Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa nachojua nchi za Africa ukitoa za west kido lakini huku East and centre Africa umasikini ni Mkubwa yaani hakuna wa kumcheka mwenzie hata hapa Tanzania umasikini ni Mkubwa Sana na unatisha as the same Kenya , Uganda, Burundi . Sudan nk msumbiji nk

Yaani Africa hasa watu weusi Maisha yetu hayana nafuu kwa wengi wetu , ndo maana huwezi. Kumjua Mtu mwenye Kazi au jobless hapa TANZANIA umasikini ni Mkubwa Sana . Tena Sana Uganda nimekaa nimejionea Maisha yao kenya Tz Sudan so msiseme Burundi mkasahau kuwa umasikini ni tatizo la nchi zetu zote

Mkuu natamani ungejua kuwa umeongea vice versa hapo kwenye West an East African Countries. Wa west wengi waliotawaliwa na France hali zao tia maji tia maji sana.
 
Mkuu natamani ungejua kuwa umeongea vice versa hapo kwenye West an East African Countries. Wa west wengi waliotawaliwa na France hali zao tia maji tia maji sana.
Sijafika west countries by the way najaribu kuweka sawa kuwa ukitafta umaskini hapa Tanzania bado ni Mkubwa most of us , Maisha hayajakaa sawa tunaishi hand to mouth

Viwango vya umasikini vimetofautiana lakini tusiseme burundi ni masikini na tukanisahau sisi
 
Asante Kwa taarifa,sijafika Burundi Wala Sina mpango wa kwenda huko.
Nilikuwa naamini Burundi ni kuchafu Sasa umenikazia maarifa .
By the way Africa Kuna nchi masikini sana ukifika tashangaa
1) central Africa
2)Togo
3) Mozambique ( hasa northern party)
4) Burkina Faso Kwa kina Aziz ki
5)Chad
6) DRC
7) Madagascar
8) Mali
9) Niger
10) Eritrea
11)congo Brazzaville
12) sudani kusini
13)Ethiopia ( usione Wana midege,ni malofa haswa)
14) Benin
15)Liberia
...........
Hapo kuna nchi tajiri tatizo vita mfano sudani kusini ilitulia tz aiwezi tia mguu
 
Thibitisha wewe uliejitenga na dini umetoboa kwanza halafu ndo nifuate ushauri wako. Unatengenezewa mpaka toothpick unakuja kuleta story za dini hapa. Halafu mi navojia matheist wengi ni wavuta bangi na walevi wa kutupwa sasa lete data hapa kati ya walevi wavuta bangi na watumia madawa ya kulevya na data za kanisani wapi kuna umasikini mkubwa. Mwafrica hutoboi namba moja huna akili hata hiyo dini ina hasa kufanya kazi unasema eti nd inaleta umasikini. Hutaki kuzungumzia ufisadi elimu duni ulevi uvutaji wa madaw ya kulevya na uzinzi unaleta story za vijiweni kuwa dini inafelisha watu.Makanisani kuna masikini wengi sababu ndo sehemu pekee sauti zao husikila na kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao huonekana huko. Masikini akienda club anaishia kudharirika kuomba omba bia akienda kwenye siasa anaishia kunyang'anywa na alichonacho na hasikilizwi akienda kwenye uzinzi anadharaulika na hao wanawake shuleni anadhaurika ila kanisani anaheshimiwa na anasikilizwa anapata marafiki anaoneshwa upendo halafu anakuja mvuta bangi mmoja anapita dirishani anaenda kuhadithia wenzie fulani ni masikini sababu anashinda kanisani.
[emoji3581]
 
Sifa gani sasa,kigali mjini ni kuzuri ila foleni sasa ndo usipime bora hata ilivyokuwa morogoro road kabla ya fly over.,kingine kilichonitisha ni doria za wanajeshi mida ya jioni wakiwa na silaha kali na zile radio call kubwa wamezibeba migongoni utadhani wanaingia vitani.nilishukuru kurudi tz salama
Foleni itakosaje hali yakuwa barabala ni 1 tu?
 
Ukiona nchi au eneo flani la nchi lina wafuasi wengi wa dini jua vilevile kuna umasikini mwingi na hawana kazi ya kufanya zaidi ya kukesha makanisani kujiliwaza na neno la Mungu.Na ukitaka kuwa maskini kupindukia kuwa muimba kwaya wa kanisa.
Wewe usie imba kwanya ni tajiri namba ngapi tz?
 
