Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Dini inasingiziwa tu sababu za umaskini nchi hii zinajulikana
 
Nawaamuru acheni kuharibu uzi kwa mambo ya dini.
 
Thibitisha madai yako kwa mifano na onesha sehem ambazo hazina dini zina maendeleo. Riverside kuna uzinzi wa wazi onesha kama kuna maendeleo makubwa zaidi kwa watu wake. Zile range zinazopaki makanisani na sadaka za milion 100 zinatoka wapi?
Kuna wezi kibao, wauaji kibao, watoa kafara kibao, wako pale kuzuga tuu, fuatilia ipo siku utagundua ninachosema.
 
Kweli polisi wa Kenya ni wapenda rushwa balaa na makatili. Ila nachowapendea hawana konakona kwenye kutaka rushwa. Kwa mfano kwenye checkpoint ya kwenda Nairobi kutokea Namanga walikuwa na kiwango chao cha rushwa kama huna passport
 
Mkumbushe Mjerumani kaondoka Namibia 1990!!! In short Jiji lao ni Windwook ( sp) sio mchezo Dar ikaoge ,TREN za umeme wao ni ujinga tuu sisi ndio tunaanza!!
Windhoek gani ambayo inaiacha mbali Dar?

Hivi humu vichaa ni wengi kiasi hiki eeh.

Umewahi kufika au unaongea tu?
 
NAMIBIA kwa namna yoyote haiwezi ingia kwa TANZANIA. NAMIBIA imeachwa mbali tuache kudanganyana humu ndani.
 
Umesema kweli. Uwanja wao wa ndege hata wa Arusha ni mzuri.

Uwanja unamipasuko kama yote yani.

Bangui ni kama Mji wa Namanga.

Usalama sio mzuri sana.
 
Kweli polisi wa Kenya ni wapenda rushwa balaa na makatili. Ila nachowapendea hawana konakona kwenye kutaka rushwa. Kwa mfano kwenye checkpoint ya kwenda Nairobi kutokea Namanga walikuwa na kiwango chao cha rushwa kama huna passport
Hata maofisa mipaka wa Kenya wanakuelekeza namna ya kutoa rushwa na namna ya kuwahonga upande wa Watanzania, nani umpe kiasi gani na nani umpe kiasi gani. Tena ukikosewa na Tz unarudi kwa Wakenya wanakupa mpango.
Trafiki Mbongo atatafuta kosa akilipata ajifanye mkali umpe, Mkenya unafika akihisi huna kosa anaomba hela direct. Wana kiwango chao sometimes daladala inapita inamdondoshea 50, hiyo ni bima next time ukiwa na kosa ufikiriwe. Uko ni Mombasa lakini, Nairobi wabishi hawatoi hela kizembe. Kukutana na polisi Kenya anazurula asubuhi mpaka jioni akitafuta quota aliyopangiwa na kamanda ni kawaida, ukikosa kufikisha unapewa kulinda sehemu hamna hela.
 
Msamehe bure huyo kwani hajatembea. Dar majiji mengi ya Afrika yakasome namba.
Humu kuna wajinga wanagoogle vipande vya mji basi, Yaani Windhoek iwe nzuri kuliko Dar? Au Namibia iwe bora kuliko Tanzania? Yaan nchi Jangwa tupy then iwe juu ya Tz?

Kwa SADC ni SOUTH AFRICA tu ndio imeiacha mbali Tanzania yetu hii, nimefika nchi karibu zote za SADC, Tanzania ni Nchi bora sana kwa kila Nyanja yaan hizo nchi kuna maeneo hayafikiki si kwa gari wala Bajaj, Tz pamoja na ukubwa karibu kila sehemu inafikika.

Unatembea Tz kwa amani, uwe ugenini au mkoani kwako, Tz unaishi kwa amani bila maswali wala nini. Narudi HAKUNA nchi inaizidi TANZANIA kwa SADC na EAST AFRICAN COMMUNITY isipokuwa KENYA na SOUTH AFRICA. Hao Wakenya wenyewe wana miaka michache tu wataachwa.
 
Wanawake wa burundi, Zambia na rwanda wanatupenda sana watanzania.
 
Burundi bana hakuna kiswahili kilichonyooka

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Ethiopia sio maskini wameizid hta tz kwa miondombinu ila tatzo lao maisha ya wananchi ni magumu sana ni km vile tu ilivyo china

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…