Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

1 burundi franc = 1.13 Tsh.
Mbona pesa yetu ndio haina thamani mbele ya pesa yao.
EAC ni kenya pekee ndio inauchumi wa juu, nchi kama Rwanda na burundi,uganda,Tanzania sisi pesa zetu zinathamani ukiwa ndani ya nchi yako sio ukienda kwa jirani mf ukienda uganda lazima upewe ile minoti pale mpakani, ukiingia rwanda unapewa ile mi franc ya rwanda, burundi hali kadhalika. Nchi kama uganda ukiwapa hela ya Tanzania kwanza wanaishangaa sana. Warwanda hawataki pesa ya nchi ingine itumike ndani ya nchi yao pia warwanda wabinafsi sana
 
Hata wazungu walipokuja Afrika kwa mara ya kwanza walitushangaa sana, nyumba hakuna. Hivi unajua mahindi walileta Wareno? Halafu wenyewe hawali ni kwa ajili ya mifugo. Sisi ndiyo chakula chetu kikuuu sijui waliweka nini kwenye hii mbegu, yaani ukila ugali lazima huhisi usingizi. Wanasayansi wetu hawana habari na hii lishe tuliyoletewa. Mikoa isiyokula ugali sana wana akili nzuri zaidi kuliko mikoa yenye ugali muda wote. Vipi huko Burundi ulaji wa Ugali?
 
Hata wazungu walipokuja Afrika kwa mara ya kwanza walitushangaa sana, nyumba hakuna. Hivi unajua mahindi walileta Wareno? Halafu wenyewe hawali ni kwa ajili ya mifugo. Sisi ndiyo chakula chetu kikuuu sijui waliweka nini kwenye hii mbegu, yaani ukila ugali lazima huhisi usingizi. Wanasayansi wetu hawana habari na hii lishe tuliyoletewa. Mikoa isiyokula ugali sana wana akili nzuri zaidi kuliko mikoa yenye ugali muda wote. Vipi huko Burundi ulaji wa Ugali?
Mwendo wa ugali tu huku na wanaugali wao wa ROE umetengenezwa kwa mihogo ukila lazima upate constipation
 
Good observation! Sio vyema kulinganisha Tanzania na Burundi. Ni kama mbungu na ardhi kabisa. Kuanzia size ya nchi mpaka rasilimali. Ukichangia na chuki iliyojaa ndani ya nchi yao, ni kama ndimu kwenye mboga.

Hakuna kitu kibaya katika taifa kama vita. Inaweza kurudisha Taifa miaka 10 nyuma kiuchumi, Jamii na maendeleo. Burundi iliingia kwenye civil war nadhani kuanzia 93 mpaka katkati ya miaka ya 2000. Safari yao ni ndefu sana kuelekea kwenye maendeleo. Hawana bahati aliyokuwa nayo Rwanda, ambayo baada ya ile genocide, nchi za Dunia nzima ziliungana kusaidia kuijenga Rwanda upya.

Mfano, UK peke yake ilichukua jukumu la kulipa mishahara ya Rwanda's Civil Cervants kwa miaka 10. Bila shaka usimamiI mzuri wa Rasi Kagame kuhakikisha kwamba nidhamu ya hali ya juu inakuwepo ili kuzuia ubaadhirifu na wizi wa misaada iliyokywa inaletwa na nchi ulaya pamoja na mashirika ya kimataifa ilisaidia sana kuleta maendeleo haraka. Burundi kamwe hatapata hio nafasi. Safari yao bado ni ndefu sana.

Kabla hiyo nchi haijakumbwa na hayo matatizo, Burundi ilikuwa imetulia sana. Wakati huku kwetu tunakula Unga wa sembe wa msaada kutoka US (Unga wa njano) wao walikuwa mambo Safi. Bidhaa zilikuwa zimejaa madukani na kwenye masoko. Wafanyabiashara wengi walienda huko kunua mitumba Kuja kuuza bongo.

