Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wamekua wajinga sana yani ukisikia mtu anasema tafuta hela ujue anamaanisha uzipate ili masuala ya anasa na uzinzi kwako yaende smoothly. A lost generationHiyo ni sababu dhaifu mno mtu kuitumia kama chachu ya kutafuta pesa
Huu ni msiba kabisa mkuu.Vijana wamekua wajinga sana yani ukisikia mtu anasema tafuta hela ujue anamaanisha uzipate ili masuala ya anasa na uzinzi kwako yaende smoothly. A lost generation
Ukiona unatafuta pesa kuwafurahisha wanawake ujue hauna akili.Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi
Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.
Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Mwafrika ndivyo alivyo. Yeye anawaza kubadilisha wanawake muda wote.Hiyo ni sababu dhaifu mno mtu kuitumia kama chachu ya kutafuta pesa
Pesa haitafutwi kwaajili ya kuenjoy na malayaHuwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi
Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.
Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
HahahaHuwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi
Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.
Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
ChaiNyege tu zinakutesa😅
ChaiAcha kukariri unaweza kuta mwenye hela ni huyo mwanamke
Kwahiyo watafute hela ili waoe au watafute pesa ili wafanye uzinzi...?Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi
Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.
Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela