Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwenye "kusaka tonge" Nimejikuta mara kadhaa nadondokea kwenye nchi jirani ila hii nchi ya BURUNDI inanifanya kila siku nizidi kuthamini na kuipenda TZ..Burundi ni nchi ambayo imepitiwa na Bonde la UFA "Rift valley" sasa sijui ni geographical area ndo inasababisha umaskini huu au ni nini? Lakini mbona Rwanda Nao ni nchi ndogo tena walikua Level moja kiuchumi miaka kadhaa ila Leo Rwanda iko mbali sana.

MIUNDOMBINU:
Barabara ya TZ ni nyembamba ila ya Burundi ni nyembamba Pro max na inamabonde,Mashimo,Kona na miinuko ya kufa mtu.Ajali ni kila siku tena zinaua kuliko za bongo.Mbaya zaidi wanatumia protocol ya barabara(Left na Right) kinyume na hii yetu hali ya kuwa magari mengi ni (Right hand)Kwaio kuovertake mpama utokeze mzimamzima kuchungulia hapo ndo msala unaanzia.kifuatacho ni INNALILLAH..BWANA ALITWAA..RIP

USAFIRI:
Burundi inamikoa zaidi ya 7 ila Airport iko moja tu nchi nzima (BUJUMBURA tu)..Usafiri wao sanasana ni TAX(probox mchomoko) bodaboda na Baiskeli ndo za Kumwagaa....!!!

MAMBO YANAYONISHANGAZA:

~Sio waislamu wala christians Burundi watu ni wafia dini yani wanajua na wanapenda dini balaa makanisani panajaa miskitini panajaa.Naamini dini zetu zinachangia pakubwa sana kwenye umaskini hapa Mzungu na Mwarabu walituweza washenzi wale...!!!

~Elimu HONGERA kwa Sekta ya Elimu ya TZ japo mtaala ni mbovu ila kwenye uniform TZ ilipatia sana..Haiwezekani wanafunzi wa Burundi sketi hazijawekewa Marinda yani zinachora shepu na vitoto vya sikuizi miaka 14 tu shape hiyoo.Watu kama KENGE tunapata tabu sana Wakuu..pia hata KENYA vyanafunzi vinavaa sketi fupi mno sijajua kwa UG na Rwanda.

Burundi wanapata sana Scholarship za France kwakua ni Colon lao..Elimu ni kuanzia la kwanza mpaka 13-16...

~Burundi hakuna Vivutio vya Utalii wala Mbuga za wanyama.Cha zaidi ni (Game reserve) Kinachoniuma kwenye Geography tulisoma Maeneo yaliyopitiwa na Rift valley yanaasilimia kubwa kutoa milima mirefu kama Oldonyo Lengai,Everest n.k Lakini kwa Burundi Hakuna Mlima hata mmoja wa kivutia cha utalii licha ya kuwa na miinuko,Mabonde nchi nzima

Cha kusikitisha kuna Ziwa Tanganyika ila Hakuna Mamlaka ya maji kama DAWASCO kwa TZ yaani kifupi kuna mgao wa maji hasa kule RUMONGE mkoa mzima umepakana na Ziwa ila kuna shida kubwa sana ya Maji Umeme ndo usiulize.

Mziki wanasikiliza wa TZ na Maeneo kama Rumonge wanaongea kiswaili vzuri kabsa ila Bujumbura ndo kuna baadhi wanaelewa kiswahili licha ya kuwa lugha mama ni Kirundi lakini asilimia kama zote wanabonga Kiswahili

Burundi ni nchi pekee unayoweza kusema wewe ni Tanzanian na wakakushobokea..Yaani pamoja na kwamba Nina ngozi ngumu kama ya KENGE na Sura mbaya kama Lori la Mchele kule Mbeya...Lakini huku kwa warundi nikisema tu mimi M-TZ basi watoto wananishobokea balaa kiasi kwamba wanavuka mpaka na kuniita (Hensam boi) Hapa ndo nikashtuka..Nenda Kenya sasa Useme wwe ni m-bongo uone wanavyokudharau...!!

Pia,Nilichogundua Bongo machokoraa wa stendi ni wasafi kulinganisha na wa Burund...Choko wa Burundi wanajua kuomba aisee hawakuachi na ni vichafu kinoma ukijumlisha Udongo ni mwekundu maeneo mengi basi vinakua vichafuu,,vyeusii..Mungu atuepushe na Umaskini aisee lakini Awezi kutuepusha kama sisi wenyewe tumebweteka kusubiri wazungu watutengenezee kila kitu.

