Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

Mechi ya Leo kati ya yanga na Augsburg miamba ya soka ujerumani imetuonyesha picha halisi ya kikosi Cha wananchi.

Timu imetulia, inacheza soka la kitabuni, Inacheza kitimu bila kujali wanacheza na timu iliyo daraja la juu kabisa inayocheza ligi kuu ya ujerumani bundesliga!

Hii inaonyesha kwamba yanga kwa sasa inaweza kucheza na timu yoyote Ile hapa Africa na popote pale!

Wanaoujua mpira tulikuwa atuangalii sana matokeo Bali tulikuwa tinaangalia mambo ya kiufundi zaidi kuanzia team work, physic ya wachezaji, na vitu Kama ivyo, yanga bado wanacho kikosi Cha mauaji.

Dube na baleke ni watu aswaa, kilichobaki kwao ni match fitness kwa dube na baleke ni maelewano tu na wenzake baada ya hapo itakuwa ni balaa mjini!

Matokeo atuyazingatii kutokana na daraja walilopo Augsburg na ligi wanayocheza, aina ya wachezaji walionao na bajeti yao ni mbingu na ardhi ukilinganisha na yanga lakini ni Kipimo mathubuti kwa yanga!

Nachelea kusema wananchi wanayo timu si mchezo Wala siwatishi ndio ukweli!

Kuna mechi ya ngao TRH 8 ninachowaambia ndugu zangu wa Simba kitakachowaokoa na hiki kikombe Cha kipigo Toka kwa yanga ni SANGOMA tu otherwise nayaona maafa mengine YANANUKIA!

Uwezi kwenda kucheza na yanga yenye quality prayer Kila idara na inayocheza kitimu ukaenda kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja! Utaumbuka mapema sana!

Nawapa taadhali mashabiki wa Simba pamoja na kwamba derby uwa aitabiriki lakini timu Bora itaonekana!
Inatisha sana.
 
Ni kweli mna kikosi kizuri ila Yanga ina udhaifu mwingi mno esp kwenye beki, ni Diara ndo anauficha huu udhaifu, maombi yaelekezwe kuwa kufikia tarehe 8, Simba wachezaji wawe bado hawajatengeneza timu ila kama wamesomana na kuwa timu, sijui hata kama yale madude yenu ya blitch mnayorushaga yatafanya kazi.
Kiwango cha Dickson Job kinaporomoka

Ukiangalia kuanzia mechi round ya pili ya Simba, Azam Federation finalina Jana Augsburg utaona kabisa Job kiwango kimeshuka, au ana fatigue.

Atafutiwe mbadala sahihi mapema.

Makosa yake huwa anarwkebisha Bacca.

Bacca anafanya kazi ya kufuta makosa ya Job na Mwamnyeto
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ni kweli mna kikosi kizuri ila Yanga ina udhaifu mwingi mno esp kwenye beki, ni Diara ndo anauficha huu udhaifu, maombi yaelekezwe kuwa kufikia tarehe 8, Simba wachezaji wawe bado hawajatengeneza timu ila kama wamesomana na kuwa timu, sijui hata kama yale madude yenu ya blitch mnayorushaga yatafanya kazi.
Lakini pia mabeki walikuwa wanafikiwa Sana kipindi cha Kwanza kwasababu, Viungo walikuwa wamekufa.

Sureboy uwezo wa kawaida, hasa physicality na kukaba na dribbling hawezi, akawa Mudathir pekee.

Kipindi cha Pili, ndio katikati pakatulia baada ya Subs
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
yanga wamepaniwa sana south africa, na wakikutanana sundowns, siku hiyo africa nzima itafunga shughuli zote, na watatandikwa kama nini.
Yanga ilipaniwa mara tu baada ya mechi ya kwanza ya Mamelodi, kwakuwa waliamini Mamelodi anatakiwa kuchukua CAFCL na siyo kusumbuliwa na Yanga.

