Kuchinja ng'ombe mbuzi kuku kondoo milimani ndo kumjua Mungu. Hujaona wenzio juzi walimpelekea chatu maandazi na mbuzi ili awape mafanikio ndo Mungu sasa yule?Mbona zaman wazee hawakua na dini na bado walifanya ibada kumuomba Mungu? Unadhan walimjuaje?
Alikuwa myahudi kwa maan aliingia kwenye masinagogi yao kusali.Huyo Yesu mbona hakua na dini au unajua alikua ni dini gani?
Kabla ya dini ya Yesu Kristu, au kipindi Cha Yesu Kristu Yesu mwenyewe alikua anaabudu dini gani ?ila umekazana na dini tu.
Tajiri na Mali zake ni yeye na Mali zake Ila haina maana kwamba Tajiri hamjui Mungu,Ndo useme alimaanisha nini. Maan story ilianza tajiri aliktaa kuuza mali zake zote kuwagawia masikini ndo ikatolewa statement hyo tupe wewe meaning yako.
Wewe nimegundua una chuki binafsi na dini sababu ulidhani ukisali utapata ela kumbe ni kwa kufanya kazi tu. Umeulizwa mbona Ruto alikuwa muimba kwaya?Na ndio maana Yesu aliwapiga dongo wanafunzi wake akawaambia kwa HERUFI kubwa 'KIPOFU HAWEZI KUMUONGOZA KIPOFU MWENZIE WOTE WATAINGIA SHIMONI'
Mbona unapotosha maneno. Kwahyo wewe kwako tajiri kutomsaidia masikini unaona ni sawa?Tajiri na Mali zake ni yeye na Mali zake Ila haina maana kwamba Tajiri hamjui Mungu,
Alikuwa mkristo maan aliandikwa toka mwanzo. Sasa unaulizaje swali hilo wakati Yesu nd alieumba hata huu ulimwengu.Kabla ya dini ya Yesu Kristu, au kipindi Cha Yesu Kristu Yesu mwenyewe alikua anaabudu dini gani ?
Mwenzako form 1 mpaka Chuo kikuu nilikua nasoma pekea angu na nikatoboa koteeSasa imani ya upofu ndo imani gani hiyo. Yani uamini kitu ambacho hukijui halafu hata ukiwa unasoma usipopenda kujijumuisha na wenzio kudiscuss masomo yenu unaeza angukia pua tu.
Hakukua na dini ya ukristo toka yesu anakuja mpaka anasurubiwa.Alikuwa mkristo maan aliandikwa toka mwanzo. Sasa unaulizaje swali hilo wakati Yesu nd alieumba hata huu ulimwengu.
Yaan umeingia Chaka la viboko utakula viboko na utaliwa na viboko,Alikuwa mkristo maan aliandikwa toka mwanzo. Sasa unaulizaje swali hilo wakati Yesu nd alieumba hata huu ulimwengu.
Aahhh wewe kwel kaz ipoooAlikuwa myahudi kwa maan aliingia kwenye masinagogi yao kusali.
Soma vizuri nmeeleza visa kadhaa vilivyosimuliwa kwenye biblia yenyewe vya Tajiri kusaidia Masikini akiwemo Yesu mwenyewe ingawa wapo wanaposema Yesu hakua ametoka kwenye Familia au Ukoo masikini maana Ukoo wao ulikua ni Ukoo wa watu wenye ukwasi sio Ukoo wa makapuku na hakuzikwa kimasikini alizikwa kitajiri kiasi Cha kuwekewa walinzi wasije wakaiba maiti yake, huo ni zaidi ya utajiriMbona unapotosha maneno. Kwahyo wewe kwako tajiri kutomsaidia masikini unaona ni sawa?
Sio kama hizo nchi huku mpaka wakinga wachaga wana maduka na service stations kibao hizo nchi nyingine wamiliki ni whites tupuKwani hata uchumi wa tz si umeshikiliwa na wa asia?
Sasa si ndo akili za kimasikini hizo ndo maan mnashindwa kulisaidia taifa lenu.Mwenzako form 1 mpaka Chuo kikuu nilikua nasoma pekea angu na nikatoboa kotee
ambacho huelewi nini waliomsulubisha ni nani? Na kwanini?Aahhh wewe kwel kaz ipooo
Wee ni fala ujue haya anguka tena pungulu au bangalaa litombo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24]Kweli kabisa unalinganisha Burundi na Tanzania. Kweli,is this a mind we need we Tanzanians? Yaani mimi huwa nalia kwa kuona baraka tulizojaliwa nazo watanzania. Madini ya kutosha,mistu,mbuga za wanyama,maziwa,mito,bahari,makabila mengi, human population kubwa,Amani na umoja. Hatuna ukabila bongo.
Vitu hivi vyoote kwa serikali ya kizalendo kama nchi za Asia yaan hususani Singapore, South Korea, China,India , Indonesia na kadhalika basi bongo angalau tungeifikia Indonesia au South Korea. Leo unalinganisha Tanzania na kijiwe cha kahawa[emoji15].
Linganisha basi hata na Qatar, Qatar kubwa,linganisha basi hat n Israel aaah Israel wanapewa na wadhungu. Basi linganisha na Hong Kong, ash hawa Wana technology. Basi linganisha na Kenya tuuu hapa Jirani.
Burundi......aaah bro umeniangusha chin pungulu nikaanguka tangara[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wewe utakuwa unashinda kwenye vile vijiwe vya wavuta bangi ndo huwa wanatungaga story kwa kunyofoa nyofoa. Alitoka familia ya kimasikini ya mafundi seremala na nazareth hapakuwa town tofauti na yerusalem. Halafu hakuna sehem maandiko yamewakataa matajiri kwamba hawakusali jpo ilisema nin ngumu. Halafu waliolinda kabuli ni watu wa serikali ili asije akatoroka kuja kuwa tishio kwa ufalme wa herode. Yesu mwenyew alisema mnamfuata mwana wa adamu( akikijizungumzia) wakati hana hata pango la kujilaza.Soma vizuri nmeeleza visa kadhaa vilivyosimuliwa kwenye biblia yenyewe vya Tajiri kusaidia Masikini akiwemo Yesu mwenyewe ingawa wapo wanaposema Yesu hakua ametoka kwenye Familia au Ukoo masikini maana Ukoo wao ulikua ni Ukoo wa watu wenye ukwasi sio Ukoo wa makapuku na hakuzikwa kimasikini alizikwa kitajiri kiasi Cha kuwekewa walinzi wasije wakaiba maiti yake, huo ni zaidi ya utajiri