Wewe hapo ulipo huna dini unamiliki nini katika mali?
Maarifa ya kutambua dini ni kwa ajili ya matajiri sio masikini, Yesu mwenye alisema ni rahisi kwa ngamia kupita tundu la sindano Ila ni ngumu kwa tajiri kuingia kwenye ufalme wa Mungu walakini hakua anamaanisha km vile wengine walimaanisha maana ni lugha fichi
 
Wewe usie imba kwanya ni tajiri namba ngapi tz?
Usipingane na ukweli jiongezee Maarifa kwa wanaokuongezea Maarifa mwenye kutembelea Range Rover ha-hang out na mtembea Peku au anaetembelea ndala huku kabeba fuko au loba lililojaa makopo matupu
 
Kuna vitu hujaelewa.
Amezungumza kujitenga na dini hajasema kujitenga na imani.

Wengi mnachanganya haya mambo mawili
Kuna watu misukule utawasikia wakisema heti mimi sina dini lakini na muomba Mungu,swali bila dini Mungu unge mjuaje?
 
Ahahahahah dah haya mambo bwana.
ukisikia 24 / 7 bas utakutana nayo kanisani usipokua makini

1. J2 ni ibada kama kawaida
2. J3 siku ya vijana
3. J4 ibada za wana mtaa
4. J5 ibada ya mafundisho kanisani
6. Alh siku ya wamama na mazoez ya kwaya
7. Ijumaa ibada ya maombi na mkesha
8. Jmosi siku ya usafi na maziez ya prasie team na maandalizi ya ibbada ya J2.

And cycle starts again.
Hapo bado vikao..mara mikutano ya viongozi.. weka mbali semina na makongamano..weka mbali mifungoo.

Kwahiyo ni Muhimu sana kuweka vipaumbele vyako ila ratiba zako zisikwame
Mbona wanachanga sana hela mpaka sasa mwamposa kawa tajiri hizo hela wanapata wapi kama hawafanyi kazi?
 
Utajiri namba moja ninaomiliki ni kutambua kua dini ni kwa ajili ya matajiri ndio maana ukienda kanisani unakutana na masanduku ya Sadaka, masikini asie na kitu akienda kanisani anaonekana hajatoa kitu anaonekana hajafanya ibada yoyote na kaenda kanisani kujaza wingi tu, kwa hio maarifa niliyonayo ya kuyatambua hayo ni moja ya utajiri tosha, maana utajiri uanzia kwenye akili sio kwenye utashi sio kwenye hisia hapa nazungumzia Maarifa ambavyo vyote kwa pamoja vipo ndani ya mfumo wa Nafsi, mfumo wa Roho unajihusisha na Imani ili uwe tajiri lenga mfumo wa Nafsi yako ambao umegawanyika katika sehemu kuu 3 yaan akili, utashi na hisia ambavyo kwa pamoja vinahusisha Maarifa na ili uwe tajiri inabidi uwe na Maarifa ya kutosha ambayo yanahiusisha akili yako

Nimekujibu kwa kadri inavyowezekana ili uelewe angalau, Vita zote ambazo binadamu hupambana huanzia kwenye mfumo wa Roho unapigwa Roho kwanza baada ya kuishinda Roho adui anahamia kwenye mfumo wa Nafsi na akiushinda mfumo wa Nafsi ndipo adui uhamia kwenye mfumo wa Mwili, mkumbuke yule mchungaji wa Mchongo wa Kenya Paulo Mackienz yeye alicheza kwanza na mfumo wa Roho wa waumini wake kisha akahamia kwenye mfumo wa Nafsi (Maarifa) akilenga Maarifa ya uongo ya kwneye Biblia kwamba ukifunga hadi kufa utaonana na Mungu na kwa kua alishawashinda wale waumini kwenye Vita ya mfumo wa Roho akawashinda kwenye mfumo wa Nafsi mwisho akawamaliza mfumo wa Mwili wakafa vibudu

Una swali jingine uliza uwanja ni wako,
Jibu swali hacha porojo unamiliki nini katika mali?
 
Usipingane na ukweli jiongezee Maarifa kwa wanaokuongezea Maarifa mwenye kutembelea Range Rover ha-hang out na mtembea Peku au anaetembelea ndala huku kabeba fuko au loba lililojaa makopo matupu
Jibu swali hacha kuimba
 
Back
Top Bottom