Mwaisa sokapa
Member
- Jul 13, 2020
- 91
- 20
Dua la kuku uliona wapi linampata mwewe?Haka kachungaji na kaaskofu feki kanaenda kupata laana za Mungu...
Laana za waislamu wa kweli
Laana za wakatoliki wa kweli
Laana za wachaMungu wa kweli....
Nikikumbuka yale mauno kalikokuwa kanamkatikia yule mwanakondoo..... nabaki najiuliza CCM wametuonaje wanaKawe kutuletea haka kahuni?
Acha utoporo ww utapakatwa na wanaume.Kuna mmoja ni rafiki yangu sana analaani sana Gwaji boy kupewa Kawe walitaka Ben 6
NaamAtapewa na mabwana zake ukiwemo ww
Sawa mama mdogo wa mwewe...Dua la kuku uliona wapi linampata mwewe?
Na siku zote kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji nyie tapeni tapeni tu ila mwisho wenu umefika.
Akiwemo na mama yako na ww mwenyewe.
Jidanganye 😂😂Waislam na Wakatoliki wanatosha kabisa kumpa Mdee 90%
Point ni kushinda 😂, huo ushindani utamsaidia nini mlengwa?Halafu hamuoni haya kufanya figisu kuwapitisha wagombea ubunge na udiwani wengine bila kupingwa Dunia inawashangaa ladha ya ushindi kuwe na ushindani sijui shule mnaendaga kusomea ujinga