Vilevile Ukitembea jiji zima hakuna nyumba iliotengenezwa kwa Tofali za Block..ni mwendo wa (Tofali za Choma)

Nchi kama hizi Chakula sio shida kwasababu uti wa uchumi wetu ni Kilimo kwaiyo vilevile Burundi Wanakima kila kitu na Kufuga kwaio nyama na Maziwa ni kama zote..Wana Ugali wao wa Roi umetengenezwa kwa Mihogo bongo inabidi tuutumie ni mzuri kwa Afya japo ukiskia unavyotengenezwa unaweza kuhairisha/Kususa kula..

View attachment 2606757
~VYUO VIKUU vinapatikana Bujumbura tu
~AIRPORT ni moja tu nchi nzima
~FARANGA haina thamani kabsaa ukichange 100k Tsh kuwa Faranga wewe ni taita..
~Kama wabongo tu wanaamini South kwa Madiba ndo kuna Maisha yani ukifika umetoboa..
~Maeneo mengi vijijini gari likipita wanalishangaa wakubwa kwa watoto

Pamoja na yote BURUNDI wanazaliana balaa sio ajabu kukuta Mzee anawake wawili na kila Mke anawatoto 10+ nafkir ni kwasababuSTAREHE YA MASKINI NI KUDINYANA

Fursa za Ajira kwa wabongo ukija ukosi kabsaa yani kama unataka utoboe mapema ujenge mapema nenda Burundi kama unaakili ya pesa utapiga sana kwasababu bado wako nyuma ya muda

Narudi kuendelea,bado nipo bujumbura
View attachment 2606756

Zaidi soma>>>
-Askari ni wengi sana.
-Kuna bwalo la jeshi usiku watu wengi sana kuna mpaka swiming pool.
-Kiriri garden ndio 5 star hotel.
-Kuna hoteli nzuri za Martha, na la Chandilier mjini kati.
-Uvira ya Drc Congo ipo jirani kabisa na Bunjumbura.
-Kwenda Bukavu kupitia Ziwa Kivu hadi Goma kutokea Bujumbura/Uvira ni karibu kama hutapitia Rwanda.
-Watusi 5%, Twa 1% na Wahutu 94%.
-Kiwanja chao cha ndege kinazidiwa mbali sana na Mwanza, sembuse KIA au JNIA.
-Mademu wafupi, sura ngumu isipokuwa few wasupu ambao ni Watusi.
-Probox kama zote.
-Umaskini upo sana, bongo tupo juu.

My Take.

Rwanda ipo njema, watoto kama wote yaani.
Mshana Jr na akienda huko harudi tena huko Bongo.
 
Aliemzika Yesu alikua ni Tajiri wa Kutupwa masikini walishindwa kumzika Yesu sababu ya Gharama za Mazishi hazikua ndogo na hata kaburi lake lilikua la Nyota 5 sio makaburi ya kapuku km lile alilomfufua Razaro

Yesu pia kuna pahala anawasimulia wanafunzi na makutano juu ya mtu alievamiwa na majambazi na kujeruhiwa vibaya Ila walipita watu wa kanisa wakuu wa Makuhani wakapita kando, walipita wazee wa Busara wakapita kando wasimsaidie Ila akapita Tajiri mmoja akiwa na punda zake akamsaidia kwa kumpa huduma ya kwanza majeraha yake na pia akampeleka hotelini akalipia apewe matibabu hadi pale atakapopona, yaan Tajiri alilipa gharama zote jamaa atibiwe mpaka apone pamoja na kwamba alikua hamjui ilihali masikini walimkimbia jamaa hawakumuokoa sababu ya kukimbia gharama

Umeelewa maana ya hio hadithi ilimaanisha nini ?
Huyo tajiri aliyemchukua yesu baada ya kufa alikuwa ni mwanafunzi wake,naye huyu alikuwa tajiri.Ukimuamini yesu sawasawa hauwez kuwa maskini,maana mojawapo ya sababu ya yeye kuja duniani ni kuchukua umaskini wetu Ili hali yeye alikuwa tajiri,na akatupa utajiri wake
 
Kumbe burundi haina tofauti yoyote na rwanda.mimi nilippenda kigali mwaka jana nilitarajia kukuta bonge la maendeleo lakini sijaona lolote jipya.kuna watu wengi,tangu rusumo border hadi kigali miji ipo karibu karibu mno nakumbuka tulikoswa hata sehemu ya kupaki gari nikojoe.watu ni wengi mno barabarani wengi wao wakitembea kwa miguu kwa ajili ya kutafuta vibarua hasa vya kulima.watoto wa shule ndo usiseme sasa ni wengi mno na wengi wamevaa yeboyebo hata wale wa sekondari.gari za rwanda ni za kizamani mno inaonekana kuna sheria fulani kandamizi huruhusiwi kumiliki gari mpya,majengo yao ovyo sana mfano fisherboard zao ni bati linachanwa linatumika kama ubao..gari kutembea 40kph ukizidisha tu camera ina wewe maana zimefungwa kila baada ya kilomita kadhaa nchi nzima.daladala zao lazimA uwe na kadi maalum hulipi cash ndio maana watu wanashindw a kupanda magari wengi hutumia bodaboda na hata baiskel na miguu pia.
Yapo mengi sana niliyoyadharau rwanda
Maji pia shida
 