Ila unaweza kupania wakati Yanga pia siyo wanyonge kabisa
 
Mechi ya Leo kati ya yanga na Augsburg miamba ya soka ujerumani imetuonyesha picha halisi ya kikosi Cha wananchi.

Timu imetulia, inacheza soka la kitabuni, Inacheza kitimu bila kujali wanacheza na timu iliyo daraja la juu kabisa inayocheza ligi kuu ya ujerumani bundesliga!

Hii inaonyesha kwamba yanga kwa sasa inaweza kucheza na timu yoyote Ile hapa Africa na popote pale!

Wanaoujua mpira tulikuwa atuangalii sana matokeo Bali tulikuwa tinaangalia mambo ya kiufundi zaidi kuanzia team work, physic ya wachezaji, na vitu Kama ivyo, yanga bado wanacho kikosi Cha mauaji.

Dube na baleke ni watu aswaa, kilichobaki kwao ni match fitness kwa dube na baleke ni maelewano tu na wenzake baada ya hapo itakuwa ni balaa mjini!

Matokeo atuyazingatii kutokana na daraja walilopo Augsburg na ligi wanayocheza, aina ya wachezaji walionao na bajeti yao ni mbingu na ardhi ukilinganisha na yanga lakini ni Kipimo mathubuti kwa yanga!

Nachelea kusema wananchi wanayo timu si mchezo Wala siwatishi ndio ukweli!

Kuna mechi ya ngao TRH 8 ninachowaambia ndugu zangu wa Simba kitakachowaokoa na hiki kikombe Cha kipigo Toka kwa yanga ni SANGOMA tu otherwise nayaona maafa mengine YANANUKIA!

Uwezi kwenda kucheza na yanga yenye quality prayer Kila idara na inayocheza kitimu ukaenda kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja! Utaumbuka mapema sana!

Nawapa taadhali mashabiki wa Simba pamoja na kwamba derby uwa aitabiriki lakini timu Bora itaonekana!
Umeeleweka vizuri tu jirani
 
Kiwango cha Dickson Job kinaporomoka

Ukiangalia kuanzia mechi round ya pili ya Simba, Azam Federation finalina Jana Augsburg utaona kabisa Job kiwango kimeshuka, au ana fatigue.

Atafutiwe mbadala sahihi mapema.

Makosa yake huwa anarwkebisha Bacca.

Bacca anafanya kazi ya kufuta makosa ya Job na Mwamnyeto
Kweli
 
Mechi ya Leo kati ya yanga na Augsburg miamba ya soka ujerumani imetuonyesha picha halisi ya kikosi Cha wananchi.

Timu imetulia, inacheza soka la kitabuni, Inacheza kitimu bila kujali wanacheza na timu iliyo daraja la juu kabisa inayocheza ligi kuu ya ujerumani bundesliga!

Hii inaonyesha kwamba yanga kwa sasa inaweza kucheza na timu yoyote Ile hapa Africa na popote pale!

Wanaoujua mpira tulikuwa atuangalii sana matokeo Bali tulikuwa tinaangalia mambo ya kiufundi zaidi kuanzia team work, physic ya wachezaji, na vitu Kama ivyo, yanga bado wanacho kikosi Cha mauaji.

Dube na baleke ni watu aswaa, kilichobaki kwao ni match fitness kwa dube na baleke ni maelewano tu na wenzake baada ya hapo itakuwa ni balaa mjini!

Matokeo atuyazingatii kutokana na daraja walilopo Augsburg na ligi wanayocheza, aina ya wachezaji walionao na bajeti yao ni mbingu na ardhi ukilinganisha na yanga lakini ni Kipimo mathubuti kwa yanga!

Nachelea kusema wananchi wanayo timu si mchezo Wala siwatishi ndio ukweli!

Kuna mechi ya ngao TRH 8 ninachowaambia ndugu zangu wa Simba kitakachowaokoa na hiki kikombe Cha kipigo Toka kwa yanga ni SANGOMA tu otherwise nayaona maafa mengine YANANUKIA!

