Sasa si umesema nna mentality ya kimasikini sababu Bezos na wazungu hawaendi kanisani hyo kauli umemaanisha nini?Mimi kunasehemu nimesema dini inaleta umaskini? We jamaa are you insane? Are you talking to me au mtu mwingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si umesema nna mentality ya kimasikini sababu Bezos na wazungu hawaendi kanisani hyo kauli umemaanisha nini?Mimi kunasehemu nimesema dini inaleta umaskini? We jamaa are you insane? Are you talking to me au mtu mwingine?
Nimemaanisha kwamba kujua kama mtu anasali sio lazima muwe mnasali au kuabudu sehemu moja na mtu kuwa tajiri sio kwamba anaabudu mashetani, jamaa wewe sio judge ulietumwa na Mungu uje uwaambie watu wanamakosa wajirekebishe kwa namna unayotaka wewe thats not okay, you gotta chill bro... NOT EVERY RICH PERSON IS EVIL... MUNGU HAWEZ KURUHUSU HIYO... NA MUNGU HAPEND WATU JUDGMENTAL KAMA WEWE...Sasa si umesema nna mentality ya kimasikini sababu Bezos na wazungu hawaendi kanisani hyo kauli umemaanisha nini?
Mimi nlikuwa nachangia kwa wachangiaji wanaosema kuwa africa ni masikini kwasababu ya dini wakati tunajua kuwa masikini wapo hata ambao hawasali tena ndo wengi zaidi. Sababu mtu huwezi ukaleta mjadala kuwa dini inaleta umasikini africa wakati dini iliukuta umasikini. Sasa mtu unavoleta ushahidi kuwa dini inaleta umasikini africa kwa kuwatolea watu wa nje kama wewe ulivosema wazungu hawaingii makanisani na mimi nakupa point kuwa mbona yapo mengi wanayofanya yanayoacha uchi utu wa watu mbona watu hawayafuati je hawataki utajiri?Nimemaanisha kwamba kujua kama mtu anasali sio lazima muwe mnasali au kuabudu sehemu moja na mtu kuwa tajiri sio kwamba anaabudu mashetani, jamaa wewe sio judge ulietumwa na Mungu uje uwaambie watu wanamakosa wajirekebishe kwa namna unayotaka wewe thats not okay, you gotta chill bro... NOT EVERY RICH PERSON IS EVIL... MUNGU HAWEZ KURUHUSU HIYO... NA MUNGU HAPEND WATU JUDGMENTAL KAMA WEWE...
Hivi kanisani mtu akiwa mlevi wa kupindukia labda huwa inashauriwa kumkanya na baadae ikishindikana kumtenga kabisa na hii iko aliisema Yesu mwenyewe. Je hiyo ni judgement au sio judgment?Nimemaanisha kwamba kujua kama mtu anasali sio lazima muwe mnasali au kuabudu sehemu moja na mtu kuwa tajiri sio kwamba anaabudu mashetani, jamaa wewe sio judge ulietumwa na Mungu uje uwaambie watu wanamakosa wajirekebishe kwa namna unayotaka wewe thats not okay, you gotta chill bro... NOT EVERY RICH PERSON IS EVIL... MUNGU HAWEZ KURUHUSU HIYO... NA MUNGU HAPEND WATU JUDGMENTAL KAMA WEWE...
