Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao warundi hawatumii,"Licha ya kwamba nina ngozi ngumu kama KENGE na sura mbaya kama Lori za mpunga kule kyela lakini bado wakaniita (Hensam boi)walivyojua kuwa ni M-TZ"
Nakutakia kila la heri mkuu sema ukigusa tu Mimba imo pisi za burundi vizazi vipo karibu mno
Sasa mkuu hawa mbona sio billionaires? Taja wengine mkuu...Bakhresa ni muislamu.
Rostam ni muislamu.
Manji is a Muslim.
Abood, Shabiby wote ni Waislamu.
Yupo sawa kwa mfumo wa kibenki pesa ya Burundi,, Faranga ipo juu nenda m-pesa utaona ila ukibadilisha mpakani ndio inakuwa hivyoooSio kweli...nimebadili 100k Tsh mpakani nikapewa 230k na point google vizuri
Tofautisha wanaoabudu Dini na wanaoabudu utajiri hapo kuna mstari mmoja mkubwa sana, mtu haufanyi kazi unategemea eti ukikesha kanisani eti Pesa itajileta kwa shuhuda za uongo madhabauniHuyu jamaa ni mpagani ila ndio tajiri kuliko wote, sisem watu wasisali ina nasema kwanini shetani anawainua mapagani kiasi hicho? Nasisitiza ELON MUSK NI MPAGANI...
Ili uwe na fedha lazima ufanye kazi kwa bidii... jaman kama kanisani tunaenda kusali its a very good thing ila ILI UWE TAJIRI LAZIMA UFANYE KAZI MUNGU HAPENDI WAVIVU NA WAPUMBAVU HATA SIKU MOJA...Tofautisha wanaoabudu Dini na wanaoabudu utajiri hapo kuna mstari mmoja mkubwa sana, mtu haufanyi kazi unategemea eti ukikesha kanisani eti Pesa itajileta kwa shuhuda za uongo madhabauni
Mbona zaman wazee hawakua na dini na bado walifanya ibada kumuomba Mungu? Unadhan walimjuaje?Kuna watu misukule utawasikia wakisema heti mimi sina dini lakini na muomba Mungu,swali bila dini Mungu unge mjuaje?
Huyo Yesu mbona hakua na dini au unajua alikua ni dini gani?Kuna watu misukule utawasikia wakisema heti mimi sina dini lakini na muomba Mungu,swali bila dini Mungu unge mjuaje?
Hakuna mahali nimesema hawafanyi kazi.Mbona wanachanga sana hela mpaka sasa mwamposa kawa tajiri hizo hela wanapata wapi kama hawafanyi kazi?
Asante kwa ufafanuzi somo la History nilikua silipendi sana ila Geography ndo ilipanda kwenye "Social studies"Sorry Mkuu Burund haijawai tawaliwa na France .imetawaliwa na Belgium toka kwa Germany after ww1. ila ni rah isi kwa watu wa Rwanda, Burundi na Congo kwenda France kutokana na kutumia lugha ya kifaransa. Bcoz Belgium inatumia kifaransa km lugha ya taifa. Asnte kw taarifa nzur
Aloo hapo kwa Ethiopia umenifungua macho mkuu, nilikuwa nikiona ile midude ya Ethiopian najua ni bonge la nchi kiasi nikawa natamani nifike, maana wanasema shirika lao la Ndege ni kati ya mashirika makubwa na yanayofanya vizuri AfrikaAsante Kwa taarifa,sijafika Burundi Wala Sina mpango wa kwenda huko.
Nilikuwa naamini Burundi ni kuchafu Sasa umenikazia maarifa .
By the way Africa Kuna nchi masikini sana ukifika tashangaa
1) central Africa
2)Togo
3) Mozambique ( hasa northern party)
4) Burkina Faso Kwa kina Aziz ki
5)Chad
6) DRC
7) Madagascar
8) Mali
9) Niger
10) Eritrea
11)congo Brazzaville
12) sudani kusini
13)Ethiopia ( usione Wana midege,ni malofa haswa)
14) Benin
15)Liberia
...........
Znz tu wanatutoa jasho sembuse Burundi we mzee tutauwanaHivi kwanini tusiwashauri tuungane nao iwe sehem ya tz maana Ni kanchi kadogo sana
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Umeona akili zetuVipi madem?
HahahhaHivi kwanini tusiwashauri tuungane nao iwe sehem ya tz maana Ni kanchi kadogo sana
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Vipi kwa upande wa bishara ya madawa ya binadamu PharmacySehemu nzuri ya kula bata hiyooo,,, huwa nakula maisha sana nikiwa Buja kwanza nikiwa na laki 5 kule ni kama milion kasoro lkn matumizi yanakalibiana
Maana bia yao maarufu amstel inauzwa faranga 2000/2500 usafiri wa town (daladala) bei ni ile ile faranga 500, vyumba vya kulala guest bei kuanzia faranga 15000 hii ni self
Kilo ya nyamba (kitimoto) bei ni ile ile faranga 10,000/- kama ni mtu wa mademu ukiwa bar zao bei ni ile ile kama bongo,, japo kwa Burundi kutumia takeaway upende ww maana shobo kwa wabongo ni wazi wazi
Mm naibukaga chuo kikuu chao na bahati nzuri nafikiaga Kamenge pale bar kumtwenzi ni karibu kabisa tax nenda rudi ni faranga 10,000 tu pale wanakitivo cha Kiswahili kuna jamaa angu pale ni mtu wa Muyunga anajua kidogo kiswahili
Kwaiyo huwa najiongeresha tu Kiswahili utasikia watoto wa kitusi "alimtanzania" nikushika tu mkono na kupeleka kiwanja,, t*mba sana sema wana maji kama Bukoba tu,,
Japo wanatuogopa kuhusu ufilauni,, neno kwa mpalange wanalijua sana,, na ukiwa nae kwa sex anakutahadharisha kabisa usinifanyie vileeeee
Ukiwa Bujumbura jitahidi kidogo kukaa sehemu za kishua utajihisi tu kama upo Mwanza ama Arusha umasikin hautauona sana, ila ukiwa maeneo ya changanyikeni kiukweli panatisha omba omba ni wengi sana
Kuhusu suala la fursa za kibiashara zipo sana changamoto ni money exchange,, benki za Burundi hazina dola, bahati mbaya hela yao haitamburiki pia kwenye mabenki yetu ukiwa na faranga huwezi kuibadilisha benki yoyote nchini
Kwaiyo inabidi uibadirishie mitaani kwa watu ambapo faranga 3700 unapewa dola moja, hii inaumiza kidogo niliwahi kupeleka bidhaa nikaishia siku hiyo hiyo na baadhi ya fedha nikailia bata pale Kamenge
Rate of exchange ya Leo iko hivi;Aisee usije ukaongea hivi mbele za watu UTACHEKWA SANA
| 1 BIF (Burundi franc) = 2.204Tzs |