya Leo kati ya yanga na Augsburg miamba ya soka ujerumani imetuonyesha picha halisi ya kikosi Cha wananchi.

Timu imetulia, inacheza soka la kitabuni, Inacheza kitimu bila kujali wanacheza na timu iliyo daraja la juu kabisa inayocheza ligi kuu ya ujerumani bundesliga!

Hii inaonyesha kwamba yanga kwa sasa inaweza kucheza na timu yoyote Ile hapa Africa na popote pale!

Wanaoujua mpira tulikuwa atuangalii sana matokeo Bali tulikuwa tinaangalia mambo ya kiufundi zaidi kuanzia team work, physic ya wachezaji, na vitu Kama ivyo, yanga bado wanacho kikosi Cha mauaji.

Dube na baleke ni watu aswaa, kilichobaki kwao ni match fitness kwa dube na baleke ni maelewano tu na wenzake baada ya hapo itakuwa ni balaa mjini!

Matokeo atuyazingatii kutokana na daraja walilopo Augsburg na ligi wanayocheza, aina ya wachezaji walionao na bajeti yao ni mbingu na ardhi ukilinganisha na yanga lakini ni Kipimo mathubuti kwa yanga!

Nachelea kusema wananchi wanayo timu si mchezo Wala siwatishi ndio ukweli!

Kuna mechi ya ngao TRH 8 ninachowaambia ndugu zangu wa Simba kitakachowaokoa na hiki kikombe Cha kipigo Toka kwa yanga ni SANGOMA tu otherwise nayaona maafa mengine YANANUKIA!

Uwezi kwenda kucheza na yanga yenye quality prayer Kila idara na inayocheza kitimu ukaenda kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja! Utaumbuka mapema sana!

Nawapa taadhali mashabiki wa Simba pamoja na kwamba derby uwa aitabiriki lakini timu Bora itaonekana!
 
Ni kweli mna kikosi kizuri ila Yanga ina udhaifu mwingi mno esp kwenye beki, ni Diara ndo anauficha huu udhaifu, maombi yaelekezwe kuwa kufikia tarehe 8, Simba wachezaji wawe bado hawajatengeneza timu ila kama wamesomana na kuwa timu, sijui hata kama yale madude yenu ya blitch mnayorushaga yatafanya kazi.
 
Ni kweli mna kikosi kizuri ila Yanga ina udhaifu mwingi mno esp kwenye beki, ni Diara ndo anauficha huu udhaifu, maombi yaelekezwe kuwa kufikia tarehe 8, Simba wachezaji wawe bado hawajatengeneza timu ila kama wamesomana na kuwa timu, sijui hata kama yale madude yenu ya blitch mnayorushaga yatafanya kazi.
Wewe tulia shida yenu mpira mmeujulia ukubwani, angalia daraja la Augsburg na ligi wanayocheza, angalia kikosi Chao ni Cha mabilioni unalinganishaje na yanga? Ayo madhaifu unayoyaona kwa yanga akuna timu hapa Africa inaweza kufurukuta pamoja na madhaifu yao, umeyaona madhaifu kwakuwa wamecheza na timu Bora inayocheza ulaya, vipi ayo madhaifu mbona mamelodi awakuyatumia? Awakuyaona? Basi mshupaze shingo Cha moto mtakipata
 
Wewe tulia shida yenu mpira mmeujulia ukubwani, angalia daraja la Augsburg na ligi wanayocheza, angalia kikosi Chao ni Cha mabilioni unalinganishaje na yanga? Ayo madhaifu unayoyaona kwa yanga akuna timu hapa Africa inaweza kufurukuta pamoja na madhaifu yao, umeyaona madhaifu kwakuwa wamecheza na timu Bora inayocheza ulaya, vipi ayo madhaifu mbona mamelodi awakuyatumia? Awakuyaona? Basi mshupaze shingo Cha moto mtakipata
Wewe mpira ulizaliwa nao.
Tangu msimu uliopita Yanga ina udhaifu sana tu hapo kwenye beki ni ubora wa diara ndo unauficha huo udhaifu na ndo maana Diara ni moja ya magolikipa wenye sifa nzuri. Ni kwasababu ya kazi aliyoifanya ya kuficha udhaifu wa beki ya Yanga. Narudia, sala zielekezwe kwenye kikosi kipya cha Simba kichelewe kuwa timu.
 
