Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Hahahaha sisi ndo wapiga kura jamaa ee jiliwaze tu hapa na marushwa yenu,ivi unajua mambo makubwa ya kiutu aliyotufanyia sugu ww.hahaha umenichekesha sana asee na tathimini yako, mwnye akil maiti tuu kama ww ndo atakuelewa
Kama mbeya mnasema sugu kawafanyia makubwa basi mlaaniwe. Mji mbovu sana.
 
Mkuu nakuibia siri tu Sugu amechokwa mno Mbeya
Tupo field

October ni kuifuta Chadema mbeya
Huyu mama anautaka ubunge kwa hali na mali na alishaanza kampeni mapema sana si chama chake wanaomkemea wala tume ya uchaguzi. Wana Mbeya pokeeni tu hivyo anavyovitoa kwenye sanduku la kura mmuoneshe nie ni kina nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni ID maalum ya uchaguzi!! Wenye akili wakiona hivi wanajua timu Lumumba iko kazini, wala hawahangaiki na misukule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida siyo amefanya nn kwa muda mfupi swali vipi Jimbo la Ndugai hivyo vitu vipo?majimbo ya ccm mengine je?jibu ni kwamba anatongoza wapiga kura,wafrika tunateseka kwa kukosa maarifa
 
Takukuru wanajua kuhusu huo msaada wa hela anazotoa huyo mama ? Tunajua haguswi kwasababu ana Kinga ila anachofanya ni rushwa tupu.
 
Mawazo yangu yangelikuwa ndio Kura ya kuwawajibisha viongozi, Tungepiga Chini wote walioko huko juu, halafu tuweke wengine wapya ingesaidia Sana, ili pengine na zamu zetu zikaribiea, kwani kila mtu anahaki ya Kula hiyo keki ya Taifa

Vinginevyo, hao tuliowachagua ni wachumia tumbo Tu, hakuna aliyedhamilia kusaidia nchi na wananchi wake, wanatufanya kuku wa kienyeji bhana, wanatudanganyia punje za mahindi kisha kutuchinja hivihivi!

Piga Chini wabunge woote tuanze upya
Mbunge alikuwa Deophili kunjombe pekee RIP, tutakukumbuka Sana mahalo uliko
 
Lumumba na hiyo ‘bia yenu’ mnalewa tangu asubuhi, tatizo mpo juu ya sheria.... Tulia angeenguliwa na TAKUKURU mapema tu.

Nje kidogo, bwashee umejiita Bia yetu kwa maana ya jPombe.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…