Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

macho yako yatakuwa na makengeza na yanakudanganya….
 

Pesa hiyo kwa mtumishi wa umma ameipata wapi, nenda Fanya tathmini ya anachokitoa dhidi ya pato lake. Hatuhitaji rushwa tunahitaji watu wenye uwezo wa kuleta Sera mbadala, badala ya ndio mzee.

Ni aibu kwa mtz kupromote rushwa nani aibu zaidi kama mtz Huyo ni mwanamme.

#kampeni kabla ya muda ni haki kwa baadhi
#Anzakanoon
 
Huyo tulia sikuzote alikuwa wapi,mpaka autake ubunge ndio afanye mambo hayo.hana sifa ya kuwa mbunge,anatoa rushwa ili apate ubunge.kama anafanya kwa kuwapenda wana mbeya basi anaweza kuendela kuwahudumia bila kuwa mbunge..
 
Hizo ni hela anapewa ili zimpatie ubunge sasa subirini baada ya kupata anachokitafuta ndo mtaelewa kwamba kuna mahusiano gani kati ya chizi na makopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye hafanyi kampeni Wananchi wanamwomba agombee na pia Wananchi walimuomba asaidie yeye hakujipeleka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…