Yanga imeonesha ni timu tishio Africa kwasasa, kikosi cha kipindi cha pili kilicheza kwa maelewano zaidi, ila sijui kwanini mechi kubwa na muhimu Aucho huwa hachezi, leo wakoloni wetu wangelala na viatu.

Safi sana wananchi, timu yetu imetufurahisha, yule Mzee Magoma anazingua sana atakuwa kwa ndani ni Simba katumwa kuua momentum!!
 
Yanga imeonesha ni timu tishio Africa kwasasa, kikosi cha kipindi cha pili kilicheza kwa maelewano zaidi, ila sijui kwanini mechi kubwa na muhimu Aucho huwa hachezi, leo wakoloni wetu wangelala na viatu.

Safi sana wananchi, timu yetu imetufurahisha, yule Mzee Magoma anazingua sana atakuwa kwa ndani ni Simba katumwa kuua momentum!!
Mkuu Aucho hukuona kama kachelewa kuripoti kambini na mwenzie Musonda? Nadhani hata Diarra angekuwa sio golikpa asingeweza kuchezeshwa kwasababu ya fitness.
 
Wewe tulia shida yenu mpira mmeujulia ukubwani, angalia daraja la Augsburg na ligi wanayocheza, angalia kikosi Chao ni Cha mabilioni unalinganishaje na yanga? Ayo madhaifu unayoyaona kwa yanga akuna timu hapa Africa inaweza kufurukuta pamoja na madhaifu yao, umeyaona madhaifu kwakuwa wamecheza na timu Bora inayocheza ulaya, vipi ayo madhaifu mbona mamelodi awakuyatumia? Awakuyaona? Basi mshupaze shingo Cha moto mtakipata
Yeeess.....
 
Mechi ya Leo kati ya yanga na Augsburg miamba ya soka ujerumani imetuonyesha picha halisi ya kikosi Cha wananchi,
Timu imetulia, inacheza soka la kitabuni, Inacheza kitimu bila kujali wanacheza na timu iliyo daraja la juu kabisa inayocheza ligi kuu ya ujerumani bundesliga!
Hii inaonyesha kwamba yanga kwa sasa inaweza kucheza na timu yoyote Ile hapa Africa na popote pale!
Wanaoujua mpira tulikuwa atuangalii sana matokeo Bali tulikuwa tinaangalia mambo ya kiufundi zaidi kuanzia team work, physic ya wachezaji, na vitu Kama ivyo, yanga bado wanacho kikosi Cha mauaji,
Dube na baleke ni watu aswaa, kilichobaki kwao ni match fitness kwa dube na baleke ni maelewano tu na wenzake baada ya hapo itakuwa ni balaa mjini!
Matokeo atuyazingatii kutokana na daraja walilopo Augsburg na ligi wanayocheza, aina ya wachezaji walionao na bajeti yao ni mbingu na ardhi ukilinganisha na yanga lakini ni Kipimo mathubuti kwa yanga!
Nachelea kusema wananchi wanayo timu si mchezo Wala siwatishi ndio ukweli!
Kuna mechi ya ngao TRH 8 ninachowaambia ndugu zangu wa Simba kitakachowaokoa na hiki kikombe Cha kipigo Toka kwa yanga ni SANGOMA tu otherwise nayaona maafa mengine YANANUKIA!
Uwezi kwenda kucheza na yanga yenye quality prayer Kila idara na inayocheza kitimu ukaenda kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja! Utaumbuka mapema sana!
Nawapa taadhali mashabiki wa Simba pamoja na kwamba derby uwa aitabiriki lakini timu Bora itaonekana!
yanga wamepaniwa sana south africa, na wakikutanana sundowns, siku hiyo africa nzima itafunga shughuli zote, na watatandikwa kama nini.
 
Back
Top Bottom