Kwenye "kusaka tonge" Nimejikuta mara kadhaa nadondokea kwenye nchi jirani ila hii nchi ya BURUNDI inanifanya kila siku nizidi kuthamini na kuipenda TZ..Burundi ni nchi ambayo imepitiwa na Bonde la UFA "Rift valley" sasa sijui ni geographical area ndo inasababisha umaskini huu au ni nini? Lakini mbona Rwanda Nao ni nchi ndogo tena walikua Level moja kiuchumi miaka kadhaa ila Leo Rwanda iko mbali sana.

MIUNDOMBINU:
Barabara ya TZ ni nyembamba ila ya Burundi ni nyembamba Pro max na inamabonde,Mashimo,Kona na miinuko ya kufa mtu.Ajali ni kila siku tena zinaua kuliko za bongo.Mbaya zaidi wanatumia protocol ya barabara(Left na Right) kinyume na hii yetu hali ya kuwa magari mengi ni (Right hand)Kwaio kuovertake mpama utokeze mzimamzima kuchungulia hapo ndo msala unaanzia.kifuatacho ni INNALILLAH..BWANA ALITWAA..RIP

USAFIRI:
Burundi inamikoa zaidi ya 7 ila Airport iko moja tu nchi nzima (BUJUMBURA tu)..Usafiri wao sanasana ni TAX(probox mchomoko) bodaboda na Baiskeli ndo za Kumwagaa....!!!

MAMBO YANAYONISHANGAZA:

~Sio waislamu wala christians Burundi watu ni wafia dini yani wanajua na wanapenda dini balaa makanisani panajaa miskitini panajaa.Naamini dini zetu zinachangia pakubwa sana kwenye umaskini hapa Mzungu na Mwarabu walituweza washenzi wale...!!!

~Elimu HONGERA kwa Sekta ya Elimu ya TZ japo mtaala ni mbovu ila kwenye uniform TZ ilipatia sana..Haiwezekani wanafunzi wa Burundi sketi hazijawekewa Marinda yani zinachora shepu na vitoto vya sikuizi miaka 14 tu shape hiyoo.Watu kama KENGE tunapata tabu sana Wakuu..pia hata KENYA vyanafunzi vinavaa sketi fupi mno sijajua kwa UG na Rwanda.

Burundi wanapata sana Scholarship za France kwakua ni Colon lao..Elimu ni kuanzia la kwanza mpaka 13-16...

~Burundi hakuna Vivutio vya Utalii wala Mbuga za wanyama.Cha zaidi ni (Game reserve) Kinachoniuma kwenye Geography tulisoma Maeneo yaliyopitiwa na Rift valley yanaasilimia kubwa kutoa milima mirefu kama Oldonyo Lengai,Everest n.k Lakini kwa Burundi Hakuna Mlima hata mmoja wa kivutia cha utalii licha ya kuwa na miinuko,Mabonde nchi nzima

Cha kusikitisha kuna Ziwa Tanganyika ila Hakuna Mamlaka ya maji kama DAWASCO kwa TZ yaani kifupi kuna mgao wa maji hasa kule RUMONGE mkoa mzima umepakana na Ziwa ila kuna shida kubwa sana ya Maji Umeme ndo usiulize.

Mziki wanasikiliza wa TZ na Maeneo kama Rumonge wanaongea kiswaili vzuri kabsa ila Bujumbura ndo kuna baadhi wanaelewa kiswahili licha ya kuwa lugha mama ni Kirundi lakini asilimia kama zote wanabonga Kiswahili

Burundi ni nchi pekee unayoweza kusema wewe ni Tanzanian na wakakushobokea..Yaani pamoja na kwamba Nina ngozi ngumu kama ya KENGE na Sura mbaya kama Lori la Mchele kule Mbeya...Lakini huku kwa warundi nikisema tu mimi M-TZ basi watoto wananishobokea balaa kiasi kwamba wanavuka mpaka na kuniita (Hensam boi) Hapa ndo nikashtuka..Nenda Kenya sasa Useme wwe ni m-bongo uone wanavyokudharau...!!

