Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Amka usingizini, hiyo ilikuwa zamani sikuhizi makanisani kumejaa umbea na mtu anaangaliwa sadaka kama si mtoaji au hana cha kutoa anakosa sauti na anakuwa haheshimiki wala kushirikishwa kwenye maamuzi au vyeo hapati. Mtu anaangaliwa mafanikio huko makanisani mpaka maskini wanapata stress huko
Inawezekana unasimuliwa tu masikini wasinhekuwa wanajaa huko. Kule ni sehem salam kwao ndo maan kuna ibada za majadiliano nyingi tu na mchangiaj akiwa anachangia watu wote hukaa kimya kumsikiliza na muda mwingine kumshukuru au kumpongeza kwa mchango wake. Sasa niambie club gani au bar gani masikini anathaminiwa mtu anaenda kunyweshwa pombe anaambiwa kunywa pombe taratibu mpaka ya boss iishe na wewe ndo umalize si aibu hyo.
 
Ukiona nchi au eneo flani la nchi lina wafuasi wengi wa dini jua vilevile kuna umasikini mwingi na hawana kazi ya kufanya zaidi ya kukesha makanisani kujiliwaza na neno la Mungu.Na ukitaka kuwa maskini kupindukia kuwa muimba kwaya wa kanisa.
Thibitisha madai yako kwa mifano na onesha sehem ambazo hazina dini zina maendeleo. Riverside kuna uzinzi wa wazi onesha kama kuna maendeleo makubwa zaidi kwa watu wake. Zile range zinazopaki makanisani na sadaka za milion 100 zinatoka wapi?
 
Tajiri mvumbuzi & mmiliki wa Tesla nadhani unamjua Elon Musk, umemuona anajiweka sana ki dini dini kwamba yeye ndio mtu wa Mungu sana ?
Kila mtu anaabudu kile ambacho anahisi akipata kitampa amani ya moyo. Wewe huna pesa unahis ukipata utapata amani ya moyo so na wewe una dini yako ya kuabudu mali za watu ila haimaanishi ndo utatajirika. Unamtaj elon mbona humtaji daktari bingwa wa upasuaji duniani anaesali.
 
Inawezekana unasimuliwa tu masikini wasinhekuwa wanajaa huko. Kule ni sehem salam kwao ndo maan kuna ibada za majadiliano nyingi tu na mchangiaj akiwa anachangia watu wote hukaa kimya kumsikiliza na muda mwingine kumshukuru au kumpongeza kwa mchango wake. Sasa niambie club gani au bar gani masikini anathaminiwa mtu anaenda kunyweshwa pombe anaambiwa kunywa pombe taratibu mpaka ya boss iishe na wewe ndo umalize si aibu hyo.
Maskini wanasikilizwa sana hasa vijiwe vya kahawa, vibanda umiza vya soka na michezo mingine kama bao na draft au pool table. Binadamu ni social being na anajumuika na wenzake wa daraja lake na ku share maoni yake sio mpaka nyumba za ibada
 
Hakuna mtu anaemlazimisha mtu aishi maisha ya anasa, wapo matajiri wasiojihusisha na udini ukijifanya mdini Sana bila kufanya biashara kwenye dini sana sana unaukaribisha umasikini ndio maana Viongozi wa dini uhimiza watu kutoa Zaka na Sadak, mtu kuishi maisha ya udini ni machaguo yake binafsi sio kwamba anachaguliwa na mtu, ulevi wa Pombe na mengineyo uliyotolea mfano si kweli kwamba mtu huambiwa awe mlevi ili aikane dini Hilo nakupinga kwa nguvu zote
Elezea ni vipi dini inainfluence umasikini watu wanawezaje kumtolea Mungu je watamtoleaje Mungu na hawana kipato. Wewe inaonekana sio mfuatiliaji mzuri binadamu akikosa amani ya moyo jua atatafuta namna ya kufanya kuipata. Sasa mtu akiwa anasoma vitabu vya dini anapata amani ya moyo hivo hawezi waza uzinzi au ulevi na mambo kama hayo. Unawasifia matajiri sababu wewe sio tajiri lakini hao unaowasujudu ndo waanzlishi wakubwa wa ulevi wa kupindukia uzinzi na ushoga na vita na ndo wauzaji wa madawa ya kulevya human trafficking kuwaadaa watu kwa kuwatamanisha mali zao feki za kishirikina. Hao hao matajiri wasiosali ndo wafadhili wakubwa wa campaign kama LGBTQ I (mfano watengeneza iphone ni mashoga) matajiri unaowashobokea ndo wanaoiba mali africa kupeleka kwao wanakuachia smartphone za kukufanya zombie. Unamshobokea ellon mtu anaetaka kuiweka dunia kiganjani mwake maan anatak awe mmiliki wa binadamu kwa asilimia kubwa unadhani akiwapeleka watu kuishi mars akasema ntawaua msiponiabudu watabisha? Anataka ashike nyanja zote kuanzia usafirishaji nishati na nurolink kucontrol binadamu. Kwa taarifa yako huyo jamaa anavuta bangi na ni mlevi wa kutupwa akiwa chuoni anasema alikuwa anaendesha nightclub kwa wanafunzi wenzie we ndo unaona wa maan.
 
