Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Watu masikini wanaenda makanisani kutafuta faraja mmekazana kusema dini ndo imeleta umasikini sasa waliendaje kanisani wakiwa masikini bado. Hao machokoraa nao wanashinda makanisani emu acheni chuki binafsi na dini. We unaechukia dini unanua bando la mb 300 sasa nd umekomboka na nini hapo wakati kuna watu wanatoa sadaka milion 100 kanisani na wana marange rover.
 
Asante Kwa taarifa,sijafika Burundi Wala Sina mpango wa kwenda huko.
Nilikuwa naamini Burundi ni kuchafu Sasa umenikazia maarifa .
By the way Africa Kuna nchi masikini sana ukifika tashangaa
1) central Africa
2)Togo
3) Mozambique ( hasa northern party)
4) Burkina Faso Kwa kina Aziz ki
5)Chad
6) DRC
7) Madagascar
8) Mali
9) Niger
10) Eritrea
11)congo Brazzaville
12) sudani kusini
13)Ethiopia ( usione Wana midege,ni malofa haswa)
14) Benin
15)Liberia
...........
 
Burundi kuwa koloni la Ufaransa?

Historia ya primary au secondary hiyo?
Chai

Burundi, along with Rwanda and Tanganyika, became part of the German Protectorate of East Africa in 1890 (see German East Africa).

Burundi and Rwanda (as the mandate of Ruanda-Urundi) were awarded to Belgium after World War I, when Germany lost its colonies.

Under the Belgian colonial administrators, Burundi was reorganized in the late 1920s, with the result that most chiefs and subchiefs were eliminated.
 
Watu masikini wanaenda makanisani kutafuta faraja mmekazana kusema dini ndo imeleta umasikini sasa waliendaje kanisani wakiwa masikini bado. Hao machokoraa nao wanashinda makanisani emu acheni chuki binafsi na dini. We unaechukia dini unanua bando la mb 300 sasa nd umekomboka na nini hapo wakati kuna watu wanatoa sadaka milion 100 kanisani na wana marange rover.
Aliemzika Yesu alikua ni Tajiri wa Kutupwa masikini walishindwa kumzika Yesu sababu ya Gharama za Mazishi hazikua ndogo na hata kaburi lake lilikua la Nyota 5 sio makaburi ya kapuku km lile alilomfufua Razaro

Yesu pia kuna pahala anawasimulia wanafunzi na makutano juu ya mtu alievamiwa na majambazi na kujeruhiwa vibaya Ila walipita watu wa kanisa wakuu wa Makuhani wakapita kando, walipita wazee wa Busara wakapita kando wasimsaidie Ila akapita Tajiri mmoja akiwa na punda zake akamsaidia kwa kumpa huduma ya kwanza majeraha yake na pia akampeleka hotelini akalipia apewe matibabu hadi pale atakapopona, yaan Tajiri alilipa gharama zote jamaa atibiwe mpaka apone pamoja na kwamba alikua hamjui ilihali masikini walimkimbia jamaa hawakumuokoa sababu ya kukimbia gharama

Umeelewa maana ya hio hadithi ilimaanisha nini ?
 
Wabongo bana, kila mkikaribishwa kwenye nchi za watu mnakusanya mabaya tu.

Na ndio maana Waafrika tuna kasoro kubwa sana, badala utumie nguvu zote hizi kuainisha au kuorodhesha fursa ambazo wenzako wanaweza wakaja Burundi kuzichangamkia, wewe muda wote umetafuta mabaya tu.
 
Wabongo bana, kila mkikaribishwa kwenye nchi za watu mnakusanya mabaya tu.
Na ndio maana Waafrika tuna kasoro kubwa sana, badala utumie nguvu zote hizi kuainisha au kuorodhesha fursa ambazo wenzako wanaweza wakaja Burundi kuzichangamkia, wewe muda wote umetafuta mabaya tu.
Haya fafanua Sasa hapa fursa ni zipi ?
 
Aliemzika Yesu alikua ni Tajiri wa Kutupwa masikini walishindwa kumzika Yesu sababu ya Gharama za Mazishi hazikua ndogo na hata kaburi lake lilikua la Nyota 5 sio makaburi ya kapuku km lile alilomfufua Razaro...
Nambie wewe unataka kusema ina maanisha nini. Na unambie kwanini baada ya kufufuka watu wa kwanza kukutana nao walikuwa hao hao masikini na kwanini watu wa kwanza kujua kafufuka ni hao hao masikini
 
Tanzania ni Nchi nzuri kushinda Nchi kibao hapa Afrika sio Burundi pekee..

Shida ya hao Jamaa wa Burundi ni kama Waha ubishi hawawezi kusikilizana ndio maana unaona Kila siku ni kupinduana..

Japo komesha ya ubishi ni Wasomali ,Wana akili na wanafanya biashara wakubwa ila ukuaji mwingi.
Warundi na Waha ni wale wale tu....kumbuka Burundi ilikuwaga sehemu ya Kigoma kabla ya wazungu kuimega
 
Dini ni uwendawazimu, ukitaka kutoboa jitenge kidogo na masuala ya udini
Thibitisha wewe uliejitenga na dini umetoboa kwanza halafu ndo nifuate ushauri wako. Unatengenezewa mpaka toothpick unakuja kuleta story za dini hapa.

Halafu mi navojia matheist wengi ni wavuta bangi na walevi wa kutupwa sasa lete data hapa kati ya walevi wavuta bangi na watumia madawa ya kulevya na data za kanisani wapi kuna umasikini mkubwa. Mwafrica hutoboi namba moja huna akili hata hiyo dini ina hasa kufanya kazi unasema eti nd inaleta umasikini.