Uwezi kwenda kucheza na yanga yenye quality prayer Kila idara na inayocheza kitimu ukaenda kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja! Utaumbuka mapema sana!

Nawapa taadhali mashabiki wa Simba pamoja na kwamba derby uwa aitabiriki lakini timu Bora itaonekana!
Mimi kilichonishtua kusema YANGA inamechi tarehe 24,28 ,8 na 11. Amepata wapi konfidensi ya kuitaja tarehe 11?.
INATISHA.
 
Mechi ya Leo kati ya yanga na Augsburg miamba ya soka ujerumani imetuonyesha picha halisi ya kikosi Cha wananchi.

Timu imetulia, inacheza soka la kitabuni, Inacheza kitimu bila kujali wanacheza na timu iliyo daraja la juu kabisa inayocheza ligi kuu ya ujerumani bundesliga!

Hii inaonyesha kwamba yanga kwa sasa inaweza kucheza na timu yoyote Ile hapa Africa na popote pale!

Wanaoujua mpira tulikuwa atuangalii sana matokeo Bali tulikuwa tinaangalia mambo ya kiufundi zaidi kuanzia team work, physic ya wachezaji, na vitu Kama ivyo, yanga bado wanacho kikosi Cha mauaji.

Dube na baleke ni watu aswaa, kilichobaki kwao ni match fitness kwa dube na baleke ni maelewano tu na wenzake baada ya hapo itakuwa ni balaa mjini!

Matokeo atuyazingatii kutokana na daraja walilopo Augsburg na ligi wanayocheza, aina ya wachezaji walionao na bajeti yao ni mbingu na ardhi ukilinganisha na yanga lakini ni Kipimo mathubuti kwa yanga!

Nachelea kusema wananchi wanayo timu si mchezo Wala siwatishi ndio ukweli!

Kuna mechi ya ngao TRH 8 ninachowaambia ndugu zangu wa Simba kitakachowaokoa na hiki kikombe Cha kipigo Toka kwa yanga ni SANGOMA tu otherwise nayaona maafa mengine YANANUKIA!

Uwezi kwenda kucheza na yanga yenye quality prayer Kila idara na inayocheza kitimu ukaenda kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja! Utaumbuka mapema sana!

Nawapa taadhali mashabiki wa Simba pamoja na kwamba derby uwa aitabiriki lakini timu Bora itaonekana!
Endeleeni kukalili hamtoamin kitakacho wapata
 
Mechi ya Leo kati ya yanga na Augsburg miamba ya soka ujerumani imetuonyesha picha halisi ya kikosi Cha wananchi.

Timu imetulia, inacheza soka la kitabuni, Inacheza kitimu bila kujali wanacheza na timu iliyo daraja la juu kabisa inayocheza ligi kuu ya ujerumani bundesliga!

Hii inaonyesha kwamba yanga kwa sasa inaweza kucheza na timu yoyote Ile hapa Africa na popote pale!

Wanaoujua mpira tulikuwa atuangalii sana matokeo Bali tulikuwa tinaangalia mambo ya kiufundi zaidi kuanzia team work, physic ya wachezaji, na vitu Kama ivyo, yanga bado wanacho kikosi Cha mauaji.

Dube na baleke ni watu aswaa, kilichobaki kwao ni match fitness kwa dube na baleke ni maelewano tu na wenzake baada ya hapo itakuwa ni balaa mjini!

Matokeo atuyazingatii kutokana na daraja walilopo Augsburg na ligi wanayocheza, aina ya wachezaji walionao na bajeti yao ni mbingu na ardhi ukilinganisha na yanga lakini ni Kipimo mathubuti kwa yanga!

Nachelea kusema wananchi wanayo timu si mchezo Wala siwatishi ndio ukweli!

Kuna mechi ya ngao TRH 8 ninachowaambia ndugu zangu wa Simba kitakachowaokoa na hiki kikombe Cha kipigo Toka kwa yanga ni SANGOMA tu otherwise nayaona maafa mengine YANANUKIA!

