Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Nafikiri Bongo inakimbiza nchi nyingi za Afrika ukiacha nchi kama South Africa, Kenya, Namibia, Botswana, Nigeria kwa huu ukanda wa kusini mwa Sahara. Kuna kipindi nilienda Accra Ghana, aisee nikajiuliza hawa watu wakija bongo wanaweza kupaona ulaya.​
Pakoje mkuu [emoji2]
 
Sehemu nzuri ya kula bata hiyooo,,, huwa nakula maisha sana nikiwa Buja kwanza nikiwa na laki 5 kule ni kama milion kasoro lkn matumizi yanakalibiana

Maana bia yao maarufu amstel inauzwa faranga 2000/2500 usafiri wa town (daladala) bei ni ile ile faranga 500, vyumba vya kulala guest bei kuanzia faranga 15000 hii ni self

Kilo ya nyama (kitimoto) bei ni ile ile faranga 10,000/- kama ni mtu wa mademu ukiwa bar zao bei ni ile ile kama bongo,, japo kwa Burundi kutumia takeaway upende ww maana shobo kwa wabongo ni wazi wazi

Mm naibukaga chuo kikuu chao na bahati nzuri nafikiaga Kamenge pale bar kumtwenzi ni karibu kabisa tax nenda rudi ni faranga 10,000 tu pale wanakitivo cha Kiswahili kuna jamaa angu pale ni mtu wa Muyunga anajua kidogo kiswahili

Kwaiyo huwa najiongeresha tu Kiswahili utasikia watoto wa kitusi "alimtanzania" nikushika tu mkono na kupeleka kiwanja,, t*mba sana sema wana maji kama Bukoba tu,,

Japo wanatuogopa kuhusu ufilauni,, neno kwa mpalange wanalijua sana,, na ukiwa nae kwa sex anakutahadharisha kabisa usinifanyie vileeeee

Ukiwa Bujumbura jitahidi kidogo kukaa sehemu za kishua utajihisi tu kama upo Mwanza ama Arusha umasikin hautauona sana, ila ukiwa maeneo ya changanyikeni kiukweli panatisha omba omba ni wengi sana

Kuhusu suala la fursa za kibiashara zipo sana changamoto ni money exchange,, benki za Burundi hazina dola, bahati mbaya hela yao haitamburiki pia kwenye mabenki yetu ukiwa na faranga huwezi kuibadilisha benki yoyote nchini

Kwaiyo inabidi uibadirishie mitaani kwa watu ambapo faranga 3700 unapewa dola moja, hii inaumiza kidogo niliwahi kupeleka bidhaa nikaishia siku hiyo hiyo na baadhi ya fedha nikailia bata pale Kamenge
Mkuu,

Kwa mtu wa kipato Cha Kati hapa Tz,Ni fursa gani anaweza kwenda kufanya Burundi na akatoboa ?

Mfano Nina mtaji wa chini ya milioni 2-5 alafu nikataka kwenda Burundi kutafuta maisha.
 
Masikini hapewi Cheo kanisani ataishia kuimba kwaya tu
Kanisani kwetu raia mwenye cheo kikubwa ana gari expensive kuliko waumini wote wenyeji. Katibu ana kazi kubwa anafanya shirika fulani hana muda sana ila walimchagua hivyo hivyo wakati alikuwepo mzee mmoja hana hela huwa tunaangalia mpira wote vibandaumiza wakamtoa. Ana muda wa kutosha hata ukimwambia uwe unalala nyumbani na unaamkia kanisani anaweza.

Kuna character maskini wanakuwa nayo sipendi kukubali kirahisi waniongoze. Mtu hajawahi miliki hata duka la jumla, hajawahi sajili kampuni wala kufanya kazi taasisi, kampuni au nafasi kubwa private/public ila anagombea ubunge. Ukimchagua anakuwa Lijualikali
 
Wasomali ndio hawa

Wapo wana piga kikapu marekani

Wapo wakimbiaji uingereza mfano Mo farah

Wapo wagunduzi katka tech za kutuma miamala ya kifedha duniani

Wapo katika miziki kama muimbaji wa waving flag

Wapo wengi wame wekeza maeneo mengi duniani

Tanzania tuna uwekezaji wa wasomali mfano ni city mall nk

Wasomali Wapo na program zao kupitia uraia pacha wana mashirikiano na Nchi za ulaya mfano uturuki katika kukuza michezo

Hivyo timu yao iliyobugiza magoli watz cecafa imeunda na vijana waliopo ktk academies za ulaya ambapo serikali ina ratibu mpango huo

Hivyo yawezekana kuna vita lakini wana jaribu kutafuta maisha bora duniani

Nchi yao ni shithole.
 