List vitu vinavyotakiwa kufanywa na binadamu duniani ambavyo sio ushetani... I mean list down the do's and don't s.... Ili nijue yapi yakufanya na yapi sio yakufanya, hii website imetengenezwa kwa php, html na css kama sikosei, sasa alietengeneza PHP ni Rasmus Lerdorf, unatumia whatsapp pia labda imetengenezwa na ERLANG language by Joe Armstrong hawa wote unaweza ukaja hapa kusema they are evil na unatumia product zao, umevaa nguo unajua viwanda vinavyotengeneza hizo fabric ni vya kina nani? Kama ni mashoga na mashetani how do you know? Ila wamekusitiri kwa nguo. Unajua NFL, unajua Grammy, unajuwa SUPERBOWL, haya yote unapoteza muda kuyachek na kuyatumia ilhali ni ya kishetani? Homie take a chill pillWewe nimekuona uko radhi kupata mali hata kwa kujidharirisha sababu unawashobokea watu wanaotaka kuutoa hadi utu wako. Hawa jamaa wanathibitisha sasa unabisha nini. Pfizer baad ya kuwapiga nyinyi waafrica ndo wakaenda kudhamini ushetani wa grammy. Ila wewe kutoa sadaka kanisani ambayo inaweza saidia hata ndugu zako unaona unaonewa. Hao unaowashobokea wakusanyaji wa mabillion ya pesa na ndoto za kijinga kwenda sijui mwezini wakati watu wanakufa njaa na majanga yaliyopo duniani. Hao ni mashetani na hyo ni fact na kama wewe unaona tabia zao ndo nzuri unakuwa ni mmoja wao tu.
Yan mpaka kanisani ndio ujue mtu mlevi wa kupindukia? Mkuu mbona unanishangaza?Hivi kanisani mtu akiwa mlevi wa kupindukia labda huwa inashauriwa kumkanya na baadae ikishindikana kumtenga kabisa na hii iko aliisema Yesu mwenyewe. Je hiyo ni judgement au sio judgment?
Kwahyo wewe vitu unavosifia hivi ndo unaona vina mchango mkubwa kuliko amani ya dunia. Naweza niwalk off jf like forever na nisizurike na chochote wala nini ila kama Mungu asingekataza kuua kuzini kuiba kusema uongo kuonea wivu za wenzao au kutoheshimu wazazi inaezekana hata duniani nisingekuepo. Au we hayo uliyoyataja yana msaada gani kwangu mimi kwa asilimia mia. Kipindi cha Nuhu una uhakika watu walikuwa hawavai nguo? Au kwko wewe nguo ni gucci na nike labda. Kama wao wanaweza tumia platform za Mungu na za watu wengine kusambaza ushetani wao na mimi naweza wahit kweny platform zao humu humu.List vitu vinavyotakiwa kufanywa na binadamu duniani ambavyo sio ushetani... I mean list down the do's and don't s.... Ili nijue yapi yakufanya na yapi sio yakufanya, hii website imetengenezwa kwa php, html na css kama sikosei, sasa alietengeneza PHP ni Rasmus Lerdorf, unatumia whatsapp pia labda imetengenezwa na ERLANG language by Joe Armstrong hawa wote unaweza ukaja hapa kusema they are evil na unatumia product zao, umevaa nguo unajua viwanda vinavyotengeneza hizo fabric ni vya kina nani? Kama ni mashoga na mashetani how do you know? Ila wamekusitiri kwa nguo. Unajua NFL, unajua Grammy, unajuwa SUPERBOWL, haya yote unapoteza muda kuyachek na kuyatumia ilhali ni ya kishetani? Homie take a chill pill
Nimekutolea mfano kanisani mtu akiwa mlevi wa kupindukia anatakiwa kutengwa kanisani. Je hyo ni judgemental au sio judgemental? Maan tunajadili unaposema tusikemee mauchafu yanayoonekana hadharani kisa wao ni matajiri.Yan mpaka kanisani ndio ujue mtu mlevi wa kupindukia? Mkuu mbona unanishangaza?
Nlikuwa namaanisha sio kila kitu unakiona au kukitumia unakijua undai wake mkuu, kwahiyo usiwe mtu wakutoa hukumu kwa wenzako, kwahiyo unaona Gucci na Nike ni dhambi na ushetani pia? We jamaa you are being programmed by the western media, unachokiona kwenye tv zao unadhani ndio hicho hicho, white people let you see what they want you to see....The media is biased na inaharibu watu kama wewe....reference ya mtu tajiri shetani Ulaya, reference ya mtu maskini haend kanisani Africa, hauoni kama hii ni kuwa programmed na watu wa west huko? If you have gone to school try to think with your brain mzee...Kwahyo wewe vitu unavosifia hivi ndo unaona vina mchango mkubwa kuliko amani ya dunia. Naweza niwalk off jf like forever na nisizurike na chochote wala nini ila kama Mungu asingekataza kuua kuzini kuiba kusema uongo kuonea wivu za wenzao au kutoheshimu wazazi inaezekana hata duniani nisingekuepo. Au we hayo uliyoyataja yana msaada gani kwangu mimi kwa asilimia mia. Kipindi cha Nuhu una uhakika watu walikuwa hawavai nguo? Au kwko wewe nguo ni gucci na nike labda. Kama wao wanaweza tumia platform za Mungu na za watu wengine kusambaza ushetani wao na mimi naweza wahit kweny platform zao humu humu.
