Kwa nilichokishuhudia hapa Lodge Ubungo wanaume Tafuteni sana hela

Kwa nilichokishuhudia hapa Lodge Ubungo wanaume Tafuteni sana hela

Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Ukiona unatafuta pesa kuwafurahisha wanawake ujue hauna akili.
Nyie ndiyo wale, akipata pesa anoa mke wa pili hapo hana gari, hana nyumba nzuri, hana biashara inayoeleweka.
 
Sasa blaza wewe mwenyewe umeenda kulala lodge tena ubungo kibangu huko halafu unatuambia tutafute hela. Acha zereu.
 
Uhandsome, urefu, wema na utanashati wako utakusaidia kupata mademu shule. Mapenzi ya dhati kwa mwanamke yanaishia shuleni. Akishaingia huku mtaani upendo wa dhati na muonekano wako sio determinant factors za kuingia kwenye mahusiano. Determinant factors kwake ni security yaani uwezo wa mwanaume ku-provide mahitaji yake.

Ukiwa katika mahusiano na mwanamke wakati bado haujasimama kifedha usijidanganye kwamba kakupenda na iyo hali yako. Ukweli ni kwamba katika point iyo ya maisha wewe ndio chaguo bora kwake. Washindani wako katika hayo mahusiano ni hopeless kabisa. Atakapotekea mshindani bora zaidi yako ndo utajua ujui.
 
Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Pesa haitafutwi kwaajili ya kuenjoy na malaya
 
Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Hahaha
 
Hela zinadundulizwa
Uzinzi huwezi kuweka hela wewe
Umewahukumu tu je kama ni mali yao hapo na wamekuja kukagua 😄
 
Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Kwahiyo watafute hela ili waoe au watafute pesa ili wafanye uzinzi...?
 
Back
Top Bottom