Kwa nilichokiona leo, Watumishi wa Umma wategemee nyongeza ndogo chini ya 10% na sio 23 kama wanavyotarajia

Kwa nilichokiona leo, Watumishi wa Umma wategemee nyongeza ndogo chini ya 10% na sio 23 kama wanavyotarajia

Yapo ambayo Mama anaongozwa kweli kabisa, ila sio hili la nyongeza ya mshahara.

Nyongeza ya mshahara haijawahi kuwa zaidi ya elfu 50+, hata enzi ya JK.
Shida ni kwamba mtangulizi wa huyu Rais wa sasa hakuwa akiongeza kila mwaka. Sasa watu walifikiri wakisema nyongeza itakuwa laki 1, 2, 3. Si kweli.

Kwa Uchumi wetu ulivyo ktk nchi, kiwango anachoweza kuongeza, net kabisa kwenye akaunti za benki ikasoma ni hizo hela kuanzia shilingi elfu 7 (7,000/- Tsh) hadi kufikia elfu 30 huko.

Kuhusu nyongeza ya 23% aliyotamka wkt wa Mei mosi, ile ni kweli na kasomeni tena ile barua, inasema, nanukuu kwa ufupi....., "Rais ameridhia nyongeza ya mshahara serikalini/kwa watumishi wa Umma, ikiwemo ongezeko la 23% kwa kima cha chini cha mshahara....."
Sasa waTz either ni wavivu wa kusoma katikati ya mstari "read between the lines" ,au hesabu inawachenga sana.

Haya maneno yana maana,

.... ikiwemo ongezeko la kima cha chini cha mshahara kwa 23% ....

Sasa kima cha chini hadi JK anatoka ni sh 300,000/-. JPM hakuwahi kuongeza.
Sasa mh Samia kawaongeza sh 69,900/- hao wa laki 3 kushuka chini.
Barua haikutaja kuwa waliokuwa wanapokea mshahara wa zaidi ya laki 3, wameongezwa sh ngapi!!


Kwa hiyo acheni kupamba pamba, eti mama anapotoshwa sijui ooh wanataka achukiwe.


Katika hili la nyongeza ya mshahara huo ni uongo au maneno ya kuunga unga.

Huo ndio ufafanuzi sahihi.
Sasa unaongezaje elfu 20 KWa watumishi ambao wamekaa miaka sita BILA nyongeza ,huo ni utani, tunasema nchi maskini wakati wao wanajilipa a lot of money,?
Yani wafanyakazi wa chini linapokuja swala la stahiki zao ndo tunaona nchi maskini, wakati wabunge n.k wanaongezewa mapesa, mav8 yanaunguluma mda wote, Sasa tafaaili ya nchi bado maskini ni ipi
Watumishi wakikutana na nyongeza ya ajabu, na wakaa kimya watakua hawajitambui,

Kama nchi ni maskini anzeni punguza maposho,mishahara yenu, uza mav8 Ili twende sawa
 
Kwanza tukubaliane Kiongozi wa nchi huwa anashauriwa na sio kuongozwa. Lkn kila nikitafakari sasa naona wapo wanaotaka kumuongoza kwa nyuma na kumtoa kwenye reli. Kila akipanga jambo Jema kabisa kama tiba na ya vidonda alivyoacha Magufuli watu humuongoza kutonesha vidonda na kumjenga achukiwe na kila mtu.

1. Mwaka jana alihaidi mwaka huu kutangaza nyongeza ya mshahara mei 1. Kilichofanyika akataka kuzungusha maneno. Mwinyi Zanzibar akasema, Uhuru akasema, Morocco wakasema. Ni kama wakamuongoza na wetu aseme. Ili baadae ije kuwa uongo wamseme na wamchukie sana.

2. Wakati tukifikiria katika haki. Suluhu za kisiasa. Wale waliodidimiza democracy wanapewa vyeo vya juu. Lengo ni kuwafanya wapinzani wakate tamaa na mijadala ife.

Kwa picha ninayoiona walio nyuma yake wanataka achukiwe na kila mtu! Humpa ushauri ili asionekane kuwa bora au nafuu kuliko Mwendazake na kwa kutimiza azma yao wametumia muda wa kutosha kumfanya achinje watumishi maslahi yao ili wajenge chuki na kutomuamini!! Na njia nzuri kutotimiza ahadi na kuja ujanja ujanja.

Natamani raisi awe na mtazamo chanya wa kujenga uadilifu kwa kukataa kuongozwa bali kupokea ushauri kipindi akihitaji kufanya hivyo.
Huwezi fanikiwa maisha kwa kutegemea nyongeza ya mshahara,buni miradi mbalimbali midogomidogo ya kukuongezea kipato,pathetic!
 