Sio lazima kanisani, Mlevi kupindukia hawez kutoboa popote pale mzee,Nimekutolea mfano kanisani mtu akiwa mlevi wa kupindukia anatakiwa kutengwa kanisani. Je hyo ni judgemental au sio judgemental? Maan tunajadili unaposema tusikemee mauchafu yanayoonekana hadharani kisa wao ni matajiri.
Wewe ndo uko brainwashed na media za western ndo maan unaamini kuwa wale matajiri ndo matajiri pekee na wanayoyafanya unaona sahihi. Mtu yoyote anaeharibu utu wa wenzie haijalishi ana mali kiasi gani huyo ni shetani tu. Nimekupa mfano Bezos anasupport mashoga hilo nalo sio ushetani? Halafu wewe una uhakika gani hao ndo matajiri wa dunia peke yao. Sababu ukisoma maandiko mtu tajiri anaemwamini Mungu hawezi jikweza mbele za watu. Kuja watu wnaa ela nyingi tu hata vijijini huko ela wewe unaaminishwa kuwa hao ndo matajiri. Halafu dhambi ipo direct au indirect kutokana na maandiko yani ukishasupport kwa namna fulani ubaya unahesabika na wewe umeufanya. Halafu hao nimewataja sababu wewe umesema kuwa sijui nani anatengeneza nguo wakati watu wanavaa nguo kitambo kabla ya hao. Halafu kwanza wanachukua pamba ya barani kwangu kwanini niwashobokee.Nlikuwa namaanisha sio kila kitu unakiona au kukitumia unakijua undai wake mkuu, kwahiyo usiwe mtu wakutoa hukumu kwa wenzako, kwahiyo unaona Gucci na Nike ni dhambi na ushetani pia? We jamaa you are being programmed by the western media, unachokiona kwenye tv zao unadhani ndio hicho hicho, white people let you see what they want you to see....The media is biased na inaharibu watu kama wewe....reference ya mtu tajiri shetani Ulaya, reference ya mtu maskini haend kanisani Africa, hauoni kama hii ni kuwa programmed na watu wa west huko? If you have gone to school try to think with your brain mzee...
Hivi unanielewa nachozungumzia aisee. Wewe ulisema kukemea baya la mtu analofanya ni nakuwa judgemental sasa nataka unambie ukimwona ndugu yako ni mlevi wa kupindukia ukaamua kwenda kumkanya unakuwa umemjudge(hapa nimetoa mfano wa kanisani maan umekuchanganya nahisi)?Sio lazima kanisani, Mlevi kupindukia hawez kutoboa popote pale mzee,
Wewe hapo umevaa nguo zimetengenezwa wapi? Hiyo fabric imetengenezwa wapi, nyinyi mnakuwa brainwashed na makanisa haya feki jaman kuwen makini, hela haijifich mkuu, kama you are broke wewe ni broke tu fanya kazi uoate pesa kama unazo unazo tu, nan anahela kijijini iliojificha? Unahela unakaa bush unafanya nini? Yan unajifanya mtu wa mungu na unakuwa mwongo? Toa mfano wa watu wenye pesa ambao wapo kijijiniWewe ndo uko brainwashed na media za western ndo maan unaamini kuwa wale matajiri ndo matajiri pekee na wanayoyafanya unaona sahihi. Mtu yoyote anaeharibu utu wa wenzie haijalishi ana mali kiasi gani huyo ni shetani tu. Nimekupa mfano Bezos anasupport mashoga hilo nalo sio ushetani? Halafu wewe una uhakika gani hao ndo matajiri wa dunia peke yao. Sababu ukisoma maandiko mtu tajiri anaemwamini Mungu hawezi jikweza mbele za watu. Kuja watu wnaa ela nyingi tu hata vijijini huko ela wewe unaaminishwa kuwa hao ndo matajiri. Halafu dhambi ipo direct au indirect kutokana na maandiko yani ukishasupport kwa namna fulani ubaya unahesabika na wewe umeufanya. Halafu hao nimewataja sababu wewe umesema kuwa sijui nani anatengeneza nguo wakati watu wanavaa nguo kitambo kabla ya hao. Halafu kwanza wanachukua pamba ya barani kwangu kwanini niwashobokee.