Kuna vitu hujaelewa.
Amezungumza kujitenga na dini hajasema kujitenga na imani.

Wengi mnachanganya haya mambo mawili
Sasa imani ya upofu ndo imani gani hiyo. Yani uamini kitu ambacho hukijui halafu hata ukiwa unasoma usipopenda kujijumuisha na wenzio kudiscuss masomo yenu unaeza angukia pua tu.
 
Kuna jamaa alisema Bangui imechakaa, kama halmashauri ya wilaya ya URAMBO
Nchi nyingine nasikia ni masikini wa kutupwa ni central Africa. Hapo Bangui makao makuu ya nchi nasikia pako Kama chalinze. Unaambiwa huko watu wanakula kila mdudu Hadi vyura watu wanapita nao😂😂😂😂
Ila sijawahi fika mie nmesimuliwa tu.
 
Ahahahahah dah haya mambo bwana.
ukisikia 24 / 7 bas utakutana nayo kanisani usipokua makini

1. J2 ni ibada kama kawaida
2. J3 siku ya vijana
3. J4 ibada za wana mtaa
4. J5 ibada ya mafundisho kanisani
6. Alh siku ya wamama na mazoez ya kwaya
7. Ijumaa ibada ya maombi na mkesha
8. Jmosi siku ya usafi na maziez ya prasie team na maandalizi ya ibbada ya J2.

And cycle starts again.
Hapo bado vikao..mara mikutano ya viongozi.. weka mbali semina na makongamano..weka mbali mifungoo.

Kwahiyo ni Muhimu sana kuweka vipaumbele vyako ila ratiba zako zisikwame
Ila watu wanavoshinda bar j3 hadi j2 kwako unaona ndo fresh. Kama una mchongo wako unashindwaje kutenge 30 minutes za kusali na kuendelea na shughuli zako. Wengi muda wanapotezea kweny ulevi na uzinzi ila atakumbuka nilifeli sababu nlienda kanisani.
 
Utajiri namba moja ninaomiliki ni kutambua kua dini ni kwa ajili ya matajiri ndio maana ukienda kanisani unakutana na masanduku ya Sadaka, masikini asie na kitu akienda kanisani anaonekana hajatoa kitu anaonekana hajafanya ibada yoyote na kaenda kanisani kujaza wingi tu, kwa hio maarifa niliyonayo ya kuyatambua hayo ni moja ya utajiri tosha, maana utajiri uanzia kwenye akili sio kwenye utashi sio kwenye hisia hapa nazungumzia Maarifa ambavyo vyote kwa pamoja vipo ndani ya mfumo wa Nafsi, mfumo wa Roho unajihusisha na Imani ili uwe tajiri lenga mfumo wa Nafsi yako ambao umegawanyika katika sehemu kuu 3 yaan akili, utashi na hisia ambavyo kwa pamoja vinahusisha Maarifa na ili uwe tajiri inabidi uwe na Maarifa ya kutosha ambayo yanahiusisha akili yako

Nimekujibu kwa kadri inavyowezekana ili uelewe angalau, Vita zote ambazo binadamu hupambana huanzia kwenye mfumo wa Roho unapigwa Roho kwanza baada ya kuishinda Roho adui anahamia kwenye mfumo wa Nafsi na akiushinda mfumo wa Nafsi ndipo adui uhamia kwenye mfumo wa Mwili, mkumbuke yule mchungaji wa Mchongo wa Kenya Paulo Mackienz yeye alicheza kwanza na mfumo wa Roho wa waumini wake kisha akahamia kwenye mfumo wa Nafsi (Maarifa) akilenga Maarifa ya uongo ya kwneye Biblia kwamba ukifunga hadi kufa utaonana na Mungu na kwa kua alishawashinda wale waumini kwenye Vita ya mfumo wa Roho akawashinda kwenye mfumo wa Nafsi mwisho akawamaliza mfumo wa Mwili wakafa vibudu

Una swali jingine uliza uwanja ni wako,
Onesha utajiri wako uliotokana na kutosali mbona unaruka ruka wewe na uoneshe masikini waliosababishwa na dini.
 