Hutaki kuzungumzia ufisadi elimu duni ulevi uvutaji wa madaw ya kulevya na uzinzi unaleta story za vijiweni kuwa dini inafelisha watu.Makanisani kuna masikini wengi sababu ndo sehemu pekee sauti zao husikila na kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao huonekana huko.

Masikini akienda club anaishia kudharirika kuomba omba bia akienda kwenye siasa anaishia kunyang'anywa na alichonacho na hasikilizwi akienda kwenye uzinzi anadharaulika na hao wanawake shuleni anadhaurika ila kanisani anaheshimiwa na anasikilizwa anapata marafiki anaoneshwa upendo halafu anakuja mvuta bangi mmoja anapita dirishani anaenda kuhadithia wenzie fulani ni masikini sababu anashinda kanisani.
 
Maatheist na watu wa hulka hiyo ndo watu wanaoongoza kulipoteza taifa hasa vijana. Wanawaambia vijana wasiende makanisani ila wanawanywesha mapombe makali bila chakula na kuwadhalilisha na kuwafundisha uzinzi wa kununua wanawake wa ef 3 na ulafi wa kila aina ila hawawezi wafundisha jinsi ya kupata hizo mali sababu wengi mali zao ni za kishirikina na wamejaa uchoyo wa kiwango cha rami. Wanawakusanya vijana kwenye vijiwe na kuwavutisha bangi na kuwaletea mavitabu ya falsafa yasio na vichwa wala miguu( mfano eti maisha sijui kuna karata inaamua) na kuwaambia uzeni kacha mtazama ughaibuni mtatoboa. Hawa watu ni disgrace kwenye jamii za kiafrica karika kujikomboa na elimu bora na dini zilizostaarabika na baadae wakimaliza vita na dini watahamia kwenye kuwaambia vijana hata shule hazifai kama ambavyo sasa kuna namba kubwa sana za drop outs wa vyuo mbali mbali kwa kudanganywa sijui maforex mavitu ya ajabu na kuwapoteza kimaisha kabisa na wengine wameishia kuwa matapeli sababu ya viingereza uchwara walivoiba kwenye shule zilizojengwa na pesa za mababa zetu.
 
Kumbe burundi haina tofauti yoyote na rwanda.mimi nilippenda kigali mwaka jana nilitarajia kukuta bonge la maendeleo lakini sijaona lolote jipya.kuna watu wengi,tangu rusumo border hadi kigali miji ipo karibu karibu mno nakumbuka tulikoswa hata sehemu ya kupaki gari nikojoe.watu ni wengi mno barabarani wengi wao wakitembea kwa miguu kwa ajili ya kutafuta vibarua hasa vya kulima.watoto wa shule ndo usiseme sasa ni wengi mno na wengi wamevaa yeboyebo hata wale wa sekondari.gari za rwanda ni za kizamani mno inaonekana kuna sheria fulani kandamizi huruhusiwi kumiliki gari mpya,majengo yao ovyo sana mfano fisherboard zao ni bati linachanwa linatumika kama ubao..gari kutembea 40kph ukizidisha tu camera ina wewe maana zimefungwa kila baada ya kilomita kadhaa nchi nzima.daladala zao lazimA uwe na kadi maalum hulipi cash ndio maana watu wanashindw a kupanda magari wengi hutumia bodaboda na hata baiskel na miguu pia.
Yapo mengi sana niliyoyadharau rwanda
 
Kumbe burundi haina tofauti yoyote na rwanda.mimi nilippenda kigali mwaka jana nilitarajia kukuta bonge la maendeleo lakini sijaona lolote jipya.kuna watu wengi,tangu rusumo border hadi kigali miji ipo karibu karibu mno nakumbuka tulikoswa hata sehemu ya kupaki gari nikojoe.watu ni wengi mno barabarani wengi wao wakitembea kwa miguu kwa ajili ya kutafuta vibarua hasa vya kulima.watoto wa shule ndo usiseme sasa ni wengi mno na wengi wamevaa yeboyebo hata wale wa sekondari.gari za rwanda ni za kizamani mno inaonekana kuna sheria fulani kandamizi huruhusiwi kumiliki gari mpya,majengo yao ovyo sana mfano fisherboard zao ni bati linachanwa linatumika kama ubao..gari kutembea 40kph ukizidisha tu camera ina wewe maana zimefungwa kila baada ya kilomita kadhaa nchi nzima.daladala zao lazimA uwe na kadi maalum hulipi cash ndio maana watu wanashindw a kupanda magari wengi hutumia bodaboda na hata baiskel na miguu pia.
Yapo mengi sana niliyoyadharau rwanda
Nimefurahi kupata story ya Rwanda..maana Kagame amesifiwa sana ..Mpaka nikajua Kigali iko kama South Africa..
 
Nimefurahi kupata story ya Rwanda..maana Kagame amesifiwa sana ..Mpaka nikajua Kigali iko kama South Africa..
Sifa gani sasa,kigali mjini ni kuzuri ila foleni sasa ndo usipime bora hata ilivyokuwa morogoro road kabla ya fly over.,kingine kilichonitisha ni doria za wanajeshi mida ya jioni wakiwa na silaha kali na zile radio call kubwa wamezibeba migongoni utadhani wanaingia vitani.nilishukuru kurudi tz salama
 
Back
Top Bottom