Wewe unadhani ukiwa unaenda church ndio unaenda mbinguni uakosea, hiyo ndio point yangu, kua namna yakumwambia mtu aache kitu especially kama kinamwaribu ila huwez kumlazimisha. Sisem kwa ubaya ila wewe kama unafanya kazi na ni kiongozi utakuwa unawapa wenzako shida sana, mkuu this is a free world, vitu vingi viko wazi, usiendeshwe na maneno unayoambiwa na hawa mapastor fake wamejaa wengi sana.. Behind closed doors ni wachafu sana man.. Wanawafeed false information, na hizi information wamezitoa west, hakuna mtu mweusi aliandika Bible white people ndio waliandika hizi info zikiwaingia watu kama ninyi mnakuwa hamwelewi kitu ndio mana nasema you guys are being programmed by the western...Hivi unanielewa nachozungumzia aisee. Wewe ulisema kukemea baya la mtu analofanya ni nakuwa judgemental sasa nataka unambie ukimwona ndugu yako ni mlevi wa kupindukia ukaamua kwenda kumkanya unakuwa umemjudge(hapa nimetoa mfano wa kanisani maan umekuchanganya nahisi)?
Kujua kwamba watu wanavaa nguo kitambo kabla ya hao ulisoma kwenye vitabu vilivyochapishwa ngambo mkuu hakuna kitu unafanya dunia ya sasa hakijaanzia ulaya... Hata hiyo kanisa unasema imeanzia ulaya, nguo uliyovaa right now yote ulaya, mswaki, toothpaste, shoes, Sox, underpants, hata huyo Yesu wao ndio wamekuja kukwambia kuwa Yesu alikuwa mzungu na alikuwa KWAO, unapenda dini zao alafu wao unawachukia mzee hata ungekuwa wewe mimi ungeelewa? Sikuelewi wewe upo side gani mkuuWewe ndo uko brainwashed na media za western ndo maan unaamini kuwa wale matajiri ndo matajiri pekee na wanayoyafanya unaona sahihi. Mtu yoyote anaeharibu utu wa wenzie haijalishi ana mali kiasi gani huyo ni shetani tu. Nimekupa mfano Bezos anasupport mashoga hilo nalo sio ushetani? Halafu wewe una uhakika gani hao ndo matajiri wa dunia peke yao. Sababu ukisoma maandiko mtu tajiri anaemwamini Mungu hawezi jikweza mbele za watu. Kuja watu wnaa ela nyingi tu hata vijijini huko ela wewe unaaminishwa kuwa hao ndo matajiri. Halafu dhambi ipo direct au indirect kutokana na maandiko yani ukishasupport kwa namna fulani ubaya unahesabika na wewe umeufanya. Halafu hao nimewataja sababu wewe umesema kuwa sijui nani anatengeneza nguo wakati watu wanavaa nguo kitambo kabla ya hao. Halafu kwanza wanachukua pamba ya barani kwangu kwanini niwashobokee.
