Kwa nilichokiona leo, Watumishi wa Umma wategemee nyongeza ndogo chini ya 10% na sio 23 kama wanavyotarajia

Kwa nilichokiona leo, Watumishi wa Umma wategemee nyongeza ndogo chini ya 10% na sio 23 kama wanavyotarajia

Mkuu usiwe msahaulifu kihivyo Mhe Kikwete alikuwa akitamka inaenda kuongezeka kwa wote hasa walimu na afya rate Ile Ile
Mama Samia alitamka kwa wote? Mbona mma vichwa vigumu? Mliambiwa ni kwa kima Cha chini
 
Hapa mama hajaongeza mshahara bali ametekeleza sheria ya ajira inayitwa statutory annual increment. Hii iko kwenye mkataba wako wa ajira

Inawezekana nyongeza akaongeza miezi ijayo
 
Kuna tofauti ya increament na addition.

Hiyo mnayojadili ni increament ambayo ipo kisheria na magufuli alibinya kwa mabavu.

Addition ni ongezeko hasa, mzigo kweli kweli. Til 1.7 kwenye bajet imepiti7hwa kuongeza mishahara.

Rais hana blabla, jmosi asubuh na mapema wafanyakaz wanaenda kufunga masoko, hongerdni.
 
Kuna tofauti ya increament na addition.

Hiyo mnayojadili ni increament ambayo ipo kisheria na magufuli alibinya kwa mabavu.

Addition ni ongezeko hasa, mzigo kweli kweli. Til 1.7 kwenye bajet imepiti7hwa kuongeza mishahara.

Rais hana blabla, jmosi asubuh na mapema wafanyakaz wanaenda kufunga masoko, hongerdni.
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Ndipo kutakuwa na kilio na kusaga meno
 
Magufuli mlisema alijiona ndio kila kitu akawa hataki ushauri. Huyu mnasema anashauriwa ndio maana anaharibu. Hebu wabongo mjikusanye kisha muamue moja mnakata rais afanyeje?

Ndio maana Magu aliamua kufanya kilicho bora kwa nchi bila kutaka kusikiliza sauti za nje. Na alipoona kuna sauti za uzushi alizizima mara moja. Kafanya yake kamaliza kasepa. Huo ndio uongozi wa kiafrika.
Mfyuuu
 
Kuna tofauti ya increament na addition.

Hiyo mnayojadili ni increament ambayo ipo kisheria na magufuli alibinya kwa mabavu.

Addition ni ongezeko hasa, mzigo kweli kweli. Til 1.7 kwenye bajet imepiti7hwa kuongeza mishahara.

Rais hana blabla, jmosi asubuh na mapema wafanyakaz wanaenda kufunga masoko, hongerdni.
Sina uhakika lakini naamini kwa hizi akili zako huenda ni mwalimu
 
Ndiyo maana wenye kuitakia mema nchi wanasema elimu yetu inawalakini, wasomi wetu walipigwa na akadabla ya hesabu za asilima, mama akaongeza kodi kwenye mishahara anapunguza mafao ya uzeeni, kisha akawawekea 23% majuha yakawa yanaimba mama anaupiga wingi 😂😂😂, nadhani elimu ya fikra ndiyo ilikuwà inahitajika kufundishwa kuliko elimu shahada. Maana wengi wao waliokuwa wakiimba mapambio ya mama kaupiga ni wasomi ambao walishindwa kung'amua algebra ya asilimia, kama mama kawapiga matofali mazito ya kichwa.🙊😷
Mnyakyusa mwenye akili ni professa mwandosya.wengine takataka tuu.na wewe ukiwemo wewe sawa na mwakyembe,tuliaackson.etc etc etc
 
Mnyakyusa mwenye akili ni professa mwandosya.wengine takataka tuu.na wewe ukiwemo wewe sawa na mwakyembe,tuliaackson.etc etc etc
Nyinyi watu Mwakaleli baadhi yenu akili zenu kama kipofu alibahati kuona siku moja alafu akamuona jogoo. Lakini mimi nimerusha jiwe gizani. ungekuwa na fikra pevu ungenielewa ila kwa vile ulienda shule kupata cheti Mungu akusamehe bure.
 
Yapo ambayo Mama anaongozwa kweli kabisa, ila sio hili la nyongeza ya mshahara.

Nyongeza ya mshahara haijawahi kuwa zaidi ya elfu 50+, hata enzi ya JK.
Shida ni kwamba mtangulizi wa huyu Rais wa sasa hakuwa akiongeza kila mwaka. Sasa watu walifikiri wakisema nyongeza itakuwa laki 1, 2, 3. Si kweli.

Kwa Uchumi wetu ulivyo ktk nchi, kiwango anachoweza kuongeza, net kabisa kwenye akaunti za benki ikasoma ni hizo hela kuanzia shilingi elfu 7 (7,000/- Tsh) hadi kufikia elfu 30 huko.

Kuhusu nyongeza ya 23% aliyotamka wkt wa Mei mosi, ile ni kweli na kasomeni tena ile barua, inasema, nanukuu kwa ufupi....., "Rais ameridhia nyongeza ya mshahara serikalini/kwa watumishi wa Umma, ikiwemo ongezeko la 23% kwa kima cha chini cha mshahara....."
Sasa waTz either ni wavivu wa kusoma katikati ya mstari "read between the lines" ,au hesabu inawachenga sana.

Haya maneno yana maana,

.... ikiwemo ongezeko la kima cha chini cha mshahara kwa 23% ....

Sasa kima cha chini hadi JK anatoka ni sh 300,000/-. JPM hakuwahi kuongeza.
Sasa mh Samia kawaongeza sh 69,900/- hao wa laki 3 kushuka chini.
Barua haikutaja kuwa waliokuwa wanapokea mshahara wa zaidi ya laki 3, wameongezwa sh ngapi!!


Kwa hiyo acheni kupamba pamba, eti mama anapotoshwa sijui ooh wanataka achukiwe.


Katika hili la nyongeza ya mshahara huo ni uongo au maneno ya kuunga unga.

Huo ndio ufafanuzi sahihi.
Nilifafanua. Haya semeni watumishi wa Umma, mmeongezwa sh ngapi 🤣
 
Back
Top Bottom