Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona na kukisikia leo katika Misafara ya Gwajima na Mdee Kawe huenda Mshindi akatangazwa angani na Mtangazaji akatokomea Kusikojulikana

Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona na kukisikia leo katika Misafara ya Gwajima na Mdee Kawe huenda Mshindi akatangazwa angani na Mtangazaji akatokomea Kusikojulikana

Haka kachungaji na kaaskofu feki kanaenda kupata laana za Mungu...

Laana za waislamu wa kweli
Laana za wakatoliki wa kweli
Laana za wachaMungu wa kweli....

Nikikumbuka yale mauno kalikokuwa kanamkatikia yule mwanakondoo..... nabaki najiuliza CCM wametuonaje wanaKawe kutuletea haka kahuni?
Dua la kuku uliona wapi linampata mwewe?
Na siku zote kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji nyie tapeni tapeni tu ila mwisho wenu umefika.
 
Mbivu na mbichi October utaona kama uyo mdee atapita ndipo utajua kuwa ata wewe ulivyokuwa unachukuwa izo taarifa zako walikuwa wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
 
“Kama kuna mtu atapaswa 'kuchechemea' ili tushinde Kawe, na atachechemea”!!

Mwisho wa kunukuu.
 
Kawe kama kawe... me nawakubali nyie ni kama kigambon tuu😂😂😂
 
Shida ni hii kauli,''Nimekupa gari na nyumba harafu umtangaze Mpinzani"'! Hii kauli nikiikumbuka hamu ya kwenda kupiga kura inaisha.
 
Halafu hamuoni haya kufanya figisu kuwapitisha wagombea ubunge na udiwani wengine bila kupingwa Dunia inawashangaa ladha ya ushindi kuwe na ushindani sijui shule mnaendaga kusomea ujinga
Point ni kushinda 😂, huo ushindani utamsaidia nini mlengwa?
 
Kwahiyo Mzee wa kupiga finishing kondoo wake hana pa kupitia?
IMG_20200821_175230.jpg
 
Ngoja mmchague kisha awafanyie sapraisi waislamu kwenye misikiti
 
Back
Top Bottom