1. Mtanzania anaweza kufanya biashara gani kubwa?

2. Je kuna vibali vyovyote vya kibiashara mtu hutakiwa kuwa navyo au kwa kuwa ni nchi wanachama wa EAC hakuna vibali?

3. Vipi hali ya usalama?
 
Kumbe burundi haina tofauti yoyote na rwanda.mimi nilippenda kigali mwaka jana nilitarajia kukuta bonge la maendeleo lakini sijaona lolote jipya.kuna watu wengi,tangu rusumo border hadi kigali miji ipo karibu karibu mno nakumbuka tulikoswa hata sehemu ya kupaki gari nikojoe.watu ni wengi mno barabarani wengi wao wakitembea kwa miguu kwa ajili ya kutafuta vibarua hasa vya kulima.watoto wa shule ndo usiseme sasa ni wengi mno na wengi wamevaa yeboyebo hata wale wa sekondari.gari za rwanda ni za kizamani mno inaonekana kuna sheria fulani kandamizi huruhusiwi kumiliki gari mpya,majengo yao ovyo sana mfano fisherboard zao ni bati linachanwa linatumika kama ubao..gari kutembea 40kph ukizidisha tu camera ina wewe maana zimefungwa kila baada ya kilomita kadhaa nchi nzima.daladala zao lazimA uwe na kadi maalum hulipi cash ndio maana watu wanashindw a kupanda magari wengi hutumia bodaboda na hata baiskel na miguu pia.
Yapo mengi sana niliyoyadharau rwanda

Rwanda inatumia nguvu kujibrand internationally ila bado sana. Warwanda wengi waliopo ughaibuni hawataki kabisa kupasikia kwao.
 
Kwa nachojua nchi za Africa ukitoa za west kido lakini huku East and centre Africa umasikini ni Mkubwa yaani hakuna wa kumcheka mwenzie hata hapa Tanzania umasikini ni Mkubwa Sana na unatisha as the same Kenya , Uganda, Burundi . Sudan nk msumbiji nk

Yaani Africa hasa watu weusi Maisha yetu hayana nafuu kwa wengi wetu , ndo maana huwezi. Kumjua Mtu mwenye Kazi au jobless hapa TANZANIA umasikini ni Mkubwa Sana . Tena Sana Uganda nimekaa nimejionea Maisha yao kenya Tz Sudan so msiseme Burundi mkasahau kuwa umasikini ni tatizo la nchi zetu zote
West zipi unazizungumzia ukiondoa Nigeria. katika nchi 10 zenye uchumi Mkubwa barani Afrika nyingi zinatoka Kaskazini, mashariki na Kusini mwa Afrika. Unazikuta nchi za Ethiopia, Kenya, Tanzania, Afrika ya Kusini, Angola, Misri. hizi zote zipo nusu ya Mashariki mwa Afrika ukiigawa bara sehemu mbili ya magharibi na Mashariki.
 
Wasomali ndio hawa

Wapo wana piga kikapu marekani

Wapo wakimbiaji uingereza mfano Mo farah

Wapo wagunduzi katka tech za kutuma miamala ya kifedha duniani

Wapo katika miziki kama muimbaji wa waving flag

Wapo wengi wame wekeza maeneo mengi duniani

Tanzania tuna uwekezaji wa wasomali mfano ni city mall nk

Wasomali Wapo na program zao kupitia uraia pacha wana mashirikiano na Nchi za ulaya mfano uturuki katika kukuza michezo

Hivyo timu yao iliyobugiza magoli watz cecafa imeunda na vijana waliopo ktk academies za ulaya ambapo serikali ina ratibu mpango huo

Hivyo yawezekana kuna vita lakini wana jaribu kutafuta maisha bora duniani
Watu hawajui wasomali wana mpango mkakati mmoja wamesambaa duniani ila bado wana imani ipo siku wote watarudi Somalia na wataijenda Somalia na itakua imara