Jeshi la Polisi ndiyo kichaka cha Sukuma Gang ambao wameapa kuhakikisha hadi kufika 2025 Hangaya hatamaniki,na kwa uteuzi wa DCI huyu lengo hilo litafikiwa kwa asilimia tisini na tano
Si mlisema sukuma gang imekomeshwa?
 
Ndiyo maana wenye kuitakia mema nchi wanasema elimu yetu inawalakini, wasomi wetu walipigwa na akadabla ya hesabu za asilima, mama akaongeza kodi kwenye mishahara anapunguza mafao ya uzeeni, kisha akawawekea 23% majuha yakawa yanaimba mama anaupiga wingi 😂😂😂, nadhani elimu ya fikra ndiyo ilikuwà inahitajika kufundishwa kuliko elimu shahada. Maana wengi wao waliokuwa wakiimba mapambio ya mama kaupiga ni wasomi ambao walishindwa kung'amua algebra ya asilimia, kama mama kawapiga matofali mazito ya kichwa.🙊😷
 
Yapo ambayo Mama anaongozwa kweli kabisa, ila sio hili la nyongeza ya mshahara.

Nyongeza ya mshahara haijawahi kuwa zaidi ya elfu 50+, hata enzi ya JK.
Shida ni kwamba mtangulizi wa huyu Rais wa sasa hakuwa akiongeza kila mwaka. Sasa watu walifikiri wakisema nyongeza itakuwa laki 1, 2, 3. Si kweli.

Kwa Uchumi wetu ulivyo ktk nchi, kiwango anachoweza kuongeza, net kabisa kwenye akaunti za benki ikasoma ni hizo hela kuanzia shilingi elfu 7 (7,000/- Tsh) hadi kufikia elfu 30 huko.

Kuhusu nyongeza ya 23% aliyotamka wkt wa Mei mosi, ile ni kweli na kasomeni tena ile barua, inasema, nanukuu kwa ufupi....., "Rais ameridhia nyongeza ya mshahara serikalini/kwa watumishi wa Umma, ikiwemo ongezeko la 23% kwa kima cha chini cha mshahara....."
Sasa waTz either ni wavivu wa kusoma katikati ya mstari "read between the lines" ,au hesabu inawachenga sana.

Haya maneno yana maana,

.... ikiwemo ongezeko la kima cha chini cha mshahara kwa 23% ....

Sasa kima cha chini hadi JK anatoka ni sh 300,000/-. JPM hakuwahi kuongeza.
Sasa mh Samia kawaongeza sh 69,900/- hao wa laki 3 kushuka chini.
Barua haikutaja kuwa waliokuwa wanapokea mshahara wa zaidi ya laki 3, wameongezwa sh ngapi!!


Kwa hiyo acheni kupamba pamba, eti mama anapotoshwa sijui ooh wanataka achukiwe.


Katika hili la nyongeza ya mshahara huo ni uongo au maneno ya kuunga unga.

Huo ndio ufafanuzi sawa
Mkuu usiwe msahaulifu kihivyo Mhe Kikwete alikuwa akitamka inaenda kuongezeka kwa wote hasa walimu na afya rate Ile Ile
 
Mkuu usiwe msahaulifu kihivyo Mhe Kikwete alikuwa akitamka inaenda kuongezeka kwa wote hasa walimu na afya rate Ile Ile
Ni kweli Kikwete alikuwa anatamka kwa wote. Juzi Kenya waliongeza kwa wote asilimia ile ile, Ghana hivo hivo .
Tofauti Mama aliamua kuongeza asilimia ya kima cha chini tu.
Soma Kwa utulivu
 
Sasa unaongezaje elfu 20 KWa watumishi ambao wamekaa miaka sita BILA nyongeza ,huo ni utani, tunasema nchi maskini wakati wao wanajilipa a lot of money,?
Yani wafanyakazi wa chini linapokuja swala la stahiki zao ndo tunaona nchi maskini, wakati wabunge n.k wanaongezewa mapesa, mav8 yanaunguluma mda wote, Sasa tafaaili ya nchi bado maskini ni ipi
Watumishi wakikutana na nyongeza ya ajabu, na wakaa kimya watakua hawajitambui,

Kama nchi ni maskini anzeni punguza maposho,mishahara yenu, uza mav8 Ili twende sawa
Nchi hii ngumu. Nisiseme sana
 
Kwanza tukubaliane Kiongozi wa nchi huwa anashauriwa na sio kuongozwa. Lkn kila nikitafakari sasa naona wapo wanaotaka kumuongoza kwa nyuma na kumtoa kwenye reli. Kila akipanga jambo Jema kabisa kama tiba na ya vidonda alivyoacha Magufuli watu humuongoza kutonesha vidonda na kumjenga achukiwe na kila mtu.

1. Mwaka jana alihaidi mwaka huu kutangaza nyongeza ya mshahara mei 1. Kilichofanyika akataka kuzungusha maneno. Mwinyi Zanzibar akasema, Uhuru akasema, Morocco wakasema. Ni kama wakamuongoza na wetu aseme. Ili baadae ije kuwa uongo wamseme na wamchukie sana.

