Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

Walicheza na kitimu Cha daraja la 4 uko misri wakachezea kichapo Cha 6-2, walificha matokeo lakini tuliyanyaka si unajua viongozi wao walivyo wazee wa propaganda awakutaka yajulikane watakosa mashabiki kwenye Simba day
Tersana ile ni ya daraja la TATU, walicheza playoff wapande daraja la pili wakaangukia pua. Walishika nafasi ya 6 kwenye timu 6 kwa kupata alama 4, wakati ilitakiwa timu moja tu. Mshindi alipata alama 13.
 
Timu kubwa inayofungwa..!! Hii ni maajabu..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…