unatuhanisha tutafute hela au tusupport uzinziHuwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi
Nimepitia hapa ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha alafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu alafu ana aibu.
Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Wee unatafuta hela ili iwaje mwanawaneHiyo ni sababu dhaifu mno mtu kuitumia kama chachu ya kutafuta pesa
Inakupa uwezo wa kuchagua mbususu nzuri nzuri za kugegedaPesa muhimu
Pesa inakupa afya njema nanafya ndio kila kituMkuu pesa haiwezi kukupa Kila kitu
Classified.Wee unatafuta hela ili iwaje mwanawane
mambo mtoto mzuriPesa muhimu
Duh ushafikaPesa inakupa afya njema nanafya ndio kila kitu
Njemba au kijeba?Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi
Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu smart yupo na binti mrefu Mashaallah yule kama sio mtoto wa kizanzibari basi kiiraq, au msomali maana kavaa kwa staha halafu mrefu kajaza kama mwarabu hivi kanaoneka msomi maana mtulivu halafu ana aibu.
Nikajiuliza ile njemba imemtoa wapi hii mali nikasema hakuna mkate mgumu mbele ya pesa aloo vijana tafuteni sana hela
Ingekuwa hivyo watu wasingekuwa wanakufa na maradhi na kuziacha pesa zisiwasaidiePesa inakupa afya njema nanafya ndio kila kitu
Hao wanatumia pesa vibaya.Ingekuwa hivyo watu wasingekuwa wanakufa na maradhi na kuziacha pesa zisiwasaidie
Na hutokuja ukae nayo hiyo pesa kama mawazo yenyewe ndio kama hiviInakupa uwezo wa kuchagua mbususu nzuri nzuri za kugegeda
Kama kawa...raha ya dunia ni kutombernerDuh ushafika
Hao wanatumia pesa vibaya.
Sasa wee unatumia pesa kunywa mapombe kutumia madawa.
Tumia pesa kula vizuri nankugegeda uone kama afya italegalega
Wewe unaetumia hiyo pesa kuvuta mabinti ndio unaitumia vzuri? Kuna kaswede, U.T.I sugu Kuna HIV, Kuna mikosi na takataka kibaoHao wanatumia pesa vibaya.
Sasa wee unatumia pesa kunywa mapombe kutumia madawa.
Tumia pesa kula vizuri nankugegeda uone kama afya italegalega