Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Ofisi yake iko kwenye camera lipi amewahi fanikiwaLakini Dar si Mkoa wa Makamu wa pili wa Rais Bara??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofisi yake iko kwenye camera lipi amewahi fanikiwaLakini Dar si Mkoa wa Makamu wa pili wa Rais Bara??
Hajawahi hata Moja. Na hatafanikiwa Kamwe.Ofisi yake iko kwenye camera lipi amewahi fanikiwa
Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameuwa wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Ofisi yake iko kwenye camera lipi amewahi fanikiwaLakini Dar si Mkoa wa Makamu wa pili wa Rais Bara??
Ndiyo maana anataka kurudi kwao maisha ya Ukonga yamemshindaKiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake Ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameua wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Atateuliwa maana kaivishwa na kambi ya upinzani ambacho ni chuo kikuu cha siasa popote duniani.Huyo nani atamchagua?
Hachaguliki popote tz ameshatumikishqa tayari...
May be........ Ila kuna ccm asilia hawataki kuona hii mambo ikifanyika wkt wenye chama wapoAtateuliwa maana kaivishwa na kambi ya upinzani ambacho ni chuo kikuu cha siasa popote duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watajijua kwa nini hawakujibrand kufit uteuzi wa mfalme??May be........ Ila kuna ccm asilia hawataki kuona hii mambo ikifanyika wkt wenye chama wapo
Hahahaaaaa...... 😀😀😀😀Watajijua kwa nini hawakujibrand kufit uteuzi wa mfalme??
Labda achaguliwe Tena na chadema,Ila huko ccm atatemwa awali kwenye kura za maoni.atafute biashara au kazi nyingine October 2020Kiukweli Mwita Waitara hafai kabisa kuwa mwakilishi wa wananchi popote pale Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mwita Waitara ambaye ni Naibu waziri tena Ofisi ya Rais amewatelekeza wapiga kura wake na sasa wanakufa hovyo kwa mafuriko baada ya madaraja karibia yote kubomoka jimboni kwake Ukonga.
Leo nimepita Kilunguni A hali ni mbaya sana na inadaiwa jana maji ya mafuriko yameua wapiga kura wa Mwita Waitara watatu.
Niishie hapo sijui Chadema walimtoa wapi huyu huyu jamaa.......or sorry CCM.
Maendeleo hayana vyama!