shida wewe unawaabudu hao ambao kwa makusudi media za western zimekuletea. Unaamini kila mwenye pesa anatakiwa akae mjini unadhani kila mtu akiwa na pesa atafute media ajitangaze ana pesa. Siwezi kukuprovia sababu wewe ushakuwa brainwashed na westerners. Halafu viwanda unavyosema vina wafanyakazi mbali mbali ngazi za juu wewe unajua imani ya kila mmoja? Yani wewe unachokisikia kwenye media juu juu nd unakileta hapa na hizo hizo media fake za magharibi ndo zimekufanya hivo. Halafu hakuna kanisa feki linalokataza dhambi mkuu hyo iko wazi kanisa feki ni lile lisilojali masikini na wajane.Wewe hapo umevaa nguo zimetengenezwa wapi? Hiyo fabric imetengenezwa wapi, nyinyi mnakuwa brainwashed na makanisa haya feki jaman kuwen makini, hela haijifich mkuu, kama you are broke wewe ni broke tu fanya kazi uoate pesa kama unazo unazo tu, nan anahela kijijini iliojificha? Unahela unakaa bush unafanya nini? Yan unajifanya mtu wa mungu na unakuwa mwongo? Toa mfano wa watu wenye pesa ambao wapo kijijini
Usichanganye mambo wewe hapa hatuzungumzii topic z race. Hata science kuna wanasayansi wabaya watengeneza silaha za mahangamizi ya alaiki na kuna wanasayansi wazuri wnaotengeza hata dawa ya mswaki tu. Kuna wana sayansi wanaotengeneza madawa ya kulevya na kuna wanasayansi madaktari bingwa wa upasuaji(ben carson). Sasa wewe unaposema kuwa tunawafuata wazungu sijui unamaanisha nini? Dini yenyewe hao wazungu unaowataja hata haiwazungumizii kwa mfano dini imekataza ushoga wao wanafanya dini imekataza uzinzi wao wameanzisha na mitandao ya uzinzi kabisa kuangamiza zaidi vijana dini inakasisitiza upendo na kujali masikini wao wanajilimbikizia mali. Dini inakata kujiona bora kuliko wengine wao wao wnashinda huko forbes kujionesha ni matajiri kuliko watu wote duniani. Dini inakataza mauaji wao wanafafhili vita kubwa kwa kununua masilaha mazito zito dini inakataza kusema uongo wao wanawabrainwash dunia nzima kwa propaganda uchwara dini imesema tusiibe wao wanaiba mali na kusababisha mavita kila kona ya dunia dini inasema usitamani mali ya mwenzio wao kila siku kuwatendesha watu dhambi kwa kuonesha fancy cars sijui private jet( hapa elewa kumiliki sio kitu kibaya ila kitendo cha kuanza kujitapa mitandaoni kwamba wenye hivi vitu ndo wenye furaha ndo kumewapoteza watu kama nyinyi mnahisi mkipata ela nd furaha). Sasa wewe ndugu sijui unazungumzia wazungu gani ndo walioleta dini basi kma walileta kwa nia mbaya imekula kwao Mungu kauokoa uafrica kutoka katika giza jina la bwana lishukuriwe.Kujua kwamba watu wanavaa nguo kitambo kabla ya hao ulisoma kwenye vitabu vilivyochapishwa ngambo mkuu hakuna kitu unafanya dunia ya sasa hakijaanzia ulaya... Hata hiyo kanisa unasema imeanzia ulaya, nguo uliyovaa right now yote ulaya, mswaki, toothpaste, shoes, Sox, underpants, hata huyo Yesu wao ndio wamekuja kukwambia kuwa Yesu alikuwa mzungu na alikuwa KWAO, unapenda dini zao alafu wao unawachukia mzee hata ungekuwa wewe mimi ungeelewa? Sikuelewi wewe upo side gani mkuu
