Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona na kukisikia leo katika Misafara ya Gwajima na Mdee Kawe huenda Mshindi akatangazwa angani na Mtangazaji akatokomea Kusikojulikana

Leo nilikuwa naongea na kada mwandamizi wa CCM , kaniambia kabisa hata CCM wanasema Kawe ni sawa tu wapoteze kuliko kumpa kura Gwajima
ndugu yangu hizi politiki acha tu,yanaweza tokea ya Trump na Hilary Clinton!!! ngoja tuone
 
Kwa hiyo ulikuwa katika misafara yote...duh
 
MWISHO WA LESBIAN UMEFIKA KAWE, HATA MJIFARIJI MTANDAONI OCTOBER 28 MUANDALIENI MDEE BENCHI UFIPA AWE SECRETARY WA MNYIKA, NA HUYU ATAANZA KAZI HIYO KWA AMSTERDAM [emoji116]
 
Ww si fala tu hujui unachokisema zaidi ya kuongea pumba unazolishwa na hao bwana zako.
Tukutane October 28 sanduku la kura ndiyo litaongea kama huyo msagaji wenu safari hii hajatafuta bwana wa kumuowa kilazima.
 
Na ukumbuke wengi wao aliwakusanya wale nyumbu wake wa kanisani na akawanunulia sale za mbogamboga ili kujaza umati.

Na hao nyumbu wake ni wa kutoka majimbo ya mbali na kawe.
Ww tapika tu ila huwaga hatuna maneno mengi zaidi ya vitendo.
Na safari hii mtaisoma namba tu ndiyo mtajua ni nyumbu wa kanisani kwakwe au ni maamuzi ya wananchi wa Kawe.
 
Ww si fala tu hujui unachokisema zaidi ya kuongea pumba unazolishwa na hao bwana zako.
Tukutane October 28 sanduku la kura ndiyo litaongea kama huyo msagaji wenu safari hii hajatafuta bwana wa kumuowa kilazima.

Ninachojua tu ni kwamba huwezi kuwajua 'Mabwana' zangu kama ulivyoandika hapa pasipo ya Wewe pia kuwa 'Mzoefu' wa kuwa na hao Mabwana.
 
Leo nilikuwa naongea na kada mwandamizi wa CCM , kaniambia kabisa hata CCM wanasema Kawe ni sawa tu wapoteze kuliko kumpa kura Gwajima
Kweli ww ndiyo hazimo kabisa kwenye kichwa chako maana unaongea ugoro tu.
Kweli wale wa kule milembe wana akili machizi wapo huku.
 
Huu uchaguzi liwake mvua inyeshe jua!!!
Chadema ya sasa sio ya Lowassa

Na siku zote ukiona Mtu anasema kuwa Mtihani fulani alioufanya ulikuwa ni 'rahisi' sana Kwake basi tegemea 'Kufeli' Kwake vibaya Majibu yakitoka.
 
CCM watakupinga hapa lkn huo ndo ukweli mkuu ..ccm haijawa tayar kulichukua Jimbo la kawe ..Mdee ataendelea kuwa mbunge wa kawe mpk mtakapoamua rasmi
Hayo ni maono na mawazo ya kichwa chako kilichojaa maji.
October 28 tukutane hapa ili tukutoe hayo maji kwenye kichwa chako.
 
Kama Halima aliweza kumnyoosha Ritha Mlaki Kawe Gwajima ajiandae kuvuna aibu!!
Huyo alikuwa ni Ritha na huyu ni Gwajima mwanaume wa shoka na Mbunge mtarajiwa wa Kawe huwa hana maneno mengi zaidi ya vitendo na safari hii atawatoa makamasi ya kwenye makalio.
 
Mpuuzi sana huyu!! Nimempa hii isipomtosha nitampa ya Sindano kabisa Genta!!!

Naona bado 'anakushambulia' tu Mkuu, kama vipi Wewe 'niuzie' Mimi hii 'Kesi' nimalizane nae mapema tu hapa kwa 'Kumnyoosha' Kunakotukuka.
 
Naona bado 'anakushambulia' tu Mkuu, kama vipi Wewe 'niuzie' Mimi hii 'Kesi' nimalizane nae mapema tu hapa kwa 'Kumnyoosha' Kunakotukuka.
Embu endelea nae!! Lazima aombe upigwe ban maana kipigo Chako sidhani kama ataweza vumilia 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…