Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

Walicheza na kitimu Cha daraja la 4 uko misri wakachezea kichapo Cha 6-2, walificha matokeo lakini tuliyanyaka si unajua viongozi wao walivyo wazee wa propaganda awakutaka yajulikane watakosa mashabiki kwenye Simba day
Tersana ile ni ya daraja la TATU, walicheza playoff wapande daraja la pili wakaangukia pua. Walishika nafasi ya 6 kwenye timu 6 kwa kupata alama 4, wakati ilitakiwa timu moja tu. Mshindi alipata alama 13.
 
Timu kubwa ambayo mnaweza kuifunga na kusherehekea miaka yote ni Simba.
Yanga ni kama Real Madrid hapa bongo ila kwa mechi za nje ni kama Gwambina au Ihefu ndiyo maana zile 5-1 za Simba mnazikumbuka mpaka leo😁😁😁😁
Na hivi mnakula kichapo 2-1 basi zile 5-1 za Simba ndiyo faraja yenu. Na mtazikumbuka sana zile 5-1😁😁😁😁. Na bado
Kwa kichapo kinachoendelea, mnabidi mzindua jezi za 5imba au 5-1 ili iwe kama faraja yenu
Timu kubwa inayofungwa..!! Hii ni maajabu..!!
 
Back
Top Bottom