Kwanini Africa ndio kuna umasikini wakutupwa kuliko Europe? Wake up man, nan kakudanganya ukiwa na mihela kama Mo ugawe kama njugu, yan wewe din yao unaipenda alafu wao unawaponda, hauna kitu utasema nitaelewa, yan wewe unasikfia kuwa broke? Tutafute hela mzee me mwenzio nachukia umasikini na nafanya kazi kweli kweli na nikiflex kwa vitu Mungu ameamua kunipa its all blessings MUNGU HAPEND TUWE MASKINI ALAFU TUANZE KULIA LIA ALAFU TUWE WACHAMBUZ WA DINI KAMA WEWE ALAFU TUANZE KUWAPONDA WATU WENGINE MUNGU HAPENDI WATU KAMA WEWE, UTAKUWA UNAITESA SANA JAMII YAKO, tufanye kazi kwa nguvu hayo majungu yako utaendelea kuwa broke forever hayakusaidii kitu mzee... WORK HARD GOD WILL SEE NA UTAONA OUTCOME.. MUNGU HAPEND TUWE OMBA OMBA MZEE....Usichanganye mambo wewe hapa hatuzungumzii topic z race. Hata science kuna wanasayansi wabaya watengeneza silaha za mahangamizi ya alaiki na kuna wanasayansi wazuri wnaotengeza hata dawa ya mswaki tu. Kuna wana sayansi wanaotengeneza madawa ya kulevya na kuna wanasayansi madaktari bingwa wa upasuaji(ben carson). Sasa wewe unaposema kuwa tunawafuata wazungu sijui unamaanisha nini? Dini yenyewe hao wazungu unaowataja hata haiwazungumizii kwa mfano dini imekataza ushoga wao wanafanya dini imekataza uzinzi wao wameanzisha na mitandao ya uzinzi kabisa kuangamiza zaidi vijana dini inakasisitiza upendo na kujali masikini wao wanajilimbikizia mali. Dini inakata kujiona bora kuliko wengine wao wao wnashinda huko forbes kujionesha ni matajiri kuliko watu wote duniani. Dini inakataza mauaji wao wanafafhili vita kubwa kwa kununua masilaha mazito zito dini inakataza kusema uongo wao wanawabrainwash dunia nzima kwa propaganda uchwara dini imesema tusiibe wao wanaiba mali na kusababisha mavita kila kona ya dunia dini inasema usitamani mali ya mwenzio wao kila siku kuwatendesha watu dhambi kwa kuonesha fancy cars sijui private jet( hapa elewa kumiliki sio kitu kibaya ila kitendo cha kuanza kujitapa mitandaoni kwamba wenye hivi vitu ndo wenye furaha ndo kumewapoteza watu kama nyinyi mnahisi mkipata ela nd furaha). Sasa wewe ndugu sijui unazungumzia wazungu gani ndo walioleta dini basi kma walileta kwa nia mbaya imekula kwao Mungu kauokoa uafrica kutoka katika giza jina la bwana lishukuriwe.
We jamaa you have a long way to go, Wake up man, MUNGU HAPENDI WAPIGA MAJUNGU KAMA WEWE, chill mzee kuwa na pesa sio dhambi na pesa haijifich sio lazima utangaziwe, mkuu upo kijiji gani? Umewah ku excel kwenye kusafiri kwenye miji mikubwa kama London, NYC? mkuu unawasimika wazungu wakati wewe unaishi kwa miundombinu yao asilimia 99.9. We jamaa wewe eti kuna wakati ulisema mpira dhambi, no offense ila watu wengine mlokulia vijijini mkija mjini mnakuwa wajuaji sana, wapi kwenye bible walisema mpira dhambi?shida wewe unawaabudu hao ambao kwa makusudi media za western zimekuletea. Unaamini kila mwenye pesa anatakiwa akae mjini unadhani kila mtu akiwa na pesa atafute media ajitangaze ana pesa. Siwezi kukuprovia sababu wewe ushakuwa brainwashed na westerners. Halafu viwanda unavyosema vina wafanyakazi mbali mbali ngazi za juu wewe unajua imani ya kila mmoja? Yani wewe unachokisikia kwenye media juu juu nd unakileta hapa na hizo hizo media fake za magharibi ndo zimekufanya hivo. Halafu hakuna kanisa feki linalokataza dhambi mkuu hyo iko wazi kanisa feki ni lile lisilojali masikini na wajane.