2. Wakati tukifikiria katika haki. Suluhu za kisiasa. Wale waliodidimiza democracy wanapewa vyeo vya juu. Lengo ni kuwafanya wapinzani wakate tamaa na mijadala ife.

Kwa picha ninayoiona walio nyuma yake wanataka achukiwe na kila mtu! Humpa ushauri ili asionekane kuwa bora au nafuu kuliko Mwendazake na kwa kutimiza azma yao wametumia muda wa kutosha kumfanya achinje watumishi maslahi yao ili wajenge chuki na kutomuamini!! Na njia nzuri kutotimiza ahadi na kuja ujanja ujanja.

Natamani raisi awe na mtazamo chanya wa kujenga uadilifu kwa kukataa kuongozwa bali kupokea ushauri kipindi akihitaji kufanya hivyo.
Ulichoandika hakishabihiani na title,kiufupi unaropoka mambo usiyoyaelewa..

Ongezeko la salary ni Kati ya 40,000-55,000 kulingana na scale ya mtu..

Rais aliongeza 23.6% ya kima cha chini na sio 23.6% ya gloss salary so any increament hapo itakuwa subjected to statutory deductions and henceforth take home itaongezeka kwa kiasi nilichotaja sanjali na gross salary
 
Saiv ni mwendo wa kushindia vipande vya mihogo..kula ngano na wali ni luxury.
 
Huo ndo ukweli wenyewe na iko hv kwa wale Maafisa utumishi ambao wana access na mfumo wa mshahara mkeka walishauona ongezeko ni Tshs 20000 flat rate
Hiyo nyingi mno kwa huduma mbovu watumishi wanazotoa kwa wateja wao.
 
Hiyo ndio hali halisi.
Yani nimecheka kijinga Sana,maana
Nimechukua miaka 6 bila nyongeza ×12 month=72month
Then tsh20000÷72month=tsh 278 per month,
So kama kweli mtumishi wa tz kila mwezi alikua anaongezewa 278 tsh Katika kipindi Cha miaka 6
Dunia simama nishuke
 
Yapo ambayo Mama anaongozwa kweli kabisa, ila sio hili la nyongeza ya mshahara.

Nyongeza ya mshahara haijawahi kuwa zaidi ya elfu 50+, hata enzi ya JK.
Shida ni kwamba mtangulizi wa huyu Rais wa sasa hakuwa akiongeza kila mwaka. Sasa watu walifikiri wakisema nyongeza itakuwa laki 1, 2, 3. Si kweli.

Kwa Uchumi wetu ulivyo ktk nchi, kiwango anachoweza kuongeza, net kabisa kwenye akaunti za benki ikasoma ni hizo hela kuanzia shilingi elfu 7 (7,000/- Tsh) hadi kufikia elfu 30 huko.

Kuhusu nyongeza ya 23% aliyotamka wkt wa Mei mosi, ile ni kweli na kasomeni tena ile barua, inasema, nanukuu kwa ufupi....., "Rais ameridhia nyongeza ya mshahara serikalini/kwa watumishi wa Umma, ikiwemo ongezeko la 23% kwa kima cha chini cha mshahara....."
Sasa waTz either ni wavivu wa kusoma katikati ya mstari "read between the lines" ,au hesabu inawachenga sana.

Haya maneno yana maana,

.... ikiwemo ongezeko la kima cha chini cha mshahara kwa 23% ....

Sasa kima cha chini hadi JK anatoka ni sh 300,000/-. JPM hakuwahi kuongeza.
Sasa mh Samia kawaongeza sh 69,900/- hao wa laki 3 kushuka chini.
Barua haikutaja kuwa waliokuwa wanapokea mshahara wa zaidi ya laki 3, wameongezwa sh ngapi!!


Kwa hiyo acheni kupamba pamba, eti mama anapotoshwa sijui ooh wanataka achukiwe.


Katika hili la nyongeza ya mshahara huo ni uongo au maneno ya kuunga unga.

Huo ndio ufafanuzi sahihi.
Wanataka kumlaumu Raisi tu, ikiwa alishasema wazi kuwa ongezeko ni kwa kima Cha chini.
Watumishi wengi wa umma ni walimu, hivyo sishangai kuwa na misinterpretation
 
Yani nimecheka kijinga Sana,maana
Nimechukua miaka 6 bila nyongeza ×12 month=72month
Then tsh20000÷72month=tsh 278 per month,
So kama kweli mtumishi wa tz kila mwezi alikua anaongezewa 278 tsh Katika kipindi Cha miaka 6
Dunia simama nishuke
Kama unaona ndogo acha kazi. Acheni ujuha nyie walimu msiojielewa
 
Back
Top Bottom