Kwetu vitu vilikuwa vinapatikana kwenye Maduka ya kaya tena kwa foleni, wao hakukuwa na hayo matatizo. Bongo Watu wakaambiwa wafunge mkanda kwa miezi 18 kukubali dhiki, ikaenda mpaka miaka zaidi ya 15. Fikiria, hayo ni madhara ya vita vya Tanzania/ Uganda ya mwaka 1 tu. Burundi wamepigana wenyewe kwa wenyewe kwa zaidi ya miaka 20.

Enzi hizo, Kuna Wafanyabiashara kutoka Burundi, walikuwa wanakuja Dar, mtaa ya Kinondoni na vitenge kutoka Holland, wanavikata saisi ya Kanga, Duh! Walikuwa wanakula dada zetu pale mjini mpaka roho inakuuma. Lakini mwenye kisu kikali ndie hula nyama.

Leo hii nchi yao imerudi nyuma miaka 30 kwa sababu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Nchi ndogo, population kubwa, rasilimali chache na geopolitically haina ushawishi wowote, Safari yao ni ndefu sana. Bado watakiona cha mtama kuni.
 
Unaweza kwenda Google kama ukitaka ila inabidi kwenda shule kusoma kiundani zaidi haswa chuo Kikuu, huko ndiko utaweza kusoma na kuelewa zaidi kwanini hizi dini ziliundwa na watu na kumsingizia Mungu. Hawa manabii wa kishikaji kuanzia kina T.B. Joshua na hawa kina Mwamposa wote wanajuwa ukweli na ndiyo maana wanawachezee watu akili tu.
Aya
 
Waburundi wengi wanakidharau kifaransa na kusema ni lugha ya umaskini.. ndoto zao ni kujua kiingereza. Pia kiswahili chao kimenyooka karibu sawa na bongo. Kiukweli Tanzania kwa sasa ipo kasi sana kulinganisha na nchi nyingi zinazotuzunguka. Bongo naona shida kubwa sana ni umeme. Kwa ukubwa wa nchi na idadi ya watu kiukweli umeme tulio nao ni mdogo mno.
I love my country Tanzanie love you so much.
 
Good observation! Sio vyema kulinganisha Tanzania na Burundi. Ni kama mbungu na ardhi kabisa. Kuanzia size ya nchi mpaka rasilimali. Ukichangia na chuki iliyojaa ndani ya nchi yao, ni kama ndimu kwenye mboga.

Hakuna kitu kibaya katika taifa kama vita. Inaweza kurudisha Taifa miaka 10 nyuma kiuchumi, Jamii na maendeleo. Burundi iliingia kwenye civil war nadhani kuanzia 93 mpaka katkati ya miaka ya 2000. Safari yao ni ndefu sana kuelekea kwenye maendeleo. Hawana bahati aliyokuwa nayo Rwanda, ambayo baada ya ile genocide, nchi za Dunia nzima ziliungana kusaidia kuijenga Rwanda upya.

Mfano, UK peke yake ilichukua jukumu la kulipa mishahara ya Rwanda's Civil Cervants kwa miaka 10. Bila shaka usimamiI mzuri wa Rasi Kagame kuhakikisha kwamba nidhamu ya hali ya juu inakuwepo ili kuzuia ubaadhirifu na wizi wa misaada iliyokywa inaletwa na nchi ulaya pamoja na mashirika ya kimataifa ilisaidia sana kuleta maendeleo haraka. Burundi kamwe hatapata hio nafasi. Safari yao bado ni ndefu sana.

Kabla hiyo nchi haijakumbwa na hayo matatizo, Burundi ilikuwa imetulia sana. Wakati huku kwetu tunakula Unga wa sembe wa msaada kutoka US (Unga wa njano) wao walikuwa mambo Safi. Bidhaa zilikuwa zimejaa madukani na kwenye masoko. Wafanyabiashara wengi walienda huko kunua mitumba Kuja kuuza bongo.

Kwetu vitu vilikuwa vinapatikana kwenye Maduka ya kaya tena kwa foleni, wao hakukuwa na hayo matatizo. Bongo Watu wakaambiwa wafunge mkanda kwa miezi 18 kukubali dhiki, ikaenda mpaka miaka zaidi ya 15. Fikiria, hayo ni madhara ya vita vya Tanzania/ Uganda ya mwaka 1 tu. Burundi wamepigana wenyewe kwa wenyewe kwa zaidi ya miaka 20.