Pia,Nilichogundua Bongo machokoraa wa stendi ni wasafi kulinganisha na wa Burund...Choko wa Burundi wanajua kuomba aisee hawakuachi na ni vichafu kinoma ukijumlisha Udongo ni mwekundu maeneo mengi basi vinakua vichafuu,,vyeusii..Mungu atuepushe na Umaskini aisee lakini Awezi kutuepusha kama sisi wenyewe tumebweteka kusubiri wazungu watutengenezee kila kitu.

Vilevile Ukitembea jiji zima hakuna nyumba iliotengenezwa kwa Tofali za Block..ni mwendo wa (Tofali za Choma)

Nchi kama hizi Chakula sio shida kwasababu uti wa uchumi wetu ni Kilimo kwaiyo vilevile Burundi Wanakima kila kitu na Kufuga kwaio nyama na Maziwa ni kama zote..Wana Ugali wao wa Roi umetengenezwa kwa Mihogo bongo inabidi tuutumie ni mzuri kwa Afya japo ukiskia unavyotengenezwa unaweza kuhairisha/Kususa kula..

View attachment 2606757
~VYUO VIKUU vinapatikana Bujumbura tu
~AIRPORT ni moja tu nchi nzima
~FARANGA haina thamani kabsaa ukichange 100k Tsh kuwa Faranga wewe ni taita..
~Kama wabongo tu wanaamini South kwa Madiba ndo kuna Maisha yani ukifika umetoboa..
~Maeneo mengi vijijini gari likipita wanalishangaa wakubwa kwa watoto

Pamoja na yote BURUNDI wanazaliana balaa sio ajabu kukuta Mzee anawake wawili na kila Mke anawatoto 10+ nafkir ni kwasababuSTAREHE YA MASKINI NI KUDINYANA

Fursa za Ajira kwa wabongo ukija ukosi kabsaa yani kama unataka utoboe mapema ujenge mapema nenda Burundi kama unaakili ya pesa utapiga sana kwasababu bado wako nyuma ya muda

Narudi kuendelea,bado nipo bujumbura
View attachment 2606756

Zaidi soma>>>
Duuuh
 
Jamani RWANDA is OVERRATED...
Tanzania ni babalao Eaplst Africa
 
"Vilevile Ukitembea jiji zima hakuna nyumba
iliotengenezwa kwa Tofali za Block..ni mwendo wa
(Tofali za Choma)"

Hapa umeongea usichokijua au umekaririshwa.

Tofali linadumu kupita block, fuatilia majengo ya Wamisionari hapa nchi utagundua kitu.
 
Wabongo bana, kila mkikaribishwa kwenye nchi za watu mnakusanya mabaya tu.

Na ndio maana Waafrika tuna kasoro kubwa sana, badala utumie nguvu zote hizi kuainisha au kuorodhesha fursa ambazo wenzako wanaweza wakaja Burundi kuzichangamkia, wewe muda wote umetafuta mabaya tu.
Mbongo hajawahi kuwa na jicho la kuona fursa. Hata akienda Madagascar hapo atarudi na story Wanawake wa kule wana makalio madogo.
 
Security wise ndiyo shida kubwa, Burundi hakuaminiki, ningeshauri Tanzania na Burundi wakae pamoja, jeshi la Burundi nusu lije Tanzania kwa mafunzo ya uzalendo, na jeshi la Jwtz lijazie, liende Burundi kuwe na rotations, msingi mkuu wa maendeleo ni AMANI.
Burundi ni ya kusaidiwa, amani ikiwepo ya uhakika, Burundi itakuwa na neema ya ajabu, na wawekezaji watafurika.
 
Kenge ilitaka kutuingiza Mkenge.
Jamaa yuko sahihi acheni kuamini kila mnachokuta google. leo asubuhi natoka kuchati na MTZ alieko huko kasema kwa sasa Ths 10,000 ni sawa na Bif 30,000. maana yake hapi ni buku kwa buku tatu
 
Watu masikini wanaenda makanisani kutafuta faraja mmekazana kusema dini ndo imeleta umasikini sasa waliendaje kanisani wakiwa masikini bado. Hao machokoraa nao wanashinda makanisani emu acheni chuki binafsi na dini. We unaechukia dini unanua bando la mb 300 sasa nd umekomboka na nini hapo wakati kuna watu wanatoa sadaka milion 100 kanisani na wana marange rover.
dini zimeleta umasikini mkubwa Afrika, anayebisha abishe kwa hoja,twende kazi!
 
Wewe hapo ulipo huna dini unamiliki nini katika mali?
hana dini ila ana imani. Haamini dini zenu za kuwafanya watu washinde ibadani,anaimani ya kutafuta mali kwa bidii sio yenu ukitaka kuwa tajiri uongeze maombi, tofautisha dini na imani mkuu.
 
Back
Top Bottom