Uwezi kwenda kucheza na yanga yenye quality prayer Kila idara na inayocheza kitimu ukaenda kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja! Utaumbuka mapema sana!

Nawapa taadhali mashabiki wa Simba pamoja na kwamba derby uwa aitabiriki lakini timu Bora itaonekana!
Yanga itanifanya nianze kuamini maneno y bosquet kwamba mpira mtamu kuliko sex...sio kwa pira lile,atapigwa mtu wiki siku iyo watu wadai upyaaa B20 zao
 
Kuna MAKOLO yatabisha
Utopolo kwa mechi za Tanzania ni kama Real Madrid ila kwa mechi za nje ni sawa na Ihefu au mashujaa
Shida yenu huwa mnapenda sana kujifananisha na Simba. Mpira ni magoli, wewe cheza uchezavyo ila ukishindwa kufunga magoli. Umecheza utopolo😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Yanga itanifanya nianze kuamini maneno y bosquet kwamba mpira mtamu kuliko sex...sio kwa pira lile,atapigwa mtu wiki siku iyo watu wadai upyaaa B20 zao
Yanga kwa hapa bongo ni kama Real Madrid ila kwa mechi za nje ni sawa na Pamba au Gwambina
 
Hivi 5imba hadi sasa kacheza mechi yoyote kwenye pre-season?
Timu kubwa ambayo mnaweza kuifunga na kusherehekea miaka yote ni Simba.
Yanga ni kama Real Madrid hapa bongo ila kwa mechi za nje ni kama Gwambina au Ihefu ndiyo maana zile 5-1 za Simba mnazikumbuka mpaka leo😁😁😁😁
Na hivi mnakula kichapo 2-1 basi zile 5-1 za Simba ndiyo faraja yenu. Na mtazikumbuka sana zile 5-1😁😁😁😁. Na bado
Kwa kichapo kinachoendelea, mnabidi mzindua jezi za 5imba au 5-1 ili iwe kama faraja yenu
 
Simba wapigwe tu hakuna namna
Kwa kile kichapo cha 2-1. Haujakumbuka ule ushindi wa Simba 5-1?😁😁😁😁😁😁
Yanga kwa mechi za nje ni kama Ihefu tu. Utasikia, angekuwa Simba angepigwa 10. Mechi acheze Yanga, utengeneze picha anacheza na Simba.😁😁😁😁😁
 
Utopolo kwa mechi za Tanzania ni kama Real Madrid ila kwa mechi za nje ni sawa na Ihefu au mashujaa
Shida yenu huwa mnapenda sana kujifananisha na Simba. Mpira ni magoli, wewe cheza uchezavyo ila ukishindwa kufunga magoli. Umecheza utopolo😁😁😁😁😁😁😁😁
Tupe rekodi ya mechi za yanga kimataifa ndio tukuelewe
 
Utopolo kwa mechi za Tanzania ni kama Real Madrid ila kwa mechi za nje ni sawa na Ihefu au mashujaa
Shida yenu huwa mnapenda sana kujifananisha na Simba. Mpira ni magoli, wewe cheza uchezavyo ila ukishindwa kufunga magoli. Umecheza utopolo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mechi za kimataifa kwasasa bado una mashaka na Yanga?
Fainali ya kombe la CAFCC na msimu uliofuata ni robo fainali ya CAFCL na kwenye msimu huo imecheza na top ranked teams ( Al Ahly, Belouizdad na Mamelodi) kuna timu inajitangazaga ni wa tano kwa ubora Africa nayo ilizabwa nje ndani magoli 5 +2. Majibu ya kujifananisha au kutokujifananisha yatapatikana mbeleni maana msimu mpya umeanza na kuna timu ipo shirikisho na nyingine klabu bingwa. Point 15 kwenye CAFCC zinapatikana kwa kufika nusu fainali wakati kwenye CAFCL ni robo fainali tu unavuna point 15
 
Back
Top Bottom