Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
[/QUOTE]
Polepole akuoneze posho maana huo ni wastani wa post 9.4 kwa SAA ndani ya SAA 24/3 bila kulala!
Hakika usipoangalia utafyatuka pull (anus deformation) kwa kutafuta sifa za bandia.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Buk7 mpya unajangaika kweli. Siku 3 post 680?Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya
Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.
Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.
Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.
Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.
My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.
Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.
Tuipende Tanzania
Polepole akuoneze posho maana huo ni wastani wa post 9.4 kwa SAA ndani ya SAA 24/3 bila kulala!
Hakika usipoangalia utafyatuka pull (anus deformation) kwa kutafuta sifa za bandia.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app