Maskini wanasikilizwa sana hasa vijiwe vya kahawa, vibanda umiza vya soka na michezo mingine kama bao na draft au pool table. Binadamu ni social being na anajumuika na wenzake wa daraja lake na ku share maoni yake sio mpaka nyumba za ibada
Sasa kanisani wanaenda masikini na tajiri huoni kanisa lina nafasi ya kumpa fursa masikini kuliko hivo vibanda vya kahawa maan wanakuw wao kwa wao na hawana tumaini. Watu wanapotea maeneo mengine sio kwenye dini nd maan vijana wengi wa mihadarati waliokosa tumani ndo hutamani suicide kuliko wenzao wa makanisani.
 
Maarifa ya kutambua dini ni kwa ajili ya matajiri sio masikini, Yesu mwenye alisema ni rahisi kwa ngamia kupita tundu la sindano Ila ni ngumu kwa tajiri kuingia kwenye ufalme wa Mungu walakini hakua anamaanisha km vile wengine walimaanisha maana ni lugha fichi
Ndo useme alimaanisha nini. Maan story ilianza tajiri aliktaa kuuza mali zake zote kuwagawia masikini ndo ikatolewa statement hyo tupe wewe meaning yako.
 
Unaonekana tu ni MJINGA WA KUTUPWA huna shule na ujatoka hata uko kijijini kwenu Shinyanga
Kama tu kuandika hujui uweke wapi kituo na hujui kutofautisha U na h utakuwa na elimu kweli?.Au kwa kuwa wewe ni KENGE ndiyo maana hujui kuandika?
 
Huyu jamaa ni mpagani ila ndio tajiri kuliko wote, sisem watu wasisali ina nasema kwanini shetani anawainua mapagani kiasi hicho? Nasisitiza ELON MUSK NI MPAGANI...
Sababu shetani anajua masikini ni wengi anawaaminisha matajiri wa furaha ili masikini wawaabudu matajiri ambao ni walevi( rejea ellon musk aliendesha night club akiwa chuo kwa wanafunzi wenzie) wazinzi wachoyo wafanya biashara haramu wauaji wakubwa so inakuwa rahisi kupata vichwa shtuka. Ingekuwa pesa ndo furaha ya mtu basi watu wasingekuwa wanauana kucheatiwa kutukanwa akina kanye west wasingekuwa vichaa ellon mwenyewe ni wa hovyo personality yake na joe rogan alimchana kwenye interview jmaa lilikuwa linavuta bangi hadharani na linatak kumvutisha na likasema linavuta madaw yale cheap sometimes( crack).
 
Kuna siku nilikuwa natazama habari ITV habari za Afrika Mashariki, ripota wa burundi alikuwa anaripoti waziri wa huko burundi kazindua barabara ndogo hivi ya lami kwenye mtaa fulani hivi katikati ya jiji la Bujumbura. Nilishangaa kwa sababu hiyo barabara kwa huku ni zile zinazojengwa mawilayani.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Tofautisha wanaoabudu Dini na wanaoabudu utajiri hapo kuna mstari mmoja mkubwa sana, mtu haufanyi kazi unategemea eti ukikesha kanisani eti Pesa itajileta kwa shuhuda za uongo madhabauni
Maandiko yanasema siku sita fanya kazi siku ya saba pumzika muabudu Mungu we unazungumzia dini ipi. Sababu watu katikati ya wiku huwa wanakutana kwa nusu saa tu(30 minutes) elezea wewe hizo dakika zinamzuru vipi mtu kuwa masikini. Hutaki kuzungumzia mtu anaeshinda kwenye michepuko masaa hata 8 club masaa 8 kuangalia mpira masaa mawili ( mpka 8 sababu mechi ni nyingi) ila umekazana na dini tu.
 
Back
Top Bottom