Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

[/QUOTE]
Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya

Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.

Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.

Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.

Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.

My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.

Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.

Tuipende Tanzania
Buk7 mpya unajangaika kweli. Siku 3 post 680?
Polepole akuoneze posho maana huo ni wastani wa post 9.4 kwa SAA ndani ya SAA 24/3 bila kulala!
Hakika usipoangalia utafyatuka pull (anus deformation) kwa kutafuta sifa za bandia.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200417-175730.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu jimboni Mwanasheria Nguli, Msomi wa kiwango Cha PhD anayejali watu. Wengine waendelee kwenye michezo Yao na uchuuzi
 
Acha porojo chafu..... Mitaa ipi ya mbeya wanaweza kumkubali kidudumtu tulia...
Sugu moto chini
 
Mtoa uzi umekosea point ya kuanzia umeleta jambo dhaifu sana,hizi SAAKOSI unazijua kweli au ndo unaleta utani,hiyo bado si hatua ya kukubeba kisiasa hata kidogo,unazijua kweli hizi SAAKOSI au unaleta utani,hebu sikiliza hizo nyimbo vizuri.
 
Wamemuingiza Chaka huyo mwanamke kumsimamisha Mbeya mjini , afadhali mara mia angekwenda Tukuyu angeweza ambulia!!
Mbeya Mjini kumenoga tunarudi Nyumbani kuliponoga CCM
 
Tangu mwanzo nilikuwa naambiwa mbeya kimewaka mtu anamwaga pesa kama uchafu... nimeenda nikashuudia mwnyw.. inshort Mbeya mjini ni pagumu mwaka huu kati ya nguvu ya pesa na nguvu ya umma
 
Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya

Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.

Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.

Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.

Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.

My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.

Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.

Tuipende Tanzania

Bia yetu ukiendelea hivi utakuwa hupati posho zako
Unaleta habari hata picha hakuna
 
Back
Top Bottom