Kwa nilichokishuhudia hapa Lodge Ubungo wanaume Tafuteni sana hela

Kwa nilichokishuhudia hapa Lodge Ubungo wanaume Tafuteni sana hela

SISIS

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
10,892
Reaction score
3,112
Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
 
Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha alafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu alafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
unatuhanisha tutafute hela au tusupport uzinzi
 
Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Njemba au kijeba?
 
Wewe unaetu
Hao wanatumia pesa vibaya.
Sasa wee unatumia pesa kunywa mapombe kutumia madawa.

Tumia pesa kula vizuri nankugegeda uone kama afya italegalega

Hao wanatumia pesa vibaya.
Sasa wee unatumia pesa kunywa mapombe kutumia madawa.

Tumia pesa kula vizuri nankugegeda uone kama afya italegalega
Wewe unaetumia hiyo pesa kuvuta mabinti ndio unaitumia vzuri? Kuna kaswede, U.T.I sugu Kuna HIV, Kuna mikosi na takataka kibao
 
Back
Top Bottom