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Acha kutudanganya wewe.nimetembea east africa nzima na baadhi ya nchi za magharibi nimeona kuwa Tanzania ndiyo nchi ya hovyo kabisa.mifano mingi tunaiona hapa tanzania kila sehemu miundombinu ni ya hovyo sana afadhali na burundi kabisa
 
Hapo kuna nchi tajiri tatizo vita mfano sudani kusini ilitulia tz aiwezi tia mguu
Wana akili? Utajiri mkubwa ni akili siyo rasilimali ulizonazo. Israel haina rasilimali, bali ina akili. Vile Ulaya imejaliwa rasilimali akili, hawana rasilimali madini, mbuga za wanyama n.k.

sisi Afrika hatuna rasilimali akili. hivyo, hata hao Sudan kusini hata vita vingeisha hawatatukuta maana nina imani kwa akili tumewazidi.
 
Aloo hapo kwa Ethiopia umenifungua macho mkuu, nilikuwa nikiona ile midude ya Ethiopian najua ni bonge la nchi kiasi nikawa natamani nifike, maana wanasema shirika lao la Ndege ni kati ya mashirika makubwa na yanayofanya vizuri Afrika
Usisahau Ethiopia ni nchi ya nane kwa Uchumi Mkubwa barani Afrika ikiwa na Pato la Taifa la dola bilioni
72.5 kwa mwaka. Inaizidi hadi Kenya.
 
Unasema kweli, nilishawahi kufika. Wanakula Chenille wanachanganya na majani wanayaita Coco. Ila hata Congo,Congo Zaïre wanakula hao wadudu.Bangui ni maskini jamani acha kabisa.Yaani kule watu kila familia vijana wanapambana kwenda Ufaransa ili watoke kimaisha na wasaidie familia zao Nyumbani. Tanzania tumebarikiwa kwa kweli. Yaani Airport yao sasa acha tu,barabara zao sasa ni balaa tupu.Halafu Rais wao anatawala nchi kidogo tu,maeneo mengine yameshikiliwa na waasi. Sema sasa hivi Wagner (Warusi) wanamlinda na wamesaidia hajapinduliwa.
Nimeenda google ungalia bangui kuko vipi
 
Naona umechanganya madesa ungesema ukitoa North sio west.. hao west hamna lolote msikini kuliko hata Tz sana sana mijini ingawa napo umaskini ni balaa. Kiukweli kwa Africa kusini mwa jangwa la Sahara Tz tuna nafuu sana, hata hao Kenya mnaowaogopa ni hapo Nairobi lakini ukitoka nje kidogo tu, kuna umaskini wa kufa mtu kuliko Tz. Kutembea ni shule tosha, Allah amenijalia nimetembea nchi nyingi naelewa umaskini uliopo Africa. Narudia tena kwa Africa kusini mwa jangwa la Sahara kwa hali nzuri kidogo bongo ipo kwenye top 5.
Nchi nyingi zilizotuzidi kusini mwa jangwa la sahara uchumi wake umeshikiliwa na whites tofauti kabisa na Tz
 
Watu masikini wanaenda makanisani kutafuta faraja mmekazana kusema dini ndo imeleta umasikini sasa waliendaje kanisani wakiwa masikini bado. Hao machokoraa nao wanashinda makanisani emu acheni chuki binafsi na dini. We unaechukia dini unanua bando la mb 300 sasa nd umekomboka na nini hapo wakati kuna watu wanatoa sadaka milion 100 kanisani na wana marange rover.
Hapo kwenye sadaka million 100 ningependa kujua hilo kanisa na mimi nikasali huko
 
Nafikiri Bongo inakimbiza nchi nyingi za Afrika ukiacha nchi kama South Africa, Kenya, Namibia, Botswana, Nigeria kwa huu ukanda wa kusini mwa Sahara. Kuna kipindi nilienda Accra Ghana, aisee nikajiuliza hawa watu wakija bongo wanaweza kupaona ulaya.​
Botswana ni ya 23 kwa uchumi mkubwa Afrika na Namibia ni nchi ya 27 wakati Tanzania ipo nafasi ya 10.
 
Back
Top Bottom