Enzi hizo, Kuna Wafanyabiashara kutoka Burundi, walikuwa wanakuja Dar, mtaa ya Kinondoni na vitenge kutoka Holland, wanavikata saisi ya Kanga, Duh! Walikuwa wanakula dada zetu pale mjini mpaka roho inakuuma. Lakini mwenye kisu kikali ndie hula nyama.

Leo hii nchi yao imerudi nyuma miaka 30 kwa sababu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Nchi ndogo, population kubwa, rasilimali chache na geopolitically haina ushawishi wowote, Safari yao ni ndefu sana. Bado watakiona cha mtama kuni.
Hii sasa ndio reality of Situation in burundi.. umeleezea vizuri sana.. kuna watu hawajui burundi ni eneo dogo lenye population kubwa na halina rasilimali yoyote.. na mbaya zaidi halina ushawishi wa mataifa makubwa kuwekeza mitajiaana hakuna chochote chakuwavutia.. Hii pekee ni chanzo cha umasikin mkubwa.. Uje sasa kwenye muda vita ilivyo dumu.. ndio utajua hujui katika mapigo ya uchumi yanyo sababishwa na vita.
 
Chai

Burundi, along with Rwanda and Tanganyika, became part of the German Protectorate of East Africa in 1890 (see German East Africa).

Burundi and Rwanda (as the mandate of Ruanda-Urundi) were awarded to Belgium after World War I, when Germany lost its colonies.

Under the Belgian colonial administrators, Burundi was reorganized in the late 1920s, with the result that most chiefs and subchiefs were eliminated.
Ila lugha yao ni kifaransa na kirundi
 
Mzee wewe itakua Mrundi au Muha kwasababu ni mbishi alaf unachobishia huna maarifa nacho hata punje...Hakuna sehemu ugali wa Roe unasongwa kwa unga...!!
mihogo inachemshwa,Ikikauka inapondwa na kuanikwa.inachemshwa tena na kubumba ugali..Sasa process zote kwa mfano ukiona sehemu wanapoutwanga au ile Migomba ya kufunikia haina uchafu??

Hujui kitu we mrundi
Uko sawa, kwa maeneo niliyowahi kuona wanatengeneza kusema ukweli usafi ni hafifu. Sema wengi wanasifia ni ugali mzuri hasa kwa nyama choma. Ila mm ulinishinda kwakuwa ni wa baridi
 
Uko sawa, kwa maeneo niliyowahi kuona wanatengeneza kusema ukweli usafi ni hafifu. Sema wengi wanasifia ni ugali mzuri hasa kwa nyama choma. Ila mm ulinishinda kwakuwa ni wa baridi
Inahitaji moyo sana aisee ule ubaridi duuh
 
Waburundi wengi wanakidharau kifaransa na kusema ni lugha ya umaskini.. ndoto zao ni kujua kiingereza. Pia kiswahili chao kimenyooka karibu sawa na bongo. Kiukweli Tanzania kwa sasa ipo kasi sana kulinganisha na nchi nyingi zinazotuzunguka. Bongo naona shida kubwa sana ni umeme. Kwa ukubwa wa nchi na idadi ya watu kiukweli umeme tulio nao ni mdogo mno.
Umeme+Internet viko juu mno
 
EAC ni kenya pekee ndio inauchumi wa juu, nchi kama Rwanda na burundi,uganda,Tanzania sisi pesa zetu zinathamani ukiwa ndani ya nchi yako sio ukienda kwa jirani mf ukienda uganda lazima upewe ile minoti pale mpakani, ukiingia rwanda unapewa ile mi franc ya rwanda, burundi hali kadhalika. Nchi kama uganda ukiwapa hela ya Tanzania kwanza wanaishangaa sana. Warwanda hawataki pesa ya nchi ingine itumike ndani ya nchi yao pia warwanda wabinafsi sana
Ni kweli, mbaki ya kwamba Kenya Ina uchumi mzuri lakini Wakenya Wana maisha magumu sana. Kwa upande wangu katika ukanda wa Afrika Mashariki Tanzania Kuna unafuu wa maisha kuliko kwingineko japo changamot Bado nyigi.
 
Back
Top Bottom