Kwa nilichokishuhudia hapa Lodge Ubungo wanaume Tafuteni sana hela

Kwa nilichokishuhudia hapa Lodge Ubungo wanaume Tafuteni sana hela

Ukweli ni kwamba, Pesa inakupa kila kitu.
Pesa inakupa mamlaka, heshima, na kujiamini kwamba unaweza kufanya Kila kitu bas lkn ukweli ni kwamba pesa si Kila kitu. Mfano mdogo pesa haiwezi ikakupa aman ya nafsi. Unaweza kata tamaa ukaishi maishi ya huzuni na vibunda vyako visikusaidie kitu
 
Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Yaani tutafute hela ili tufanye uzinzi? Hujaona hata ghorofa la Mwamposa likakupendeza utushauri tutafute hela tutembelee màgari mazuri? Wewe umeona uzinzi tuu ndo wa kutafutià pesa?
Bure kabisa.
 
Pesa inakupa mamlaka, heshima, na kujiamini kwamba unaweza kufanya Kila kitu bas lkn ukweli ni kwamba pesa si Kila kitu. Mfano mdogo pesa haiwezi ikakupa aman ya nafsi. Unaweza kata tamaa ukaishi maishi ya huzuni na vibunda vyako visikusaidie kitu
Sasa Amani ya Nafsi inakuaje bila Pesa? Tusidanganyane bhana.
 
Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Mke wa said wa Mwanza kwani alikosa adi akaungana na ex wake wakaenda kwa show ya diamond, akapiga calls 42 ,jamaa anafika home hakuna mtu, demu anakuja asubuhi jamaa amelala ndani na akitoka geita usiku huo huo, ikabidi demu apambane na risasi 7 na jamaa Naye kujiua sema demu alikuwa na wadogo zake visu balaa, wanaweza wakaliwa na ugali kwa mave yao tu nadhani ni watamu mno
 
Kwahiyo sababu yako ya msingi ya kutumotivate tutafute hela ni kwa ajili ya kubeba malaya wazuri ebo!
 
Mke wa said wa Mwanza kwani alikosa adi akaungana na ex wake wakaenda kwa show ya diamond, akapiga calls 42 ,jamaa anafika home hakuna mtu, demu anakuja asubuhi jamaa amelala ndani na akitoka geita usiku huo huo, ikabidi demu apambane na risasi 7 na jamaa Naye kujiua sema demu alikuwa na wadogo zake visu balaa, wanaweza wakaliwa na ugali kwa mave yao tu nadhani ni watamu mno
Urangini wlae
 
Angejistiri angeenda huko? BASATA na BAKIZA naombeni mfanye marejeo ya hili Neno kujistiri ki maana( semantics) maana unasikia mtu kajistiri lakini tabia hata nguruwe anaogopa.
Kwenda huko kuna shida mkuu, hiyo ni sehemu ya kufikia wageni na huyo anaweza kuwa ni mmewe
 
Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi

Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.

Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Kumiliki hela au utajiri ni tabia huwezi kuoga.
 
Back
Top Bottom