ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,594
- 2,234
Naendelea kujifunnza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho chakula hutumika kuwaulia (hupewa )wanyama walio shindikana marekani😊😊[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Iman ya mtu Binafsi kuwa Mungu Yupo Inatosha wala siyo lazima Bible au DiniKuna watu misukule utawasikia wakisema heti mimi sina dini lakini na muomba Mungu,swali bila dini Mungu unge mjuaje?
Ndio CRDB ipo lkn pia KCB ipo nadhani benki kuu yao ndio haina dola,, na kanuni za benki kuu yao haziruhusu kutuma nje pesa kwa mfumo wa farangaSi kuna crdb huko?
Nakumbuka nilipokua napita mtukula border, kalisizo, kyotera, masaka to Kampala..kampala patamu aiseehHalafu kwa East Africa boda boda zimeanzia Kampala. Ni kweli Kampala uendeshaji wao ni vurugu tupu, wala hawaogopi askari.
Hiace zinafanya kazi hadi katikati ya Jiji la Kampala.
Eeee lina lyako bhole gete lya Kirundi,, zunyaga doho ole Nundi ila wakolela kobhasukumaWewe, mimi ni msukuma chapa ya ng'ombe. MTANZANIA PURE KABISA. Yaani yaani kule Ntuzu na Busia kuna makaburi mpaka ya bibi zake na babu zangu nilishayaona.Sikatai nina connection na warundi ila ni kwa upande wa marehemu mme wangu. Burundi ni kwao na watoto wangu. Kule ni maskini yes na sijakataa. Ila mimi ni Mtanzania og.
Wasomali ndio hawaSomali yenyewe ipo wapi kimaendeleo? Mbona kila siku wanakimbia nchi yao na kulipuana tu. Huo uhodari wao umewafikisha wapi?
Inawezekana dogo hata hujui unaandaliwaje. Narudia, kile sio chakula cha kuliwa na binadamu. Nimekula na kuishi nao sana wakati nafanya kazi UNHCR pale Mishamo na Katumba mkoa wa Katavi.Ugali wa Roe ni mzuri sana.
Wewe ni mshamba tu
Mbona Ruto alikuwa muimba kwaya.Ukiona nchi au eneo flani la nchi lina wafuasi wengi wa dini jua vilevile kuna umasikini mwingi na hawana kazi ya kufanya zaidi ya kukesha makanisani kujiliwaza na neno la Mungu.Na ukitaka kuwa maskini kupindukia kuwa muimba kwaya wa kanisa.
Na ndio maana Yesu aliwapiga dongo wanafunzi wake akawaambia kwa HERUFI kubwa 'KIPOFU HAWEZI KUMUONGOZA KIPOFU MWENZIE WOTE WATAINGIA SHIMONI'Sasa maskini angewezaje kumsaidia maskini mwenzie?
Ujatembea KE wewe nenda Eldoret au Nairobi alaf waambie ni MTZ uone maneno ya shombo tulienda kipindi flani pale Nakumat Garille Supermarket Nairobi tukasema sisi ni from TZ aisee jamaa wakaanza kutushambulia "How come waTZ wanabonga kinge vzuri hivi?Nyie sio wa TZ wa TZ hawajui kinge"Mbona ata KE wakijua tu ka.a ww ni mbongo basi mamno yana kuwa normal tu
Alikua Muimba kwaya wa Moi au ? Hivi unaijua vizuri historia ya Ruto au umedandia mtumbwi ?Mbona Ruto alikuwa muimba kwaya.
Nipe hostoria yake.Alikua Muimba kwaya wa Moi au ? Hivi unaijua vizuri historia ya Ruto au umedandia mtumbwi ?
Kuna uzi humu walifungua kuelezea historia yake A-Z tafuta utaupata usome,Nipe hostoria yake.
Hajui kitu zaidi ya Ubishi mrundi uyo na hapa yuko TZ hataki kurudi kwao ata kusalimiaInawezekana dogo hata hujui unaandaliwaje. Narudia, kile sio chakula cha kuliwa na binadamu. Nimekula na kuishi nao sana wakati nafanya kazi UNHCR pale Mishamo na Katumba mkoa wa Katavi.