Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Ona huyu sijui mshika pochi wakati muhusika anahutubua?? Njaa mbaya sana yani kipindi hiki cha Corona Mbeya kila kona wanamwimba Tulia?? Heri hata ungesema wanamzungumzia!!! Shida hamna kazi nyingine za kufanya ndiyo maana lazima hata kipindi kama hiki muendelee kujipendekeza tu!!
 
Tulia naye ni tulimumo
 
Unamwonea wivu? Kagombee kupitia Chadema kama utashinda

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa sio wivu na mimi sio mwanasiasa na wala sijnaga ivhaddema me nasema tu pale sehemu ni maskini sana, nlipata bahati ya kuzunguka karibia nchi nzima so sehemu kibao nazijua zilivyo yan physical appearance, mkuu unaleta mambo ya mashindano tena ? nyie ndio mnarudisha nyuma hii nchi badala uje useme kwanini ile sehemu iko vile na spika wa bunge ndio mbunge we umelenga kwene kushindana na mjomba wako sijui, ishue sio kushinda ubunge mahali husika ishue je utaweza kudeliver ? kama unashinda tu alafu hufanyi kitu hiyo ni dhambi, me na mambo ya wanasiasa ni tofauti.
 
Mbeya mkitaka maendeleo achaneni na huyo mpiga soga.
Tulia na Tulia.
 
Mkuu tatizo kila kitu watu wanaleta siasa, ccm kwa mfano ilipaswa kufanya utafiti ili waweze kushinda majimbo ya upinzani wafanye nn Na wawapeleke wagombea gani.Wao hawajiangaishi kuwekeza kwa umma Bali mapolis Na dola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…