Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Unaharisha tu, badala ya kujibu swali.

Wewe usiefata dini, ni tajiri namba ngapi hapa TZ?
Utajiri sio kua namba ngapi kuna matajiri wengi wanaowazidi wale walio kwenye namba ndio maana mganga hukupeleka makaburini akakuague maana anajua Nafsi na Roho zenye utajiri mwingi zipo pale makaburini kuliko sehemu nyingine yoyote, akili yako ndio utajiri wako, sasa unaitumiaje akili yako ili uwe tajiri kuendana na akili yako hapo ndio kwenye puzzle

Nimekwambia utajiri wangu ni Maarifa yangu niliyonayo, utajiri namba moja ni kuwaongopea masikini wasio na Maarifa kwa kupitia Maarifa uliyonayo, good example wanasiasa au niseme wafanyabiashara za kisiasa, wanatumia Maarifa waliyonayo ya kisiasa kuwaadaa masikini wasiojua masuala ya kisiasa kujiingizia kipato na kutajirika

Una swali lingine uliza uwanja ni wako
 
Utajiri sio kua namba ngapi kuna matajiri wengi wanaowazidi wale walio kwenye namba ndio maana mganga hukupeleka makaburini akakuague maana anajua Nafsi na Roho zenye utajiri mwingi zipo pale makaburini kuliko sehemu nyingine yoyote, akili yako ndio utajiri wako...
Nenda kaharishie hukoo
 
Dini aisababushi watu kuwa masikini nawashangaa watu washenzi kila kuhusisha dini na umasikini!!wewe hapo uliopo unajifanya kuponda dini lakini wewe sio miongoni mwa matajiri wa nchi hii!kama kigezo ni ndini kwanini wewe usiwe tajiri...
Hujamuelewa, anasema wanatumia mda mwingi kwenye ibada kuliko kufanya kazi na kuzalisha, pia wanaamini watatoka umaskinini kwa miujiza badala ya mipango na facts.

Bongo tunanafuu kuliko burudi sababu ya siasa safi kama raslimali zingekuwa dili congo ingekuwa tajiri sana so siasa ndo msingi wa kujenga au kubomoa
 
Nchi nyingine nasikia ni masikini wa kutupwa ni central Africa. Hapo Bangui makao makuu ya nchi nasikia pako Kama chalinze. Unaambiwa huko watu wanakula kila mdudu Hadi vyura watu wanapita nao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sijawahi fika mie nmesimuliwa tu.
[emoji2][emoji2]ukiingia google kucheck picha za Bangui Central Africa utacheka, mji wa ovyo udongo mwekundu tupu majengo yamechakaa mbaya
 
Hakuna uchafu wowote.

Muhogo unavunwa sambani.

Unamemywa. Unalowekwa.

Ukakaushwa. Unasagwa.

Unapata unga, unasonga ugali.

Uchafu uko wapi hapo.
Mzee wewe itakua Mrundi au Muha kwasababu ni mbishi alaf unachobishia huna maarifa nacho hata punje...Hakuna sehemu ugali wa Roe unasongwa kwa unga...!!
mihogo inachemshwa,Ikikauka inapondwa na kuanikwa.inachemshwa tena na kubumba ugali..Sasa process zote kwa mfano ukiona sehemu wanapoutwanga au ile Migomba ya kufunikia haina uchafu??

Hujui kitu we mrundi
 
Tajiri mvumbuzi & mmiliki wa Tesla nadhani unamjua Elon Musk, umemuona anajiweka sana ki dini dini kwamba yeye ndio mtu wa Mungu sana ?
Huyu jamaa ni mpagani ila ndio tajiri kuliko wote, sisem watu wasisali ina nasema kwanini shetani anawainua mapagani kiasi hicho? Nasisitiza ELON MUSK NI MPAGANI...
 
Mzee wewe itakua Mrundi au Muha kwasababu ni mbishi alaf unachobishia huna maarifa nacho hata punje...Hakuna sehemu ugali wa Roe unasongwa kwa unga...!!
mihogo inachemshwa,Ikikauka inapondwa na kuanikwa.inachemshwa tena na kubumba ugali..Sasa process zote kwa mfano ukiona sehemu wanapoutwanga au ile Migomba ya kufunikia haina uchafu??

Hujui kitu we mrundi
Sasa hapo uchafu uko wapi?
We mshamba wa wapi aisee.
 
Nanukuu

"warundi nikisema tu mimi M-TZ basi watoto wananishobokea balaa kiasi kwamba wanavuka mpaka na kuniita (Hensam boi) Hapa ndo nikashtuka"

Asante
Ngoja nikariri nyimbo za Mario niende nikale vichwa Burundi...
 
Huyu jamaa ni mpagani ila ndio tajiri kuliko wote, sisem watu wasisali ina nasema kwanini shetani anawainua mapagani kiasi hicho? Nasisitiza ELON MUSK NI MPAGANI...
Bakhresa ni muislamu.

Rostam ni muislamu.

Manji is a Muslim.

Abood, Shabiby wote ni Waislamu.
 
Nanukuu

"warundi nikisema tu mimi M-TZ basi watoto wananishobokea balaa kiasi kwamba wanavuka mpaka na kuniita (Hensam boi) Hapa ndo nikashtuka"

Asante
Ngoja nikariri nyimbo za Mario niende nikale vichwa Burundi...
"Licha ya kwamba nina ngozi ngumu kama KENGE na sura mbaya kama Lori za mpunga kule kyela lakini bado wakaniita (Hensam boi)walivyojua kuwa ni M-TZ"

Nakutakia kila la heri mkuu sema ukigusa tu Mimba imo pisi za burundi vizazi vipo karibu mno
 
Bakhresa ni muislamu.

Rostam ni muislamu.

Manji is a Muslim.

Abood, Shabiby wote ni Waislamu.
Katika wote tajwa sidhani kama kuna anekamilisha sala 5 kwa siku wote ni jina tu..Hatujakataa mtu kuwa na dini...ila tunahoji Wafia dini kama wewe kushinda makanisani na msikitini mkitegemea miujiza ya Mungu ETI atawapa utajiri kwa kusali sana ni Ujinga sio ujinga??

MO ni mvaa vinjuga mzuri tu
Rostam mwizi mzuri tu
Manji kesi kama zote mahakamani
Bakhresa sio mfia dini
GSM sio mfia dini na utajiri wote hajajenga hata msikiti
Salaah vilevile
 
Nchi nyingine nasikia ni masikini wa kutupwa ni central Africa. Hapo Bangui makao makuu ya nchi nasikia pako Kama chalinze. Unaambiwa huko watu wanakula kila mdudu Hadi vyura watu wanapita nao😂😂😂😂
Ila sijawahi fika mie nmesimuliwa tu.
Unasema kweli, nilishawahi kufika. Wanakula Chenille wanachanganya na majani wanayaita Coco. Ila hata Congo,Congo Zaïre wanakula hao wadudu.Bangui ni maskini jamani acha kabisa.Yaani kule watu kila familia vijana wanapambana kwenda Ufaransa ili watoke kimaisha na wasaidie familia zao Nyumbani. Tanzania tumebarikiwa kwa kweli. Yaani Airport yao sasa acha tu,barabara zao sasa ni balaa tupu.Halafu Rais wao anatawala nchi kidogo tu,maeneo mengine yameshikiliwa na waasi. Sema sasa hivi Wagner (Warusi) wanamlinda na wamesaidia hajapinduliwa.
 
Back
Top Bottom